Kwanini sisi wanaume huwa tunawaacha wanawake wanaotupenda kwa dhati bila kutumia nguvu nyingi?

Kwanini sisi wanaume huwa tunawaacha wanawake wanaotupenda kwa dhati bila kutumia nguvu nyingi?

Hivi kumpenda mtu ni kujirahisisha?

Vipi yule unayemtongoza akawa maharage ya Mbeya?

Watu mna mawazo mabaya sana

Kwahiyo ukitongoza wewe unaona hajajirahisisha hata Kama tabia zake ni za umalaya.
Bwana Mimi binafsi sijui ata nataka nini [emoji23][emoji23][emoji23] anyway huenda pia n mipango ya mungu kuwa hivyo!
 
Mimi nilipata mdada mmoja, tukisafiri kwenye daladala kumbe tuko mtaa mmoja..........mbili tatu, akakubali kuingia kwangu kunywa kahawa , punde si punde akala mti.
Tukapatana tena kwenye safari yetu, nikamrai akaingia ndani, kichapo tena, Mpaka mara tatu.

Mara ya nne , akatia zii...akaniuliza, yaani wewe kila ukiniona waniona mtu wa kuchapa vitu tu?, hebu leo tukae tuongeee....sikua na la kuongea , nikam sindikiza akaenda zake, baada ya hapo nilikua nikimuona namhepa!!!!
[emoji23][emoji23] dhambiii za kujitakia hizo
 
Sifikiri kama ni unyanyasaji. Kumpenda mtu sio kosa ila shida ni pale huyo unaempenda anakufeel kama wewe unavyo mfeel? Kingine ukiangalia wengine wanafanya hivyo ili kuonyeshana mtaani au anamalengo mengine ambayo sio rahisi kuyajua kwa haraka.
Facts mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa wanaume tupo wachache sana tunaokataaa directly tukitongozwa na madada..

Tena nahisi hawapo
Ufala na ushamba tu unawasumbua

Kwani ukitongozwa lazima ukubali, Kama humtaki mtu si unakataa?

Hivi mfano mwanamke akiwakubalia wote wanaowatongoza maisha yangekuwaje?
 
Wao si magwiji wa kutulazimisha tutoe matumizi na kutupelekesha mpaka mahakamani haya watushtaki na hilo la sisi kuwapiga chini pindi wakitupenda..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni mwendo wa kukomoana tu mpaka kiama kisimame!
 
Hakuna mwanamke anaempenda mwanaume kwa dhati,ukiona mwanamke anakwambia anakupenda jua
1.kwako Kuna maslahi Fulani ndiyo anayapenda sio wewe.
2.ameshapiga tochi mbele kwamba mwishowe Kuna kitu atakuja faidika kwako,kinyume na hapo,hakuna mwanamke anaempenda mwanamme.
Hutaki unaacha au chunguza kwa makini.
Kupenda na jambo la asili kabla ya maslahi,ila vichwa hufanyiwa overhaul kabla ya kuanza kutumika
Ss badala ya kuweka oil tena vinajazwa mataputapu
Ndo hao tunakumbana nao
 
Eeeh bwana eeh wasalaaam.

Hebu wajuba njooni tutoe sababu za msingi zinazofanya tunawakimbia akina dada wanatupenda wao wenyewe bila kutumia nguvu nyingi.

Mimi binafsi nimekutana na kesi nyingi sana huwa nakinahiwa kabisa na ile hamu ya kuwa na mdada alienipenda bila mimi either kumtongoza or ile inaitwa sukuma mleviii kitu imo.

Katika kumbukumbu za hivi karibuni kuna mdada alikua akinipenda mno kutoka kanda ya ziwa tokea tulipokutana 823 kj msange tabora mujibu wa sheria.

Hivyo hivi karibuni kwakua still tulikua na mawasiliano alikuja kufunguka yeye mwenyewe,nilimkubalia ila sikua na ileee hamu haswaaa kama vile nikimtongoza mwenyewe mdada.

Basi bwana penzi lile halikufika hata week mimi nilimpotezea yule mdada wa watu mpaka leo nikikumbuka namuonea huruma,alikua akinipenda sana halafu mimi kwakua nilikua simkubali nilikua namchukulia poa,mpaka nilipokuja kutowasiliana nae tena mpaka leo hii.

Hebu tutoeni sababu za msingi ni kwanini inatokeaga hivii,mimi binafsi sipendi tu mdada ajirahisishe sana ndo mana huwa napoteza appetites.


Karibuni uzi uko tayari

NB: Mtanisamehe sipo vizuri katika ku narrate visa/habarii kikubwa content imeonekana inahitaji nini.
Ulichoongea ndio sababu kuu ya kutokufanya hii biashara kichaa. Mwanamke unatakiwa kupendwa, kupendwa, kupendwa.
 
Maadili ya zamani hio kitu ndo ilikuwepo,sasa hivi unaweza katiza zako mtoto wa kiume na ishu zako unashangaa mdada anakukonyeza loh [emoji23][emoji23]
Ulichoongea ndio sababu kuu ya kutokufanya hii biashara kichaa. Mwanamke unatakiwa kupendwa, kupendwa, kupendwa.
 
Hakuna mwanamke anaempenda mwanaume kwa dhati,ukiona mwanamke anakwambia anakupenda jua
1.kwako Kuna maslahi Fulani ndiyo anayapenda sio wewe.
2.ameshapiga tochi mbele kwamba mwishowe Kuna kitu atakuja faidika kwako,kinyume na hapo,hakuna mwanamke anaempenda mwanamme.
Hutaki unaacha au chunguza kwa makini.

Wewe ni mwanaume ambaye hakika unawajua wanawake vilivyo. Hongera kwa kuutambua ukweli wa mambo kuhusu hawa wanawake
 
Eeeh bwana eeh wasalaaam.

Hebu wajuba njooni tutoe sababu za msingi zinazofanya tunawakimbia akina dada wanatupenda wao wenyewe bila kutumia nguvu nyingi.

Mimi binafsi nimekutana na kesi nyingi sana huwa nakinahiwa kabisa na ile hamu ya kuwa na mdada alienipenda bila mimi either kumtongoza or ile inaitwa sukuma mleviii kitu imo.

Katika kumbukumbu za hivi karibuni kuna mdada alikua akinipenda mno kutoka kanda ya ziwa tokea tulipokutana 823 kj msange tabora mujibu wa sheria.

Hivyo hivi karibuni kwakua still tulikua na mawasiliano alikuja kufunguka yeye mwenyewe,nilimkubalia ila sikua na ileee hamu haswaaa kama vile nikimtongoza mwenyewe mdada.

Basi bwana penzi lile halikufika hata week mimi nilimpotezea yule mdada wa watu mpaka leo nikikumbuka namuonea huruma,alikua akinipenda sana halafu mimi kwakua nilikua simkubali nilikua namchukulia poa,mpaka nilipokuja kutowasiliana nae tena mpaka leo hii.

Hebu tutoeni sababu za msingi ni kwanini inatokeaga hivii,mimi binafsi sipendi tu mdada ajirahisishe sana ndo mana huwa napoteza appetites.


Karibuni uzi uko tayari

NB: Mtanisamehe sipo vizuri katika ku narrate visa/habarii kikubwa content imeonekana inahitaji nini.

Sababu ni kwamba “ Good girls ain’t fun” hivyo tu.
 
Binafsi huwa namuheshimu sana mwanamke anayekuwa muwazi kusema anakupenda ,
huwa namchukulia kwa kiwango cha juu cha Hadhi na ujasiri aloonyesha . huwa pana mawili kwa upande Wangu.

nikitokea kumpenda na Mimi labda basi tutaenda sawa na ikitokea sijampenda huwa pia siwezi muumiza pia ,maana mambo huwenda yakageuka Leo kwake kesho kwangu

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom