matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
- #21
Kwa nini CCM watake wapinzani bungrni ikiwa uchaguzi huwa ni waushindani. Na kama ni ushindani basi hata wapinzani kuna siku wanaweza kukwaa Viti vyote?Inawezekana wapinzani wanajua kuwa wakikata rufaa watatoa mwanya wa wagombea wao wachache kupewa ushindi wa mezani ili kuhalalisha uchaguzi mzima na kuleta mpasuko kwenye vyama vyao. Hamna kitu kinachopiganiwa sasa kama kupata wapinzani wachache kutoka vyama vinavyoeleweka bungeni.
Amandla...
Au vyma vingi maana yake asipatikane ambaye wanaweza kushinda zaidi ya 90℅ hata kama wananchi wameamua.
Huoni hii sio democrasia