Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

kimsingi unene nimesema ni hali iliyozidi kiwango cha upana wa kawaida ukilinganisha na urefu.
WANENE:wafupi wanajulikana kama VIFUTU.
WANENE:wenye urefu wa kawaida MABONGE
WANENE:warefu wapo,MABONGE:
japo nahisi mleta hoja aliwalenga zaidi wenye urefu wa kawaida na wale warefu.
KWA NINI HATUPENDI WANENE.
1.unene ama ubonge ni kasoro ambayo binadamu asingestahili kuwa nayo sawa na kasoro zingine za kimaumbile
2.unene unawapa shida walio wanene,mfano ni wepesi kutokwa jasho jingi(ki biolojia zaidi),wazembe,wanahema kwa shida hata kwa kufanya kazi ndogo tu,kutembea kwao ni tabu sana,presha ni ugonjwa wa kawaida kwao mfano kuna utafiti umefanyika marekani na kugundua UNENE unaotokana na kula sana unaua kwa wingi kuliko utapiamlo(hali ya kutokula kwa kukosa chakula),WATU WALIOKUFA MAREKANI KWA SABABU YA UNENE WALIKUWA NI WENGI KULIKO WALIKUFA SOMALIA KWA NJAA.
3.kwa mtazamo wangu kimumekano wanene hawapendezi hata wakifanya nini
4.mnene na mwembamba wapi na wapi?hata ukitembea nae hamleti uwiano sawa.
 
Sasa we mwili mkubwa, kalio kubwa na mara nyingi wa hivi, na nyonyo nayo huwa kubwa, hivi ukinikumbatia mimi kimbaumbau si utaonekana umelala peke yako? Halafu huo mkumbatio unaweza ukanikosesha pumzi na mwisho nikafa.... Sasa kujiepusha na kifo nawakwepa
Sio kwamba akikukumbatia unakuwa kama katoto kake, unakaribia kutoa shikamoo.
 
huu ndio ukweli unao uma saaaaaaaana

you sound bitten by wenye maumbo makubwa; maana kusema "huu ndio ukweli unao uma saaaaaaaana" bila mashaka yoyote ni too much. wembamba hawagawi?

Acheni watu na maumbile yao walioumbwa nayo na Mungu, wengine ni genetic issues na sio uzemba; kati yetu hakuna hata mmoja ambaye aliomba kuumbwa the wey alivyoumbwa na hakuna ambaye anaweza hata kuumba kijiunywele kimoja.
 
mnnnnh watu8 mbona naona kama wamevaa tuviatu fulani hatuwafanyi watune huko nyuma au ndiyo majaaaaliwa ya muumba.

Hayo ni majaaliwa ya Maulana, wengine kawapa na wengine kawanyima
Aliowapa ndio hawa wanaosumbua na kubandika matangazo yao humu pasipo kujua kazi ya makalio ni kwa ajili ya kukaa tu...
Hebu muone na mwingine huyu hapa kama alivyonaswa kwenye kamera za wanyatuzi ndani ya Metro

big-booty-girls-6.jpg
 
Kwani mtu mnene anaanzia kilo ngapi?
Inategemea na urefu.ukiwa mfupi sana chini ya 150cm, halafu una kilo 70 lazima uwe kituko.wakati msichana mrefu wa kuanzia 170cm akiwa na kilo 70 anaonekana wa kawaida sana.
Unene unaoambatana na kuwepo kwa mikunjo mwilini kama mtoto mchanga, ndiyo huo unaokera zaidi
Obese%2BBlack%2BWoman.jpg
 
unaongelea vibonge au wanene??? ....mara nyingi ni wazuri wa kuwaangalia kwa nje..lakini ukiwa naye ndani ni boring na hawavutii wakishavua nguo zao!
 
jibu la mwisho nihamie na kwa siasa.
"TOO MUCH OF ANYTHING IS HARMFUL"
mimi nasema too much of anything is a defect.
ukiwa mfupi sana tabu,ukiwa mrefu sana tabu,ukiwa mweupe sana tabu,ukiwa mweusi sana tabu.
WAFUPI NAO HAWAOLEWI
Warefu sana nao hawaolewi.
Wanene sana nao hawaolewi.
NB:KUHUSU KUNUKA KIRAHISI KWA MWANAMKE MNENE INATOKANA NA WEPESI WA MWILI WAKE KUTOKWA JASHO MARA KWA MARA NA KWA WINGI,hivyo usafi wake unakaa kwa mda mfupi sana kuliko wembamba na wa kawaida.
AKITOKWA JASHO TAYARI ASHAANZA KUBADILIKA KUTOKA KUWA MSAFI KWENDA.......
 
1.unene ama ubonge ni kasoro ambayo binadamu asingestahili kuwa nayo sawa na kasoro zingine za kimaumbile
2.unene unawapa shida walio wanene,mfano ni wepesi kutokwa jasho jingi(ki biolojia zaidi),wazembe,wanahema kwa shida hata kwa kufanya kazi ndogo tu,kutembea kwao ni tabu sana,presha ni ugonjwa wa kawaida kwao mfano kuna utafiti umefanyika marekani na kugundua UNENE unaotokana na kula sana unaua kwa wingi kuliko utapiamlo(hali ya kutokula kwa kukosa chakula),WATU WALIOKUFA MAREKANI KWA SABABU YA UNENE WALIKUWA NI WENGI KULIKO WALIKUFA SOMALIA KWA NJAA.
3.kwa mtazamo wangu kimumekano wanene hawapendezi hata wakifanya nini
4.mnene na mwembamba wapi na wapi?hata ukitembea nae hamleti uwiano sawa.

Ngoja nikusaidie kutenganisha kati ya facts na opinion; na kumbuka OPINION IS AN ASSHOLE, EVERY ONE HAS ONE
Hiyo no
  1. OPINION
  2. NUSU FACT (obesity) the rest ni OPINION
  3. SAFI SANA MAANA HAPO UMEONESHA KUWA NI OPINION YAKO
  4. OPINION PIA
 
Hayo ni majaaliwa ya Maulana, wengine kawapa na wengine kawanyima
Aliowapa ndio hawa wanaosumbua na kubandika matangazo yao humu pasipo kujua kazi ya makalio ni kwa ajili ya kukaa tu...
Hebu muone na mwingine huyu hapa kama alivyonaswa kwenye kamera za wanyatuzi ndani ya Metro
big-booty-girls-6.jpg

hahahaha kweli aliyefanya baridi ya Ulaya ndo huyo kafanya joto la Bongo....aliyefanya weupe ndo huyo kafanya weusi tiii......ili mradi kila mtu achague kile roho inataka.
 
Shida kubwa ni ushuzi dah ukubwa wa makalio wingi wa mashuzi nyumba haikaliki
 
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?

1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a)Miili yetu imepitwa na wakati,
(b)Labda wanadhani tutashindwa mechi
.

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a)Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.

NALILETA MEZANI TULIJADILI
.

hii mada yako ni ngumu sana na wengi watakujubu tu bila kujua au kufikiria, but ki ukweli wanaume wengu tunapenda kum miliki msichana tunapokuwa katka sex but ukiwa na umbo kuubwa kukumiliki inakuwa shida kdgo, and weng wenu ni wavivu sana kwa bed that while tunakuwa hatupo family na kuna unene mwingne umepitiliza hata hamu hautii,
 
hii mada yako ni ngumu sana na wengi watakujubu tu bila kujua au kufikiria, but ki ukweli wanaume wengu tunapenda kum miliki msichana tunapokuwa katka sex but ukiwa na umbo kuubwa kukumiliki inakuwa shida kdgo, and weng wenu ni wavivu sana kwa bed that while tunakuwa hatupo family na kuna unene mwingne umepitiliza hata hamu hautii,

Wewe uko upande gani?
 
mnajidhalilisha. hivi unafikiri mwanaume gani utampa 0713 halafu akuoe?. sio wote wanene ambao hawaolewi, wanao jielewa wameolewa. mabonge wengi wavivu. unakuta ananawa miguu, mikono na uso kisha anaondoka bila hata kuoga sana sana atajipulizia manukato. acheni kujirahisisha. mabonge nmapenda kula ovyo ovyo, mahindi,karanga,papai, twist, parachichi, soda nk tena barabarani huku akitembea. mtu bonge nyama zimebebana kiasi kwamba akioga inabidi awe anainua nyama za tumbo na kusugua vingenevyo atanuka. mia

hahahaaa... Nimecheka mpaka basi....! Haki yanani kwa style hii lazima watabanana kufanya diet
 
Mpwa wangu Fidel80 anatamani azame kwenye kompyuta azoze na hizo bidhaa hapo...leo ipo shughuli huko kibaruani

Mpwa watu8 hizi kazi huwa napendelea kuziita Tandamu unaijua Fuso Tandamu? ndo hizo hii mzigo inaraha zake mi vimbau mbau vya nini bana alafu vina shipa kuuubwa chini ya tumbo sijui ndo pelvic girdle?
 
Last edited by a moderator:
inawezekana ni mawazo yetu ila kuna wanaume wanakwambia mwanamke mnene yeye kwake ndo somo wembamba no, anasema hata unapokuwa nae 6x6 uajihisi una mke siyo mwanamke mwembamba hata pakushka hamna ni mtazamo wa mdau
 
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?

1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a)Miili yetu imepitwa na wakati,
(b)Labda wanadhani tutashindwa mechi
.

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a)Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.

NALILETA MEZANI TULIJADILI
.

Mmezidi uchafu. Maeneo ya papuchi yamekuwa meusiiiiii kwa fangasi....
 
Back
Top Bottom