Umebadili topic, wewe siku mkeo akapata maradhi ambayo hayamruhusu kufanya mapenzi utaendelea kuishi naye bila kutafuta mwanamke mwingine?Wewe unampenda man wako? Au kwa kuwa Ana visenti kidogo?
Kama man wako ni business man au mwajiriwa siku akiwa Hana kazi utaendelea kumpenda?
Mtaishi humo ndani?
Au tufanye kapata tatizo dyudyu haisimami utavumilia wewe,hutotafuta jamaa na kuvunja ndoa?
Sema ukweli hapa
Umeshindikana[emoji1781][emoji1781][emoji1781]Mwanaume jutafutie mwanamke anayekupenda....
Hawa wengine unaweza jitafutie pembeni bila yeye kujua.
Aya ya pili katype Rowin . Naomba mumuulize maswali.
Wengi wanakuaga hawana mvuto, imagine sanchi akuletee shobo utamuacha?Namchokaga fasta demu anaeonesha kunijali sana
Juzi kuna manzi kanletea shobo kumbe nikaja gundua kapenda usmart wangu na ndinga. Nilienda nae lunch nikamchukua maelezo kisha nikamwambia ntamtafuta sikuhangaika nae hata.Maadili ya zamani hio kitu ndo ilikuwepo,sasa hivi unaweza katiza zako mtoto wa kiume na ishu zako unashangaa mdada anakukonyeza loh [emoji23][emoji23]
Kwanini sio kweli? Mbona we umenikimbia?Sio kweli
Hahah ukatili wa kijinsia huo Mkuu,sema wanawake wanapenda sana wanaume wenye vistatus fulan hiviiiJuzi kuna manzi kanletea shobo kumbe nikaja gundua kapenda usmart wangu na ndinga. Nilienda nae lunch nikamchukua maelezo kisha nikamwambia ntamtafuta sikuhangaika nae hata.
kwel kabisa af mie mtu wa hivyo simtakagi. Aher ningemfata mwenyewe.Hahah ukatili wa kijinsia huo Mkuu,sema wanawake wanapenda sana wanaume wenye vistatus fulan hiviii
uhakikaYah pia inategemea anaekuletea shobo n nan,kama unamkubali shobo zinakua balanced
Mapenzi hayajawahi kuelewekaMalipo hapa hapa duniani mkuu,kule mbinguni tunaenda kuimba mapambio kwa wakristu au peponi na motoni kwa waislam.Hivo jiandae yanaweza kukuta.
Ila kupendwa na mwanamke hujampenda ni tatizo ila tatizo linakuwa kubwa wewe ukapenda sehemu usiyopendwa.
HahahaEeeh bwana eeh wasalaaam.
Hebu wajuba njooni tutoe sababu za msingi zinazofanya tunawakimbia akina dada wanatupenda wao wenyewe bila kutumia nguvu nyingi.
Mimi binafsi nimekutana na kesi nyingi sana huwa nakinahiwa kabisa na ile hamu ya kuwa na mdada alienipenda bila mimi either kumtongoza or ile inaitwa sukuma mleviii kitu imo.
Katika kumbukumbu za hivi karibuni kuna mdada alikua akinipenda mno kutoka kanda ya ziwa tokea tulipokutana 823 kj msange tabora mujibu wa sheria.
Hivyo hivi karibuni kwakua still tulikua na mawasiliano alikuja kufunguka yeye mwenyewe,nilimkubalia ila sikua na ileee hamu haswaaa kama vile nikimtongoza mwenyewe mdada.
Basi bwana penzi lile halikufika hata week mimi nilimpotezea yule mdada wa watu mpaka leo nikikumbuka namuonea huruma,alikua akinipenda sana halafu mimi kwakua nilikua simkubali nilikua namchukulia poa,mpaka nilipokuja kutowasiliana nae tena mpaka leo hii.
Hebu tutoeni sababu za msingi ni kwanini inatokeaga hivii,mimi binafsi sipendi tu mdada ajirahisishe sana ndo mana huwa napoteza appetites.
Karibuni uzi uko tayari
NB: Mtanisamehe sipo vizuri katika ku narrate visa/habarii kikubwa content imeonekana inahitaji nini.
HahahaIliwahi kunitokea hata mimi. Kuna mdada alinipenda ile kinoma sema mimi sikuwa hata na ile chembe ya kumpenda yeye na nilimueleza ninavyojisikia kwake ila alilazimisha. Alitia huruma sana ikabidi nimkubalie kichwa upande nimsogezee siku. Ile tuna week ya pili tu akaanza kung'ang'ana kutaka nikajitambulishe kwao na yeye kwetu, ukicheki sikuwa tayari kuoa. Sikufikiria mara mbili kumwambia 'kwanzia sasa tumeachana'.