Kwanini Simba ikae nafasi ya pili badala ya Azam?

Kwanini Simba ikae nafasi ya pili badala ya Azam?

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Kisheria kama timu zimelingana kila kitu kwenye msimamo wanapangwa kwa Alphabet A-Z

Angalia IHEFU na KAGERA kisha angalia COASTAL na TANZANIA PRISON wamelingana kila kitu na wamepangwa kwa ALPHABET vizuri tu ila angalia kwa SIMBA na AZAM yaani S imekaa juu ya A na wamelingana kila kitu

Mpira wetu umekua sana ila unaharibiwa na Mahaba ya SIMBA na YANGA, Simba SC Tanzania hakupaswa kuwa nafasi ya 2 bali ni Azam FC Ndio walipaswa kuwa wapili

Haya mambo utayaona kwenye ligi yetu tuu.
FB_IMG_16953763286696130.jpg
 
Ipeleke ya 3 ili uwe na amani....naona toka jana hamjalala...waambie wawadrop Simba hapo namba 3..
Simba magoli mawili wamefungwa kwa mechi ya ugenini,tena mechi moja, wakati Azam kafungwa magoli mawili akiwa nyumbani kwa mechi mbili.

Tofauti magoli mawili kwa mechi moja na magoli mawili kwa mechi mbili ,magoli ya kufungwa ukiwa nyumbani na magoli ya kufungwa ukiwa ugenini
 
Kisheria kama timu zimelingana kila kitu kwenye msimamo wanapangwa kwa Alphabet A-Z

Angalia IHEFU na KAGERA kisha angalia COASTAL na TANZANIA PRISON wamelingana kila kitu na wamepangwa kwa ALPHABET vizuri tu ila angalia kwa SIMBA na AZAM yaani S imekaa juu ya A na wamelingana kila kitu

Mpira wetu umekua sana ila unaharibiwa na Mahaba ya SIMBA na YANGA, Simba SC Tanzania hakupaswa kuwa nafasi ya 2 bali ni Azam FC Ndio walipaswa kuwa wapili

Haya mambo utayaona kwenye ligi yetu tuu.View attachment 2758181
Kwa sababu Simba ni timu kongwe ndio maana inakaa juu. Wanaoumia wahame nchi
 
Simba magoli mawili wamefungwa kwa mechi ya ugenini,tena mechi moja, wakati Azam kafungwa magoli mawili akiwa nyumbani kwa mechi mbili.

Tofauti magoli mawili kwa mechi moja na magoli mawili kwa mechi mbili ,magoli ya kufungwa ukiwa nyumbani na magoli ya kufungwa ukiwa ugenini
Mmh maajabu hayatakuja kuisha, hizi akili huwa ni zenu kabisa au mnaazimwa?
 
Wekeni Kanuni, tuisome kwa ujumla wake.
 
Kigezo hapo kinaweza kuwa issue ya nidhamu mleta uzi hebu tuletee statistics kwenye angle hii huenda ndiyo iliyoamua yupi akae juu
 
Kisheria kama timu zimelingana kila kitu kwenye msimamo wanapangwa kwa Alphabet A-Z

Angalia IHEFU na KAGERA kisha angalia COASTAL na TANZANIA PRISON wamelingana kila kitu na wamepangwa kwa ALPHABET vizuri tu ila angalia kwa SIMBA na AZAM yaani S imekaa juu ya A na wamelingana kila kitu

Mpira wetu umekua sana ila unaharibiwa na Mahaba ya SIMBA na YANGA, Simba SC Tanzania hakupaswa kuwa nafasi ya 2 bali ni Azam FC Ndio walipaswa kuwa wapili

Haya mambo utayaona kwenye ligi yetu tuu.View attachment 2758181
Ingekuwa ligi imefika tamati ungekuwa na hoja lakini ndiyo kwanzaaaaa asubuhi. Kama vipi andikeni barua FIFA, huu utoto sasa.
 
Kisheria kama timu zimelingana kila kitu kwenye msimamo wanapangwa kwa Alphabet A-Z

Angalia IHEFU na KAGERA kisha angalia COASTAL na TANZANIA PRISON wamelingana kila kitu na wamepangwa kwa ALPHABET vizuri tu ila angalia kwa SIMBA na AZAM yaani S imekaa juu ya A na wamelingana kila kitu

Mpira wetu umekua sana ila unaharibiwa na Mahaba ya SIMBA na YANGA, Simba SC Tanzania hakupaswa kuwa nafasi ya 2 bali ni Azam FC Ndio walipaswa kuwa wapili

Haya mambo utayaona kwenye ligi yetu tuu.View attachment 2758181
Kwani Ikiwa hivyo ina maana wao Azam ni nafasi ya tatu?
 
Kisheria kama timu zimelingana kila kitu kwenye msimamo wanapangwa kwa Alphabet A-Z

Angalia IHEFU na KAGERA kisha angalia COASTAL na TANZANIA PRISON wamelingana kila kitu na wamepangwa kwa ALPHABET vizuri tu ila angalia kwa SIMBA na AZAM yaani S imekaa juu ya A na wamelingana kila kitu

Mpira wetu umekua sana ila unaharibiwa na Mahaba ya SIMBA na YANGA, Simba SC Tanzania hakupaswa kuwa nafasi ya 2 bali ni Azam FC Ndio walipaswa kuwa wapili

Haya mambo utayaona kwenye ligi yetu tuu.View attachment 2758181
“Yanga nzima wenye akili ni wawili tu, Baba yangu Mzee Manara na Jakaya Kikwete tu waliobaki hawana akili” - Haji Sunday Manara, June 2018
 
Simba magoli mawili wamefungwa kwa mechi ya ugenini,tena mechi moja, wakati Azam kafungwa magoli mawili akiwa nyumbani kwa mechi mbili.

Tofauti magoli mawili kwa mechi moja na magoli mawili kwa mechi mbili ,magoli ya kufungwa ukiwa nyumbani na magoli ya kufungwa ukiwa ugenini
Kanuni gani hiyo?
 
Back
Top Bottom