Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Inasemekana hivyo mkuuHivi gadner na binti yake ni kweli ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana hivyo mkuuHivi gadner na binti yake ni kweli ?
Shetani amekalia kiti chq familia thats whySiku hizi limekuwa jambo la kawaida sana kwa baba kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti yake wa kumzaa mwenyewe
Tatizo ni nini wakuu? Ni tamaa za kingono au kuna sababu za kishirikina nyuma yake?
Eii wewe vipi ndugu? Umeliona uzunguni sehemu gani hilo au unasingizia tu?Sijaliona hilo lakini sababu kubwa ni utamaduni wa kizungu. Uzungu mwingi.
Ndugu zangu wote hapa nawaomba nyote mlithibitishe hile, mbalii ya huyu mleta hii mada hapa ni wangapi kati yenu ameshaliona hili au kulisikia. Mleta mada anasema hili jambo limekuwa la kawaida, sasa tutumie hilo neno KAWAIDA kuthibitishiwa kuwa kweli hili jambo lipo katika jamii na linakubalika hadi kuwa ni KAWAIDA, otherwise Moderators waufute uzi huu haraka.Siku hizi limekuwa jambo la kawaida sana kwa baba kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti yake wa kumzaa mwenyewe
Tatizo ni nini wakuu? Ni tamaa za kingono au kuna sababu za kishirikina nyuma yake?
Very convincingShetani amekalia kiti chq familia thats why
Kuna evidence yoyote mkuu?Inasemekana hivyo mkuu
Una kisa chochote mkuu?hii kitu kweli ipo sana tu
Nacheka utafikiria mazuriAlisikika Mzee mmoja akisema “Nilimzaa mwenyewe kwahiyo nitamla mwenyewe”
Visa vinakuja mkuuAnzeni kuleta visa uzi ndio utapendeza. Kama huyo mtangazaji wa Clouds na binti yake
Zilivuma scandal ila lisemwalo lipoKuna evidence yoyote mkuu?
Ndio tunavitaka hivyoVisa vinakuja mkuu
VinakujaNdio tunavitaka hivyo
Kuna kimoja miaka ya 2007 nilishuhudia ugomvi mitaa ya sinza baba mtu na mtoto mtu mtoto mtu( binti) ana mtuhumu baba yake kwamba baada ya binti kujifungua baba kahamisha mapenzi kwa machangudoaNdio tunavitaka hivyo
PoaVinakuja
Baba mtu hampi tena penzi bintiye qmmmmk dunia simama nishuke aisee 🤔Kuna kimoja miaka ya 2007 nilishuhudia ugomvi mitaa ya sinza baba mtu na mtoto mtu mtoto mtu( binti) ana mtuhumu baba yake kwamba baada ya binti kujifungua baba kahamisha mapenzi kwa machangudoa
Duuu so disgustingBaba mtu hampi tena penzi bintiye qmmmmk dunia simama nishuke aisee 🤔
Hatari mkuuDuuu so disgusting
Unaweza ukakuta wewe pia ni miongoni mwa wababa wanao tembea na binti zao. I trust my intuition.
Wewe unaleta kesi za ubakaji wakati mtoa mada katoa hoja za watoto wa kike kulala na babazao kwa hiari yao na akili zao sasa jiulize wewe unaweza kulala na mamaako kwa hiari yako?
my dady you are so handsome, my strength and my super man of all men in the world i love you my dady let me sleep in your chest afu una kifua kizuri 🤣 (uzungu mwingi mwisho wa siku anawafumania mama mtu mamamaee)