Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

Kila mtu na wake,hata hao mabonge mbona tunaona wanaolewa?
 
Ndo mana waki-comment nawauliza maswali wanakimbia.

Wavute picha miaka 10 nyuma kabla wake zao hawajazaa, walikuwa na maumbo gani?
Tatizo wanaume wengi wanafata mkumbo, akianza mmoja kwenda against na mada, basi woote watakaofuatia watamsapoti wa awali, hata kama Ukweli anaujua.

Na nina uhakika wanaume waliokuja kusema kuwa hawawapendi wanawake wanene, ukienda majumbani mwao, ndio haohao wamewaweka ndani.
Ila hapa jukwaani hufuata mkumbo.

Mbona PM hujibu jamani, unajua unaupeleka mbio moyo nitakufa bure mtoto wa mwanamke mwenzio
 
Hahahah....
Siye watu wa pwani hupendelea vile vitu vinavyo vaibreti na kurindima mithili bata mzembe...halafu uwe unavikong'otea wakati vyombo"ndyofu" vishakubali...
Hao walioshupaa ngongingo kama kipande cha muwa wala hawapagawishi anaweza hata kukufia bure wakati wa kumpigisha kwata ukanunua kesi...


CC: Fidel80

I see watu8 umeanza lini kupenda mipododo? Watu wa Pwani mnapenda vimodel hii mizigo mikubwa mikubwa mtuachie sie wa Mwakareli jamani huu utakuwa ulafi sasa.
 
Last edited by a moderator:
Naona wakati mwalimu snowhite anafundisha somo la lugha ya picha ulikuwa umeenda kufanya usafi class area...

Kuna kiranja mmona mnoko alinifanyia ntimanyongo kwen kuhesabu namba ndo nikakosa kipindi....kunba picha hapa siioni?
 
Tatizo mmezxidi kugawa, hata ukiolewa miongoni mnasaliti sana ndoa zenu. Katika mademu warahisi kutongoza ni wenye maumbo hayo. Kitu kingine matakooo yenu yamekuwa kivutio kwa wanaume wengi na nyinyi kuona ni sifa sasa kila mtu mnamwachia abofye awezavyo.
huu ndio ukweli unao uma saaaaaaaana
 

Mi sijaoa natafuta mdada Mnene kama wewe,maana wanawake wa kiafirika wana asili ya unene,mwanamke nyama,english figure wagonjwa hao. mama pls nipe contact zako
 
Hahaha!
Sasa kama vijana hawatufati tufanyaje?
Tunaamua tu kujilipua na mibaba.

Aha kumbe vijana hawafuati? umedanganya? ila vijana wanawafuata sana sema mnataka wenye njuru za kutosha maana kijana hana cha kukupatia eti.
 
huwa mna jiona bora kuliko wengine dharau nyiiiingi...kisa mkipita kila mtu ana geuka kutizama kalio
 
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?

1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a)Miili yetu imepitwa na wakati,
(b)Labda wanadhani tutashindwa mechi
.

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a)Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.

NALILETA MEZANI TULIJADILI
.

Acha uongo wanaume wengi tunapenda wanawake wa aina kama yako, na ndiyo maana mwanamke wa aina hiyo akipita mtaani wanaume mate huwatoka.Mimi binafisi huo ndio ugonjwa wangu sipendi vimbaumbau hata kidogo.Maana nikiona kimbaumbau sipati hata stimu ya ku do.
 
Hahahah mkuu ushawahi kuhudhuria kwenye mikusanyiko ya Pwani "Taarabu"?...sasa ile miTurbo ndio ninayoiongelea hapa...

I see watu8 umeanza lini kupenda mipododo? Watu wa Pwani mnapenda vimodel hii mizigo mikubwa mikubwa mtuachie sie wa Mwakareli jamani huu utakuwa ulafi sasa.
 
Last edited by a moderator:
Wengi niwazembe katika kazi za nyumbani,weight yao ni kubwa so wakat wa kunonihino wanachosha balaa!SINA UHAKIKA LAKINI KWANI MI NAKAKIMBAUMBAU
 
Tatizo mmezxidi kugawa, hata ukiolewa miongoni mnasaliti sana ndoa zenu. Katika mademu warahisi kutongoza ni wenye maumbo hayo. Kitu kingine matakooo yenu yamekuwa kivutio kwa wanaume wengi na nyinyi kuona ni sifa sasa kila mtu mnamwachia abofye awezavyo.

Hilo nalo neno mkuu.
 
Hapa kuna "kabati" linatafuta mnunuzi...
Speaking of "kabati" namaanisha hivi...

FatGirl.jpg


Kuna kiranja mmona mnoko alinifanyia ntimanyongo kwen kuhesabu namba ndo nikakosa kipindi....kunba picha hapa siioni?
 
Hapa kuna "kabati" linatafuta mnunuzi...
Speaking of "kabati" namaanisha hivi...

FatGirl.jpg

ewaa sasa huyu ni MNENE KUPINDUKIA.....je dada yake na Asuta alikuwa anamaanisha hawa? sidhani....

Hebu wekamo na wa size yetu watu8
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom