Kwanini siku hizi mahusiano ya kimapenzi kati ya baba mzazi na binti yameshamiri sana?

Kwanini siku hizi mahusiano ya kimapenzi kati ya baba mzazi na binti yameshamiri sana?

Siku hizi limekuwa jambo la kawaida sana kwa baba kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti yake wa kumzaa mwenyewe

Tatizo ni nini wakuu? Ni tamaa za kingono au kuna sababu za kishirikina nyuma yake?
Shetani amekalia kiti chq familia thats why
 
Siku hizi limekuwa jambo la kawaida sana kwa baba kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti yake wa kumzaa mwenyewe

Tatizo ni nini wakuu? Ni tamaa za kingono au kuna sababu za kishirikina nyuma yake?
Ndugu zangu wote hapa nawaomba nyote mlithibitishe hile, mbalii ya huyu mleta hii mada hapa ni wangapi kati yenu ameshaliona hili au kulisikia. Mleta mada anasema hili jambo limekuwa la kawaida, sasa tutumie hilo neno KAWAIDA kuthibitishiwa kuwa kweli hili jambo lipo katika jamii na linakubalika hadi kuwa ni KAWAIDA, otherwise Moderators waufute uzi huu haraka.

Na wewe mleta mada hii tunataka utupa ushahidi wako juu ya hili.
 
Kuna evidence yoyote mkuu?
Zilivuma scandal ila lisemwalo lipo

images.jpeg
 
Back
Top Bottom