Kwanini sisi wapare hatujui football?

Mkuu yaani serikali itenge bajeti kufanya tafiti kwamba kwanini hakuna wachezaji wapare? 😂😂😂😂
Serikali inaweza kutengeneza sera za kujenga viwanja milimani ili watoke watu wenye vipaji hivyo.
 
Hahaha, na kweli sijawahi sikia mchome, mbaga, mndeme. Ila nadhani hata wachaga na wamasai ni wachache, mara chache sana kusikia Lymo, mushi, saitoti, Mollel... Nadhani kaskazini na mpira kidogo ni changamoto.
Wacheze mpira ujambazi na pombe wamuachie nani.
 
Kipaji pia kinatembea kwenye familia, ukoo na jamii kwa kurithi. Uenda mababu wa mwanzoni katika ilo kabila hawakua na kipaji wala phisical favourite yoyote ya kusakata soka.
 
Jibu tosha kabisa , wachezaji wote ni walipata mda utotoni wa kucheza.
Hata hapa mjini bado mtoto wa mpare na mchaga hana mda wa kucheza ni full kulisha kuku na nguruwe
 
Hahaha, na kweli sijawahi sikia mchome, mbaga, mndeme. Ila nadhani hata wachaga na wamasai ni wachache, mara chache sana kusikia Lymo, mushi, saitoti, Mollel... Nadhani kaskazini na mpira kidogo ni changamoto.
Kumbuka Leodgar Tenga anatoka Kilimanjaro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…