ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Angesema wapare na wachagga ili mada iende sawa🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angesema wapare na wachagga ili mada iende sawa🤣🤣
Wewe huna akili una chuki za Kijingavimenifikisha hapa kwenye kujibu comment.
Kweli.Tanga nayo ni Kaskazini.
Sembuli ni ntu ya MorogoroWalikuwepo akina Sekilojo Chambua na Sembuli wote wlichezea Simba.
Chaaaa Harika .!!Toka nizaliwe sijawahi kuona au kusikia mcheza mpira mkubwa Tanzania ligi kuu ni mpare kwanini?
Naomba serikali ifanye utafiti.
Wacheze mpira ujambazi na pombe wamuachie nani.Hahaha, na kweli sijawahi sikia mchome, mbaga, mndeme. Ila nadhani hata wachaga na wamasai ni wachache, mara chache sana kusikia Lymo, mushi, saitoti, Mollel... Nadhani kaskazini na mpira kidogo ni changamoto.
Kwamba ujambazi na pombe ndo sifa ya watu wa kaskazini?Wacheze mpira ujambazi na pombe wamuachie nani.
Nahisi ndio huyo alikuwa timu kampeni enzi za kilimanjaro starsNimeambiwa na massawee alikuwepo.
Jibu tosha kabisa , wachezaji wote ni walipata mda utotoni wa kucheza.Moto anatakiwa apate muda wa kutosha kuwa huru acheze sana mpira ili awe fundi
Wazazi wengi upareni mtoto ni kazi kazi full under control. Usipofanya kazi za familia unaweza usile
Pwani watoto hawapewi sana kazi na wazazi wao. Mtoto anatafutwa ili ale.
Hivyo anakuwa na muda wa kutosha kujifunza mpira na mengineyo.
Ndio maana vijana wa kiume wa pwani wanna vipaji sana vya nje ya masomo. Na wanafanikiwa sana
Hata mabinti wa pwani ni mafundi KWA vile ukiachana na mafunzo ya unyago,hawabanwi sana katika ukuaji wao
Wachagga tumeingiaje hapo?😃😃😃Angesema wapare na wachagga ili mada iende sawa🤣🤣
Gadiel michael au ni mgweno yuleToka nizaliwe sijawahi kuona au kusikia mcheza mpira mkubwa Tanzania ligi kuu ni mpare kwanini?
Naomba serikali ifanye utafiti.
Kumbuka Leodgar Tenga anatoka Kilimanjaro.Hahaha, na kweli sijawahi sikia mchome, mbaga, mndeme. Ila nadhani hata wachaga na wamasai ni wachache, mara chache sana kusikia Lymo, mushi, saitoti, Mollel... Nadhani kaskazini na mpira kidogo ni changamoto.