Prince toyboy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 375
- 363
Hahahaha usiumie Sana Mkuu Sema uliempa mimba hukumpenda na ulikua unapita tu lkn kama ungempiga mimba yule demu uliempenda hakiamungu hata hela ya matumizi utakapotoa hutajua unashangaa umempa tundo ivo yan hapa nina stress hatari
hapana huyu ni binti mzuri sana yani mrembo balaaTena madem wanaotegesha mimba ni wabayaaa
hahaaaaaaaaa daaaaah watu mna experienceHahahaha usiumie Sana Mkuu Sema uliempa mimba hukumpenda na ulikua unapita tu lkn kama ungempiga mimba yule demu uliempenda hakiamungu hata hela ya matumizi utakapotoa hutajua unashangaa umempa tu
Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
duuuuuuuuuuuuuuuuuuh!Wakati unatomba peku na kumwagia ndani ulikuwa unategemea nini ??
Shame on you, lea mtoto
Lea mtoto
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Hili jibu limenifanya nicheke...mkuu punguza jazba upewe ushauri.....we nae unazidi kunivuruga tu
Kwani mliambiwa chuo kikuu ndio sehemu ya kufyatuwa hose pipes zenu? Umefayatuwa hose pipe kumwagilia mchicha sasa unaota unabweka mdomo juu kama mbwa kaona mwanga we vp?Habari wakuu,
Mimi nawauliza dada zetu wanaobahatika kufika elimu ya chuo kikuu,
kwanini ukipata boyfriend unaamua kutega mimba pasipo hata kuangalia uyo mtu amejipanga vipi yani kiufupi mnatupa mizigo pasipo kutegemea.
Najua kwa mdada wa chuo huwezi kusema mimba imeingia bahati mbaya coz mnajielewa vizuri tu na makarenda yenu, sasa kwanini mnategesha mimba afu mnaanza kutusumbua jamani eh?
Mimi inaniuma sana maana kuna binti amenitegeshea mimba na wakati nipo mwaka wa tatu sijui hata kama nitapata ajira baada ya kumaliza chuo au lah! yani nina hasira nae natamani hata nimzabe makofi afu hata hataki kutoa mimba yani mh!
Mungu anawaona nyie mabinti mnaotegesha mimba makusudi.
hahaaaaaaaa aiseee sawa mkuuMkuu maisha ni haya haya tu hasa unavyoona Sizonje anazidi kutuzika, fanya kila jambo kwa wakati kadri utakavyoweza. Ukisubiri hadi ujipange unaweza kufa bila hata mtoto. Wewe shangilia tena ikiwezekana tafuta toto jingine yawe mawili au matatu hivi angalau uwe na jeshi la kutosha.
Mimi mwenyewe kapuku ila nataka nipate makamanda wa kutosha, wataishi tu, msosi ninaopiga nao watapiga huo huo. Maisha yenyewe yanazidi kuwa mafupi haya ya nini kufa bila kuacha jina?
Sent from my Nokia-toch using JamiiForums mobile app
Bahati yako nzurihapana huyu ni binti mzuri sana yani mrembo balaa
vizuri sana mwaache aangaike na kalenda wew utaangaika na mahitaji ya mtoto na mama ake [emoji3][emoji3][emoji3] embu Google bei ya pampers na kopo la maziwa[emoji123][emoji123]Kalenda inamhusu yeye siyo mimi.
Pamoja sanahahaaaaaaaa aiseee sawa mkuu
Mbona we umemtegeshea kumgegedaHabari wakuu,
Mimi nawauliza dada zetu wanaobahatika kufika elimu ya chuo kikuu,
kwanini ukipata boyfriend unaamua kutega mimba pasipo hata kuangalia uyo mtu amejipanga vipi yani kiufupi mnatupa mizigo pasipo kutegemea.
Najua kwa mdada wa chuo huwezi kusema mimba imeingia bahati mbaya coz mnajielewa vizuri tu na makarenda yenu, sasa kwanini mnategesha mimba afu mnaanza kutusumbua jamani eh?
Mimi inaniuma sana maana kuna binti amenitegeshea mimba na wakati nipo mwaka wa tatu sijui hata kama nitapata ajira baada ya kumaliza chuo au lah! yani nina hasira nae natamani hata nimzabe makofi afu hata hataki kutoa mimba yani mh!
Mungu anawaona nyie mabinti mnaotegesha mimba makusudi.