Kwanini sisi wanaume huwa tunawaacha wanawake wanaotupenda kwa dhati bila kutumia nguvu nyingi?

Kwanini sisi wanaume huwa tunawaacha wanawake wanaotupenda kwa dhati bila kutumia nguvu nyingi?

Wewe unampenda man wako? Au kwa kuwa Ana visenti kidogo?
Kama man wako ni business man au mwajiriwa siku akiwa Hana kazi utaendelea kumpenda?
Mtaishi humo ndani?
Au tufanye kapata tatizo dyudyu haisimami utavumilia wewe,hutotafuta jamaa na kuvunja ndoa?
Sema ukweli hapa
Umebadili topic, wewe siku mkeo akapata maradhi ambayo hayamruhusu kufanya mapenzi utaendelea kuishi naye bila kutafuta mwanamke mwingine?
 
Mwanaume jutafutie mwanamke anayekupenda....


Hawa wengine unaweza jitafutie pembeni bila yeye kujua.

Aya ya pili katype Rowin . Naomba mumuulize maswali.
Umeshindikana[emoji1781][emoji1781][emoji1781]
 
Maadili ya zamani hio kitu ndo ilikuwepo,sasa hivi unaweza katiza zako mtoto wa kiume na ishu zako unashangaa mdada anakukonyeza loh [emoji23][emoji23]
Juzi kuna manzi kanletea shobo kumbe nikaja gundua kapenda usmart wangu na ndinga. Nilienda nae lunch nikamchukua maelezo kisha nikamwambia ntamtafuta sikuhangaika nae hata.
 
Hukuwa tayar kuoa ila ulijawa na tamaa, nahutakuja kuishi kwamuda mrefu na mwanamke, pepo lipo nyuma yako, kaombewe
 
Juzi kuna manzi kanletea shobo kumbe nikaja gundua kapenda usmart wangu na ndinga. Nilienda nae lunch nikamchukua maelezo kisha nikamwambia ntamtafuta sikuhangaika nae hata.
Hahah ukatili wa kijinsia huo Mkuu,sema wanawake wanapenda sana wanaume wenye vistatus fulan hiviii
 
Malipo hapa hapa duniani mkuu,kule mbinguni tunaenda kuimba mapambio kwa wakristu au peponi na motoni kwa waislam.Hivo jiandae yanaweza kukuta.

Ila kupendwa na mwanamke hujampenda ni tatizo ila tatizo linakuwa kubwa wewe ukapenda sehemu usiyopendwa.
 
Malipo hapa hapa duniani mkuu,kule mbinguni tunaenda kuimba mapambio kwa wakristu au peponi na motoni kwa waislam.Hivo jiandae yanaweza kukuta.

Ila kupendwa na mwanamke hujampenda ni tatizo ila tatizo linakuwa kubwa wewe ukapenda sehemu usiyopendwa.
Mapenzi hayajawahi kueleweka
 
Eeeh bwana eeh wasalaaam.

Hebu wajuba njooni tutoe sababu za msingi zinazofanya tunawakimbia akina dada wanatupenda wao wenyewe bila kutumia nguvu nyingi.

Mimi binafsi nimekutana na kesi nyingi sana huwa nakinahiwa kabisa na ile hamu ya kuwa na mdada alienipenda bila mimi either kumtongoza or ile inaitwa sukuma mleviii kitu imo.

Katika kumbukumbu za hivi karibuni kuna mdada alikua akinipenda mno kutoka kanda ya ziwa tokea tulipokutana 823 kj msange tabora mujibu wa sheria.

Hivyo hivi karibuni kwakua still tulikua na mawasiliano alikuja kufunguka yeye mwenyewe,nilimkubalia ila sikua na ileee hamu haswaaa kama vile nikimtongoza mwenyewe mdada.

Basi bwana penzi lile halikufika hata week mimi nilimpotezea yule mdada wa watu mpaka leo nikikumbuka namuonea huruma,alikua akinipenda sana halafu mimi kwakua nilikua simkubali nilikua namchukulia poa,mpaka nilipokuja kutowasiliana nae tena mpaka leo hii.

Hebu tutoeni sababu za msingi ni kwanini inatokeaga hivii,mimi binafsi sipendi tu mdada ajirahisishe sana ndo mana huwa napoteza appetites.


Karibuni uzi uko tayari

NB: Mtanisamehe sipo vizuri katika ku narrate visa/habarii kikubwa content imeonekana inahitaji nini.
Hahaha
 
Iliwahi kunitokea hata mimi. Kuna mdada alinipenda ile kinoma sema mimi sikuwa hata na ile chembe ya kumpenda yeye na nilimueleza ninavyojisikia kwake ila alilazimisha. Alitia huruma sana ikabidi nimkubalie kichwa upande nimsogezee siku. Ile tuna week ya pili tu akaanza kung'ang'ana kutaka nikajitambulishe kwao na yeye kwetu, ukicheki sikuwa tayari kuoa. Sikufikiria mara mbili kumwambia 'kwanzia sasa tumeachana'.
Hahaha
 
Back
Top Bottom