Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
Tuwaulize hao mademu wakaliMnaoneshana vyeti vya kuzaliwa wakati wa kutongozana???
nyie wanawatumia kama manunu wa Wema.. a.k.a lamba lamba.. mnapiga deki sanaa vijanaa kuliko kupeleka motouongo
sisi wa 2000s ndo tunapata tenda sana skuizi,
Hizo hisia sisi ndio mabaharia wa Kila kitu na magod father Kila angle za rizikiHao wanakuibia!!!
Inabidi kujua mtu ayezaliwa 80s leo ni mtu mzima ana maisha yake tofauti na wa 90/2000s hao ni kula kulala so madanga yakuona mgodi wa kuchuma.
sema mnapigwa matukio ya kuachwaaa kikatili sanaaa π πukweli unauma sana
Inaelekea wewe mawazo yako ni kwa wanawake tu,what do you get out of it.Pole sana.Habarini nyote,
nimefanya kautafiti ka rasha rasha ni hivi mademu wakali wengi wanatupenda sisi wanaume wazaliwa wa 1980s kuliko hayo makundi mengine.
Na kila mikoa ninayozunguka kibiashara kote vybe ni hilo hilo.
Tusaidiane majibu kwa nini iko hivyo?
Ni hayo tu πππ
Kichwamoto unakijua wewe acha ujinga kama unajamba vile fyuuuInaelekea wewe mawazo yako ni kwa wanawake tu,what do you get out of it.Pole sana.
Mtoa mada anajizma data, uzee unamdanganya kuwa kulaghaiwa ndio kupendwa [emoji3]Tumeshazeeka
We are sugar daddies