Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Unakuta mshkaji ana kitambi demu ana kitambi na Tako🤔🤔🤔Unawazaga style ipi hasaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuta mshkaji ana kitambi demu ana kitambi na Tako🤔🤔🤔Unawazaga style ipi hasaa?
Utani tuUmeamua kunipasulia jipu.
Uzee huu
Mkuu,mbona hapo juu niliandika nilikuwa nataniaAisee..
Mfano, mwanaume aliyezaliwa 1988 ni 35 yr old sasa hivi, huyo ni mzee?! Labda kwa Ke
Sis siku hizi unashinda jukwaa lipi na lipi nikufuate?Duh [emoji1787][emoji1787]
Kajambe mbeleuongo
sisi wa 2000s ndo tunapata tenda sana skuizi,
Ila c wote..kuna jitu lina 34 linapenda kulelewaInasemekana mwanaume anakuwa mwanaume kamili na mwenye mvuto anapo fika miaka 30+ labda ndio sababu
Nipo humuhumu. Zaidi sana uzi wetu pendwa ule unaujuaSis siku hizi unashinda jukwaa lipi na lipi nikufuate?
nasemea mvuto wa kiume yaan muonekano c kiuchumiIla c wote..kuna jitu lina 34 linapenda kulelewa
NaujuaNipo humuhumu. Zaidi sana uzi wetu pendwa ule unaujua
HayaNaujua
Ukipata nzuri ya mwaka huu isiyo ya vijijini naomba unitag
Hahaha..Mkuu,mbona hapo juu niliandika nilikuwa natania
Wazaliwa wa 1980s wana combination nzuri ya pesa na nguvu. Sio zaidi ya hivyo. Hawa wa 1990s na 2000s wana nguvu lakini kimaisha bado wanajitafuta. Hawa wa 1970s kurudi nyuma, financial base nzuri ila ndo hivyo tena, nguvu hamna. Miaka 10 ijayo, graph itabadilika.Habarini nyote,
Nimefanya kautafiti ka rasha rasha ni hivi mademu wakali wengi wanatupenda sisi wanaume wazaliwa wa 1980s kuliko hayo makundi mengine.
Na kila mikoa ninayozunguka kibiashara kote vybe ni hilo hilo.
Tusaidiane majibu kwa nini iko hivyo?
Ni hayo tu 🙏🙏🙏