Kwanini sisi wanaume wa 1980s tunapendwa sana na mademu wakali kila sehemu?

Kwanini sisi wanaume wa 1980s tunapendwa sana na mademu wakali kila sehemu?

KIla Generation ina Wakati wake. Nyie wa 80 sasa Mnazeeka.
 
Sisi wa 90s tupo pale tunaangalia ugomvi huu wa 80s na 2000s, atakayeshinda aje abishane na sisi.
 
Habarini nyote,

Nimefanya kautafiti ka rasha rasha ni hivi mademu wakali wengi wanatupenda sisi wanaume wazaliwa wa 1980s kuliko hayo makundi mengine.

Na kila mikoa ninayozunguka kibiashara kote vybe ni hilo hilo.

Tusaidiane majibu kwa nini iko hivyo?

Ni hayo tu 🙏🙏🙏
Wazaliwa wa 1980s wana combination nzuri ya pesa na nguvu. Sio zaidi ya hivyo. Hawa wa 1990s na 2000s wana nguvu lakini kimaisha bado wanajitafuta. Hawa wa 1970s kurudi nyuma, financial base nzuri ila ndo hivyo tena, nguvu hamna. Miaka 10 ijayo, graph itabadilika.
 
Back
Top Bottom