Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
- Thread starter
- #21
Huo wivu acheni hizo bana tunawazidi Kila kitu nyie simbilisiMtoa mada anajizma data, uzee unamdanganya kuwa kulaghaiwa ndio kupendwa [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo wivu acheni hizo bana tunawazidi Kila kitu nyie simbilisiMtoa mada anajizma data, uzee unamdanganya kuwa kulaghaiwa ndio kupendwa [emoji3]
Miaka 10 nyuma walikuwa wanapendwa wa 1970,ambao sasa hv wana miaka 50,wameshachoka na magonjwa wameamua kutulizana na familia,miaka 7 to 10 ijayo wataanza kupendwa wa miaka 1990Habarini nyote,
Nimefanya kautafiti ka rasha rasha ni hivi mademu wakali wengi wanatupenda sisi wanaume wazaliwa wa 1980s kuliko hayo makundi mengine.
Na kila mikoa ninayozunguka kibiashara kote vybe ni hilo hilo.
Tusaidiane majibu kwa nini iko hivyo?
Ni hayo tu 🙏🙏🙏
Very trueMiaka 10 nyuma walikuwa wanapendwa wa 1970,ambao sasa hv wana miaka 50,wameshachoka na magonjwa wameamua kutulizana na familia,miaka 7 to 10 ijayo wataanza kupendwa wa miaka 1990
UmeniumizaMwanaume aliyezaliwa miaka ya 80 naonaga ni mzee
[emoji23][emoji23][emoji119]Mnaoneshana vyeti vya kuzaliwa wakati wa kutongozana???
Uzee au ujana ni fikra mkuu, namaanisha namna unavyofikiri.Mwanaume aliyezaliwa miaka ya 80 naonaga ni mzee
Hujawahi kusikia msemo wa "ng'ombe hazeeki maini" nafikiri wanabase hapo!! Off course kwa umri huo mambo mengi yalishatulia, miradi inaenda vizuri, na bado nguvu wanazo, etc, kwa mazingira hayo inabidi wawe makini otherwise totos wamenusa huko fedha!! Tena hawa totos wa karne ya 21 ni balaa!! hawaogopi mvi wala nini!!Mwanaume aliyezaliwa miaka ya 80 naonaga ni mzee
Mkuu,natania...uzee haupo miaka ya 80'sHujawahi kusikia msemo wa "ng'ombe hazeeki maini" nafikiri wanabase hapo!! Off course kwa umri huo mambo mengi yalishatulia, miradi inaenda vizuri, na bado nguvu wanazo, etc, kwa mazingira hayo inabidi wawe makini otherwise totos wamenusa huko fedha!! Tena hawa totos wa karne ya 21 ni balaa!! hawaogopi mvi wala nini!!
Kwahiyo Diamond wa 1989 ni mzee anayeimba Bongofleva?Nyie ni wazee ndio maana wanawapenda au mnajiona bdo vijana, na ukweli ni kwamba hawana mapnz ya dhati na nyie bali wanatumia udhaifu wenu wa kifikra kuwalaghai...[emoji3]
Endelea kujiona kijana wakat umri umeshasonga mkuuKwahiyo Diamond wa 1989 ni mzee anayeimba Bongofleva?
Yaani ukiulizwa swali kuwa wataje wazee wa nchi hii wawili,utaanza labda na Mzee Wasira halafu wa pili ni Diamond Platinumz?
Kwakweli inabidi somo la utambuzi litiliwe mkazo.
Labda aseme hao wa 80s ni wanaume ambao kuna wanaokua washajipata kimaisha ndio wanatafutwa ila vinginevyo ni stori tu.uongo
sisi wa 2000s ndo tunapata tenda sana skuizi,
Mnaoshia kuishika na kuichezea mbususu kama mdoli.Sisi wa 1960 ndyo tunapendwa
😂 😂 madeeeemKumbe mademu…Woi!hiyo ni lazima.
Nilijua unapendwa wanawake wanaojielewa😁
Nakupendaga weww tu mademu ni swaga za kwenye utafutaji tu, sijui nikikufahamu itakuwaje imagine sikufahamu nakukubali sanaKumbe mademu…Woi!hiyo ni lazima.
Nilijua unapendwa wanawake wanaojielewa😁
Duh [emoji1787][emoji1787]Mwanaume aliyezaliwa miaka ya 80 naonaga ni mzee
Mkuu umeandika kwa msisitizo hahahaKwahiyo Diamond wa 1989 ni mzee anayeimba Bongofleva?
Yaani ukiulizwa swali kuwa wataje wazee wa nchi hii wawili,utaanza labda na Mzee Wasira halafu wa pili ni Diamond Platinumz?
Kwakweli inabidi somo la utambuzi litiliwe mkazo.
Abeee😂 😂 madeeeem