Kwanini sisi Waafrika ni Masikini?

Kwanini sisi Waafrika ni Masikini?

Nikwambie Mara ngapi hakuna ligi humu ni majadiliano,yaani wewe ukiandika humu kumbe unashindana, umeona ushamba wako sasa badilika lectural wa jf.

Kama hamna ligi mbona unanijibu?

Utajadiliana nini na mimi wakati elimu ya msingi ya kuweza kujadiliana na mimi umesema mwenyewe huna?
 
Kucopy pia inahitaji akili mkuu..unaweza kucopy ila ukakosa akili ya kupaste nahisi inahitajika jitihada za msingi kuwaandaa watoto still wakiwa wadogo maana sisi wakubwa tumeshaharibika ikiwa ni pamoja na kubadilisha mfumo wa elimu kuanzia ngazi za chini...ukisema tucopy----
Wamecopy BRN hakuna cha msingi....
Ivi hakuna vipimo vya kisayansi vilivyowahi kufanyika kupima ubongo wa saharan compare na wa wenzetu? ?

Sasa na wewe unarudi kulekule kwenye vichwa vibovu, mifumo ya elimu wamesha jalibu wamefeli, hii ndio inathibitisha vichwa ni vibovu, wewe unarudi tena nyuma unasema zinahitajika jitihada za msingi zipi tena, baada ya miaka 50 ya kujitawala,njia ni hiyo tu ku copy properly na kusimamia properly,na hii copy tusha copy vitu vingi tu na vikisimamiwa vizuri vinafanya Kazi,tatizo ni usimamizi hakuna watu wanaiba wanakula rushwa hawafanywi kitu, rais mwenyewe hashtakiwi sasa kwanini asiibe, ataogopa nini we umeona wapi hii kama sio vichwa vibovu,niliwahi kuandika kwamba tumebinafsisha mpaka mashirika yaliyokua yanapata faida, sasa tubinafsishe na ikulu japo kwa kuanzia mkataba wa miaka Kumi,tutangaze tenda waje hapa aidha wachina au mkoloni wetu muingeleza watutengenezee mifumo mizuri labda tutasonga au unasemaje
 
Kama hamna ligi mbona unanijibu?

Utajadiliana nini na mimi wakati elimu ya msingi ya kuweza kujadiliana na mimi umesema mwenyewe huna?

Kwahiyo watu wanavyo chat humu jf kwako wewe ni ligi, watu wakikujibu post zako kwako ni ligi wewe sio Mzima,

ni wewe ndio uli quote post yangu so ni wewe ndio ulitaka mjadala, Kama sio ligi mzee wa ligi,na nilisha kujibu Kama huwezi kujadili hapa fungua thread yako Waite magenetics wenzako mjadili genetics zenu,eti unataka kujadili na mimi? mi nilikuita si umeshoboka mwenyewe na post yangu, unajifanya mkalii! mkali jf ----- we
 
Kwahiyo watu wanavyo chat humu jf kwako wewe ni ligi, watu wakikujibu post zako kwako ni ligi wewe sio Mzima,

ni wewe ndio uli quote post yangu so ni wewe ndio ulitaka mjadala, Kama sio ligi mzee wa ligi,na nilisha kujibu Kama huwezi kujadili hapa fungua thread yako Waite magenetics wenzako mjadili genetics zenu,eti unataka kujadili na mimi? mi nilikuita si umeshoboka mwenyewe na post yangu, unajifanya mkalii! mkali jf ----- we

Hujui hata maana ya public forum.

Umekosa zaidi ya elimu ya baiolojia na genetics.
 
Sasa na wewe unarudi kulekule kwenye vichwa vibovu, mifumo ya elimu wamesha jalibu wamefeli, hii ndio inathibitisha vichwa ni vibovu, wewe unarudi tena nyuma unasema zinahitajika jitihada za msingi zipi tena, baada ya miaka 50 ya kujitawala,njia ni hiyo tu ku copy properly na kusimamia properly,na hii copy tusha copy vitu vingi tu na vikisimamiwa vizuri vinafanya Kazi,tatizo ni usimamizi hakuna watu wanaiba wanakula rushwa hawafanywi kitu, rais mwenyewe hashtakiwi sasa kwanini asiibe, ataogopa nini we umeona wapi hii kama sio vichwa vibovu,niliwahi kuandika kwamba tumebinafsisha mpaka mashirika yaliyokua yanapata faida, sasa tubinafsishe na ikulu japo kwa kuanzia mkataba wa miaka Kumi,tutangaze tenda waje hapa aidha wachina au mkoloni wetu muingeleza watutengenezee mifumo mizuri labda tutasonga au unasemaje

kukosa wasimamizi tayar ni umaskini wa fikra ... kutokumshtaki rais pia ni umaskini wa fikra..mimi nachotaka ni kuona afrika ina mawazo mapya..upya wa mawazo utakuja baada ya kutengenezwa kwa misingi sahihi....mkuu skatai kucopy lakini una copy kwa akili ile ile ndogo fikra zile zile unafikiri matokeo ya aliecopy na aliebuni yatafanana? ???
 
kukosa wasimamizi tayar ni umaskini wa fikra ... kutokumshtaki rais pia ni umaskini wa fikra..mimi nachotaka ni kuona afrika ina mawazo mapya..upya wa mawazo utakuja baada ya kutengenezwa kwa misingi sahihi....mkuu skatai kucopy lakini una copy kwa akili ile ile ndogo fikra zile zile unafikiri matokeo ya aliecopy na aliebuni yatafanana? ???

Mwanzo ndio huo lazima kucopy, na si fikiri Kama alie copy anaweza kuja kuwa creative zaidi ya aliebuni, kwa sababu ya nature lejea mfano wa mbwa,ukimchanganya mbwa muoga na mkali ata adapt ukali lakini akibaki peke yake anarudi kwenye uoga wake ni nature
 
Achana na mimi wewe genetics yenyewe hujui, utajua human nature!

Mimi ndiye wa kuachana na wewe wakati wewe huwezi kujizuia kunijibu?

Genetics hujaimaliza ushakimbilia human nature?
 
Mimi ndiye wa kuachana na wewe wakati wewe huwezi kujizuia kunijibu?

Genetics hujaimaliza ushakimbilia human nature?

Naona sasa umejua, ulifikili unachat na layman, mimi nilifupisha ndio maana nikaenda Moja kwa moja kwenye human nature,

haya basi na hii ni post ya mwisho sikujibu tena happy?
 
Naona sasa umejua, ulifikili unachat na layman, mimi nilifupisha ndio maana nikaenda Moja kwa moja kwenye human nature,

haya basi na hii ni post ya mwisho sikujibu tena happy?

Wewe jifunze spelling za Kiswahili kwanza kabla hujaingia kwenye human nature na genetics.

"Ulifikili" ni nini?
 
unataka ku judge akiki za watu jwa kuangalia rangi ya ngozi?

Wewe unayepima akiki za watu kwa kuangaloa rangibya ngozi bila kukia chochote kuhusu baiolojia au genetics una akili kweli?[/QUOTE]

Jifunze Kwanza wewe kiswahili umeona hapo ulivyo harisha
 
Hii ndio shida yako, humu hakuna shule, halafu unaamini wewe ndio mwalimu wa jf,na usijipe ujiko kusema nimekwambia unifundishe, nimeshakwambia humu ni majadiliano na hakuna shule humu watu humu wanaandika uongo,umbea, ukweli nakadhalka ni juu ya msomaji mwenyewe kuchuja ukweli na uongo,kwa hiyo kumbe ukiandika unaona unawapa watu shule, wee kweli kenge! watu wanashule zao humu kaka, wewe hujistukii tu lakini ni mshamba ,minajua mtu ana andika magenetics kumbe unaona jf ni shule kwa hiyo lectural tukulipe , eti sijui hata pa kuanzia anzia mkndn kwako,shwain!

Inawezekana kosa likawa la wazazi wako au kupendelea kukaa na madada poa 🙁
 
ujinga uchoyo na roho mbaya.
ujinga.unapoishi ktk mazingira bora kwa kutafutia na ukashindwa kuendelea inamaana ww ni mjinga
uchoyo.moja ya kanuni ya kuoata ni kutoa receaving is giving.hatuna roho ya kutoa na kusaidiana na hii hufanya iwe ngumu kuinuana.
roho mbaya.tupo radhi kumsaliti mwafrika mwenzetu kwa maslahi ya weupe.badala ya kufurahia maendekeo ya mwenzako tunachukia.pia kutawaliwa kumefanya tuzidi kuwa watumwa na hivo kutawaliwa kifikra mpaka leo
 
Back
Top Bottom