Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?

1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a)miili yetu imepitwa na wakati,
(b)labda wanadhani tutashindwa mechi
.

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a)tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)tuanze kuwatongoza wanaume.

Nalileta mezani tulijadili
.

tatizo mkipewa inye kubwa mnajihisi watu wazima wakati akili bado za kitoto ndo maana mibaba inawagegedua..na vijana twaishia kusema wakubwa wanafaidi#fact
 
Kama unaamua kukonda na ili uwe healthy, fanya kwa ajili yako sio kwa ajili ya mwanamme.
 
Hayo ni majaaliwa ya Maulana, wengine kawapa na wengine kawanyima
Aliowapa ndio hawa wanaosumbua na kubandika matangazo yao humu pasipo kujua kazi ya makalio ni kwa ajili ya kukaa tu...
Hebu muone na mwingine huyu hapa kama alivyonaswa kwenye kamera za wanyatuzi ndani ya Metro

big-booty-girls-6.jpg
hakuona haja ya kushikilia bomba kwa mikono, amelishikilia kwa nanihii.
 
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?

1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a)Miili yetu imepitwa na wakati,
(b)Labda wanadhani tutashindwa mechi
.

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a)Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.

NALILETA MEZANI TULIJADILI
.

Tatizo maelezo yako hayatupi picha wewe ni mnene kiasi gani au unazungumzia wanawake wanene kwa kiasi gani.

Kama unafanana na avator yako, then kiafrika wewe sio mnene na wala sio mwembamba. Wanawake wengi wenye shepu hizo wengi wao (sio wote) wanakuaga na tabia ya kutembea na wanaume wengi simultaneously halafu wana take it easy kuwa mwanaume wake atamsamehe tu, na mara nyingi wanakuwa sio mafundi wa kuficha mambo yao ya pembeni, ni rahisi mno kushtukia kuwa ana-cheat. Kwa hiyo unakuta mara nyingi wanaume wanapenda kuwafanya wanawake wa pembeni. Katika wanawake kumi wenye shepu za hivyo ninaowafahamu, nane kati yao wanatabia niliyoieleza hapo kwenye bold.
 
Kwa kweli mabonge wengi wanajitahidi kwenye mechi ila shida yao wanagawa sana na wanatamaniwa na wanaume wengi so ndo mana wanaishia kuwa vidumu vya mkononi.

Mi nafikiri wanaume wengi wanavutiwa nao sana na rate ya kutongozwa inakuwa kubwa pia.
 
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?

1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a)Miili yetu imepitwa na wakati,
(b)Labda wanadhani tutashindwa mechi
.

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a)Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.

NALILETA MEZANI TULIJADILI
.



Mi nimependa tu hiyo avatar yako.
 
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?

1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a)Miili yetu imepitwa na wakati,
(b)Labda wanadhani tutashindwa mechi
.

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a)Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.

NALILETA MEZANI TULIJADILI
.

kama kweli unajiamini wewe ni futa! na sailoni ipo....ni pm.. haraka nakuowa....
 
duu! Sijui hata inakuwaje, unaemtaka humpati! Anaekutaka humtaki! Mi napendaga xna mwanamke mnene' kama unaweza kuwa mke mwema hebu ni pm'
 
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?

1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a)Miili yetu imepitwa na wakati,
(b)Labda wanadhani tutashindwa mechi
.

hiyo point ya kwanza imenitisha kidogo, inamaana unasema wewe na hao mnaongkza kwa kua vimada kwa waliooa, sasa kumbe hilo unalijua unadhani nani mjinga aoe wewe unaetambua kua ni kimada kwa waliooa?
hahaha, wengine mbona wanaolewa, ni wewe tu na sababu labda ni hiyo...
 
Inategemea na urefu wako na figure yako!!!!!!!!! Wkurya iko enda hewani sanaaa, najazia kwenye guu na paja zao na ile kalio ila haiko na nyonyo kabisaa wala tambi na kono nyembamba na iko nzito sanaaaa hadi kg 90 coz fupa yoa iko ndefu na zito! Na haina nyama uzembe hata kidogo!

Ila mutu ya pwani iko fupi naweza kuta na kilo 60 ila iko jaa nyama uzembe kila sehemu ya mwili.

Hapo kwa wakurya uko sahihi 100% umesahau sura! dah Mungu hakupi vyote
 
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?

1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a)Miili yetu imepitwa na wakati,
(b)Labda wanadhani tutashindwa mechi
.

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a)Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.

NALILETA MEZANI TULIJADILI
.

Ni mtazamo tu!!
mm ni kati ya wale wanaopenda wanawake wanene, tena wenye nyama kweli kweli, km kimbaumbau hata salaam hupati!

ila pia km mnafanywa vimada basi nyie ni nouma, mnakubalika kiasi cha kuogopwa kuwekwa ndani kwa kuhofia multiple-mgegedo from outsiders!!!
 
Labda ulimpata alifundwa kitchen part, ukanda wetu kusini ukimpata mnene kitandan co participative hadi inaboa.

Wa kusini huko wanalala kama gogo huyu mtoto wa kiluguru balaa kafundwa kafundika mpododo huo ila kiuno anavyo zungusha kama miguu ya fundi cherehani.
 
mimi nachojua hawa wanawake wenye buster kubwa ni kivutio saana cha wanaume wengi maana kila kidume anataka aonje ili ajue ladha ya hiyo turbo v8 ukitaka kujua hili wee angalia mahali wapo group ya wanaume alafu apite demu aliyejazia huko nyuma utaona woote wanageuka kumwangalia hata kama kuna wababu hapo lazima nao wageuke kuangalia huo mzigo uliobwebwa. hii hali inawafanya waoaji wengi kufeel insecure kuwa na mwanamke wa dizain hiyo maana wanahisi wanaume wengine wanammendea.

NB:

Wanawake wenye buster kubwa ndio wanaoongoza kuwa na ALBANUUN FILHAYAT DUNIA tamu ndogo na moto kuliko madem wembamba sasa hii ni kwa mujibu wa taarifa ya kiintelejensia zilizoto mtaani .
naunga mkono hoja asilimia mia kwa mia.,
 
Back
Top Bottom