Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

ninachofahamu ni kwamba wengi wa wanaume wanahitaji wanawake wanaoweza kuwahandle,ni vigumu kumhandle mwanamke wa sample kama hiyo that's y most of the men decide to marry portable wife(easy to handle,portable to carry).
Sio kweli mkuu
 
Makalio na unene sio sifa kwa muoaji bali ni sifa kwa muolewaj ndio sbabu mke mwenye sifa hizo hapo ju anajisikia sana lakin kwa vyovyote vile tumtegemee mungu kwan kila kitu ni chake
 
Kila mwanaume anakuwa anawatamani hii inafanya mshawishike kuwakubali wanaume wengi na mwanaume akishajua hujatulia anashindwa kuweka kambi kwa kujua utamsumbua kwenye ndoa
 
Anzeni kutongoza wanaume ila mjiandae ku cope na majibu ambayo huwa yanatolewa unapotongoza...
Hahahaha uliwatisha sana tangia enzi hizo mpaka sasa hawajielewi ujue mkuu🤣🤣
 
Kila mwanaume anakuwa anawatamani hii inafanya mshawishike kuwakubali wanaume wengi na mwanaume akishajua hujatulia anashindwa kuweka kambi kwa kujua utamsumbua kwenye ndoa
Una ujumbe mzuri lakini hujaweka vituo wala kufuata mantiki ili uweleke vizuri mkuu.
 
2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.
Kuna kipindi vitambi venu hua haviondoki yaan unaishi ndani na Mwanamke ana kitambi kweli kitambi makalio yamejaa na kitumbo kimejaa na mimba hana? Alafu titi sasa likishadondoka ndala ndala sio ndala yaan hapo haujazaa mtoto hata mmoja titi lishaanguka, sura nzuri tako zuri ila sasa kitambi na titi ndala zikasome hapo unakuta umri wako ndogo Ila ndio hivyo
 
Kila mtu ana mzigo wake kwanini mm nibebe mzigo wako
 

Changamoto sana
 

Inategemea, Kama makalio yamefyonza akili, huwezi olewa, ila kama akili ipo, walahi vijana wanapenda makalio.
 
wanaogopa shepu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…