Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

Unene uliokithiri si mzuri hasa kiafya,lakini kusema wanawake wanene ni wachafu si kweli uchafu ni hulka ya mtu hiyo haina maumbile na wanawake wote wanene kwa wembamba,warefu na wafupi ni lazima wajitahidi kwa usafi kutokana na maumbile yao.
Mtoa maada naomba nkupe pole na kukusahihisha si wanawake wote wanene hawaolewi na kama u mnene sana jitahid upungue kwa usalama wa afya yako si kwaajili ya ndoa,kama una sifa za kuolewa utaolewa tu regardless umbo lako...
 
Wengi wa wanawake wanene hawajijali sana kiusafi hasa nguo za ndani, usafi wao wa ndani hasa papuchi kutokana na minyama uzembe kuzuia, hii inapelekea wengi wao watoe harufu zisizotarajiwa na wanaume wakati wa kula papuchi, kutokana na maambukizo ya fungus ndani ya papuchi.
kuna mmoja huyo nilitaka nile kabaang loh nilighairi papo hapo
 
mtoa hoja hiyo ni mindset yako tu there is no correlation kati ya body size na kuolewa kama hujipendi maumbile yako then una mcriticise muumba wako , suala la kuolewa inabidi Mungu ashirikishwe pia mkumbushe kupitia sala zako , everything happen for a reason mamii ,just remember every woman has got her own husband you gat me
 
wanawake mnajichelewesha wenyewe kwa kusubiria kuchumbiwa na kutongoza kwani nyie nani aliwaambia kuwa hamruhusiwi kueleza hisia zenu kwa yule unayehisi unampenda? Hofu yenu inakuwa wapi hasa? Haki sawa kwa kila mmoja wetu kueleza hisia zake, kuweni huru nanyi mtawekwa huru na ile kweli ya mioyoni mwenu.
 
Vipi wanaoolewa wakiwa wembamba kisha wakanenepa na kuongezeka makalio huachika kwenye ndoa?
 
hapa mkuu Malafyale tupo pamoja sana. uchafu.ni hulka ya mtu.bana

kumbe ndo maana umenisahau upo busy huku kwa watu wanaojitangaza wanakabang kubwa khaaa:A S 576::A S 576:
 
Last edited by a moderator:
wanawake mnajichelewesha wenyewe kwa kusubiria kuchumbiwa na kutongoza kwani nyie nani aliwaambia kuwa hamruhusiwi kueleza hisia zenu kwa yule unayehisi unampenda? Hofu yenu inakuwa wapi hasa? Haki sawa kwa kila mmoja wetu kueleza hisia zake, kuweni huru nanyi mtawekwa huru na ile kweli ya mioyoni mwenu.

:heh::heh:i love you and I want to marry you please accept my propozo
 
Having a big rear is
considered sexy for the majority of man. It’s not just a sign of a
healthy individual bit it also looks great in jeans. In fact, many
ancient fertility statues discovered all around the world have shown to
have a enormous butt. Granted that it’s probably to emphasize the
fertility function, still, it shows that big butt have been considered
as one of the good sign in woman since the old civilization.
Now modern science have also discovered that there is more benefit for
woman with big rear.
New study have revealed that having stored fat in your rear or your
thigh, or as known as subcutaneous fat, can actually improve your life
expectancy. The research conducted by experts from Mayo clinic in
Rochester, Minnesota US showed that these accumulated fat can help
reduce the risk of heart attack, stroke and diabetes.

Big Butt is A Good Thing
Noted that this doesn’t apply to stored fat on your belly or abdominal
fat. Apparently fat stored on your belly are not the same with the one
stored on your rear and thigh.
In the study the scientist discovered that the stored fat on your rear
and thigh contains anti-inflammatory enzyme that could release artery
blockage. It is also effective in encouraging your body to use your
natural insulin to fight off diseases and ironically, lose weight.
The subcutaneous fat is also breaks down slower than abdominal fat.
While this makes the fat harder loose, it also means it produces fewer
inflammatory cytokines which have been linked to heart disease, diabetes
and obesity.
“The surprising thing was that it wasn’t where the fat was located, it
was the kind of fat that was the most important variable,” explained Dr.
Ronald Kahn. “Even more surprising, it wasn’t that abdominal fat was
exerting negative effects, but that subcutaneous fat was producing a
good effect. I think it’s an important result because not only does it
say that not all fat is bad, but I think it points to a special aspect
of fat where we need to do more research.”
One of the researcher Dr Michael Jensen says that they are currently
looking for ways to increase fat production on your lower body without
increasing fat production anywhere else.
So if you one a healthy body you can now add pear shaped to your list of
option in addition to the more common guitar shape. The apple shape is
still not to be desired though.

Mkuu,inawezekana ukawa na mchango mzuri sana wa kumsaidia mtoa mada,ila sasaa,lugha uliyotumia haipo compartible na ya mtoa mada,unafikiri utakuwa umemsaidia kweli let say haelewi kidhungu
 
tatizo uvungu huwa unatema
sana yaani hata kula kabaang tabu tupu na kuachia ushuzi mara kwa mara
inabore nashauri wawe wanasafisha mvungu mara kwa mara

duuuu!,makavu livee,wamekusikia mkuu
 
Sababu nyingine ni sijui niite uvivu au uzembe? Mwanamke mnene akikaa mahali kuamka inakuwa shughuli, hata kama hitaji ni lake. Kitu atakachofanya ni kuanza kutuma wengine, watoto au mme. Ni wanaume wachahche wanoweza kuvumilia haraha ya kutumwatumwa. Ukioa kakiportable unapunguza miugomvi isiyohitajika ya kutumwa ukakataa halafu mtu anafura na baadae unanyimwa 'kakitu'.
 
Back
Top Bottom