Kwanini sisi wanaume huwa tunawaacha wanawake wanaotupenda kwa dhati bila kutumia nguvu nyingi?

Kwanini sisi wanaume huwa tunawaacha wanawake wanaotupenda kwa dhati bila kutumia nguvu nyingi?

Eeeh bwana eeh wasalaaam.

Hebu wajuba njooni tutoe sababu za msingi zinazofanya tunawakimbia akina dada wanatupenda wao wenyewe bila kutumia nguvu nyingi.

Mimi binafsi nimekutana na kesi nyingi sana huwa nakinahiwa kabisa na ile hamu ya kuwa na mdada alienipenda bila mimi either kumtongoza or ile inaitwa sukuma mleviii kitu imo.

Katika kumbukumbu za hivi karibuni kuna mdada alikua akinipenda mno kutoka kanda ya ziwa tokea tulipokutana 823 kj msange tabora mujibu wa sheria.

Hivyo hivi karibuni kwakua still tulikua na mawasiliano alikuja kufunguka yeye mwenyewe,nilimkubalia ila sikua na ileee hamu haswaaa kama vile nikimtongoza mwenyewe mdada.

Basi bwana penzi lile halikufika hata week mimi nilimpotezea yule mdada wa watu mpaka leo nikikumbuka namuonea huruma,alikua akinipenda sana halafu mimi kwakua nilikua simkubali nilikua namchukulia poa,mpaka nilipokuja kutowasiliana nae tena mpaka leo hii.

Hebu tutoeni sababu za msingi ni kwanini inatokeaga hivii,mimi binafsi sipendi tu mdada ajirahisishe sana ndo mana huwa napoteza appetites.


Karibuni uzi uko tayari

NB: Mtanisamehe sipo vizuri katika ku narrate visa/habarii kikubwa content imeonekana inahitaji nini.

Ufala na ushamba tu unawasumbua

Kwani ukitongozwa lazima ukubali, Kama humtaki mtu si unakataa?

Hivi mfano mwanamke akiwakubalia wote wanaowatongoza maisha yangekuwaje?
 
Mimi nilipata mdada mmoja, tukisafiri kwenye daladala kumbe tuko mtaa mmoja..........mbili tatu, akakubali kuingia kwangu kunywa kahawa , punde si punde akala mti.
Tukapatana tena kwenye safari yetu, nikamrai akaingia ndani, kichapo tena, Mpaka mara tatu.

Mara ya nne , akatia zii...akaniuliza, yaani wewe kila ukiniona waniona mtu wa kuchapa vitu tu?, hebu leo tukae tuongeee....sikua na la kuongea , nikam sindikiza akaenda zake, baada ya hapo nilikua nikimuona namhepa!!!!
 
[emoji23][emoji23] hata hao wanatunyanyapaa tukifika akizingua tunakimbia

Anyway Mimi nahisi kwangu ni kama ugonjwa unahitaji tiba sinaga hamu na mdada anaejirahisisha Sana!

Hivi kumpenda mtu ni kujirahisisha?

Vipi yule unayemtongoza akawa maharage ya Mbeya?

Watu mna mawazo mabaya sana

Kwahiyo ukitongoza wewe unaona hajajirahisisha hata Kama tabia zake ni za umalaya.
 
Nisikimbie Nini? Na huko kuja chumbani uje vipi Yani bado sijakusoma fresh
He he! Umeanza kelele kabla sijaja..😅
Chumbani chumbani mama we unafikiri chumba kipi..
 
Hivi ndege joni na afande mudo na michael makaranga bado wapo? Nimekumbuka mbali2 kuchota maji kwnye lile karo na kufagia barabara ya main gate had hosptali kwnye lile sanamu
Eeeh bwana eeh wasalaaam.

Hebu wajuba njooni tutoe sababu za msingi zinazofanya tunawakimbia akina dada wanatupenda wao wenyewe bila kutumia nguvu nyingi.

Mimi binafsi nimekutana na kesi nyingi sana huwa nakinahiwa kabisa na ile hamu ya kuwa na mdada alienipenda bila mimi either kumtongoza or ile inaitwa sukuma mleviii kitu imo.

Katika kumbukumbu za hivi karibuni kuna mdada alikua akinipenda mno kutoka kanda ya ziwa tokea tulipokutana 823 kj msange tabora mujibu wa sheria.

Hivyo hivi karibuni kwakua still tulikua na mawasiliano alikuja kufunguka yeye mwenyewe,nilimkubalia ila sikua na ileee hamu haswaaa kama vile nikimtongoza mwenyewe mdada.

Basi bwana penzi lile halikufika hata week mimi nilimpotezea yule mdada wa watu mpaka leo nikikumbuka namuonea huruma,alikua akinipenda sana halafu mimi kwakua nilikua simkubali nilikua namchukulia poa,mpaka nilipokuja kutowasiliana nae tena mpaka leo hii.

Hebu tutoeni sababu za msingi ni kwanini inatokeaga hivii,mimi binafsi sipendi tu mdada ajirahisishe sana ndo mana huwa napoteza appetites.


Karibuni uzi uko tayari

NB: Mtanisamehe sipo vizuri katika ku narrate visa/habarii kikubwa content imeonekana inahitaji nini.
 
Iliwahi kunitokea hata mimi. Kuna mdada alinipenda ile kinoma sema mimi sikuwa hata na ile chembe ya kumpenda yeye na nilimueleza ninavyojisikia kwake ila alilazimisha. Alitia huruma sana ikabidi nimkubalie kichwa upande nimsogezee siku. Ile tuna week ya pili tu akaanza kung'ang'ana kutaka nikajitambulishe kwao na yeye kwetu, ukicheki sikuwa tayari kuoa. Sikufikiria mara mbili kumwambia 'kwanzia sasa tumeachana'.

Ulimla papuchi? King Mufasa
 
Hivi ndege joni na afande mudo na michael makaranga bado wapo? Nimekumbuka mbali2 kuchota maji kwnye lile karo na kufagia barabara ya main gate had hosptali kwnye lile sanamu
[emoji23][emoji23][emoji23] dah kitambo kidogo Mkuu since 2016 kwasasa sijajua!
 
Back
Top Bottom