Ukiangali pamoja na teknolojia kuwa kubwa .
Hosptali kuwa nyingi
Madawa kuwa mengi
Ila watu wanakufa wakiwa na umri mdogo Sana .
Life expectancy Kama imeshuka .
Kwenye familia yangu hakuna MTU hata mmoja mwenye umri wa miaka 80+ yrs.
Ila Bibi yangu alifariki mwaka 2003 alikufa na 84 .
Sasa hivi MTU kutoboa 50 imekuwa kasheshe na akitoboa 50 tayari Ana kisukari , pressure na magonjwa Kama yote.
Wapi huko?,Dunia nzima?
Be specific sema
Tanzagiza
Sababu:-
1.Lifesyle/vyakula
-----yaani kula pizza,vyakula vya kukalangiza,imekua ujanja,mtu anakula kitimoto kilo Moja Kila wiki,ili awakomoe wasiokulaπ
ππ€£......kula matunda,mboga imekua ujinga
2.Matumizi ya pombe
-yameongezeka-Hadi JF Kuna mada maalum ya wanywa pombe
-chuo ni sehemu ya kujifunzia kunywa pombe
-kijana asipokunywa pombe ni mpumbavu
3.Pombe feki
Yaani pombe yenyewe tu yenye sumu ya ethanol ni hatari,.....inachukua chini ya miaka 5 kuua Ini,125 mls 40% AVB,per day lakini hata pia 125mls 40%/week kwa miaka 10, huyu mtu asipokua marehemu basi,atakua anawaingizia pesa gastroenterologists(kufa kufaana)..........sasa pombe feki Zina ethanol,Zinci,manganese,chromium,butaneππ
*4.Hivi kuna mwanamke ama mwanaume Malaya havuti shisha,hapa Dar?
πππ.......
-hivi Kuna mwanamke ama mwanaune anayetembea na mke wa mtu hafiri/hafirwi siku hizi?πππ
-kuna mwanachuo ambaye hanywi wine ama konyagi jameni?
-raha ya kufira.na si haina haja ya kutumia condomu,si ndio utamu wakeππ
5.Ajali
-Vyombo vya usafiri vimeongezeka
-yaani Barabara Ile Ile lane mbili ya Dar-Mwanza ambayo wakina Karl peters waliitumia kugundua Lake Victoria leo inatumika hio hio,parking,breakdown,overtaking......huu si uhanithi huu?ππ,hadi kuna wanazi wanashindanisha speed za mabasi,......hata JF kuna nyuzi za mtu kujisifia gari yake imekimbia sana alivoenda Tabora masaa 6 tu
7.kijana unawezaje kuishi bila kuvuta sigara eti?
-sigara ni leading cause of lung cancer,and all respiratory problems
8.Unaishiji Dar huvuti shisha?
Puff Moja la shisha ni sawa na Sigara 200
9.kijana unakuaje hauvuti bangi?
-Bangi ni sababu kubwa ya psychosis Kwa pre exposed genetic individuals worldwide,
10.Transactional sexual workers
Bora Malaya wanaojiuza kuliko Hawa,nitakufundisha jinsi ya kuwajua:-
-umeoa mke mzuri,sababu una pesa:uliyemuoa ni malaya=transactional sexual workers,
-mwanamke ambaye yupo tayari apate kazi,offer,cheo,gari,nyumba,biashara ama favor yeyote ni transactional sexual workers=MALAYA
-kuna Binti anaweza kukataa kutotumia kondomu na ameahidiwa atalipiwa Kodi mwaka mzima?
-kuna Binti anasoma College ama chuo Kikuu,ama hasomi Hana kazi,ama ana kazi ya kuunga unga,ama tufanye amajiriea kabisa serikaliniπππ, atakataa kupewa Used car,Rav 4 nyekundu miss Tanzania,kwa sharti la kufi.rwa na sponsor?ππππ
Google,maana ya
transactional sexual intercourse/worker,kwa ukombozi wa afya na akili yako rafiki yangu,ujifunze zaidi
Wengi tumeoa Malaya tuna wapenzi,wachumba,magirlfriend malaya:Hawa hawaridhiki,wao wata demand Kila kitu kwenye ndoa/mahusiano,watakutia pressure,wataharibu afya yako ya akili,watakuambukiza magonjwa
11.Umasikini,Umasikini,Umasikini/nchi masikini*
Tanzagiza ndio sehemu pekee duniani 95%ya raia wanamiliki gari used ,nguo used,mke usedππ
Hospitali zipo ndio lakini Ujuzi,vipimo dawa ni low quality,yaani ni third class health system,............ambayo zaidi ya 80% ya raia pia hawawezi afford.........mukiambiwa mukamuone daktari bingwa mbobezi
munajibu kwani yupo uchi?,ila kufakamia mashisha,mapombe na Malaya mupo kifua mbele
Kukaa ICU pale Agha Khan siku 4 ni inazidi kipato cha mtanzania kwa mwakaπππ,yes Agha Khan ndio hospital yenye world class ya hizo nchi zenye longer life span
NOTE
nchi zenye life span kubwa kama Japan,Hong Kong,Singapore........95% ya hizo sababu kwao hazipo na kama zipo kwa kiwango kidogo sana
Maisha bora na marefu sio miujiza ni juhudi