Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,991
- 24,211
Huyu kazidi, hata amezeshwe kuku anajitapisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwa nilijua hapa hukosi aisee!
Ndo mana waki-comment nawauliza maswali wanakimbia.
Wavute picha miaka 10 nyuma kabla wake zao hawajazaa, walikuwa na maumbo gani?
Tatizo wanaume wengi wanafata mkumbo, akianza mmoja kwenda against na mada, basi woote watakaofuatia watamsapoti wa awali, hata kama Ukweli anaujua.
Na nina uhakika wanaume waliokuja kusema kuwa hawawapendi wanawake wanene, ukienda majumbani mwao, ndio haohao wamewaweka ndani.
Ila hapa jukwaani hufuata mkumbo.
Hahahah....
Siye watu wa pwani hupendelea vile vitu vinavyo vaibreti na kurindima mithili bata mzembe...halafu uwe unavikong'otea wakati vyombo"ndyofu" vishakubali...
Hao walioshupaa ngongingo kama kipande cha muwa wala hawapagawishi anaweza hata kukufia bure wakati wa kumpigisha kwata ukanunua kesi...
CC: Fidel80
huu ndio ukweli unao uma saaaaaaaanaTatizo mmezxidi kugawa, hata ukiolewa miongoni mnasaliti sana ndoa zenu. Katika mademu warahisi kutongoza ni wenye maumbo hayo. Kitu kingine matakooo yenu yamekuwa kivutio kwa wanaume wengi na nyinyi kuona ni sifa sasa kila mtu mnamwachia abofye awezavyo.
Hahaha!
Sasa kama vijana hawatufati tufanyaje?
Tunaamua tu kujilipua na mibaba.
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?
1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a)Miili yetu imepitwa na wakati,
(b)Labda wanadhani tutashindwa mechi.
2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a)Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.
NALILETA MEZANI TULIJADILI.
I see watu8 umeanza lini kupenda mipododo? Watu wa Pwani mnapenda vimodel hii mizigo mikubwa mikubwa mtuachie sie wa Mwakareli jamani huu utakuwa ulafi sasa.
Tatizo mmezxidi kugawa, hata ukiolewa miongoni mnasaliti sana ndoa zenu. Katika mademu warahisi kutongoza ni wenye maumbo hayo. Kitu kingine matakooo yenu yamekuwa kivutio kwa wanaume wengi na nyinyi kuona ni sifa sasa kila mtu mnamwachia abofye awezavyo.
Kuna kiranja mmona mnoko alinifanyia ntimanyongo kwen kuhesabu namba ndo nikakosa kipindi....kunba picha hapa siioni?