Kwanini sisikii kesi za Wagombea Ubunge upinzani kudai kuibiwa ushindi?

Kwanini sisikii kesi za Wagombea Ubunge upinzani kudai kuibiwa ushindi?

Inawezekana wapinzani wanajua kuwa wakikata rufaa watatoa mwanya wa wagombea wao wachache kupewa ushindi wa mezani ili kuhalalisha uchaguzi mzima na kuleta mpasuko kwenye vyama vyao. Hamna kitu kinachopiganiwa sasa kama kupata wapinzani wachache kutoka vyama vinavyoeleweka bungeni.

Amandla...
Hii nayo ni pointi, wamewaacha wajikaange kwa mafuta yao wenyewe.
 
Zaidi nasikia uchaguzi umeisha tufanye yajayo.

Miaka iliyopita watu walikuwa wanakwenda mahakamani kudai haki zao zilizopokonywa na wengine walishinda.

Je,
Hawana ushahidi?
Wamrkubali yaishe?
Hawajaibiwa Bali wamepigwa kisawasawa?
Wanatishwa?
Wanatafakari kilichotokea?
Wanajiandaa kuunga Mkono juhudi?

None of the above?
Tangy lini ,kesi ya mbuzi ikaamuliwa na fisi na ukapatikana uwanja tambarare?wa kuzungumzia kesi hiyo?
 
Mkuu, kwa mazingila yale, hata ukirudiwa uchaguzi mara10,matokeo yatakuwa hayo hayo. WE ULIONA WAPI MTU ANAKUTWA NA KURA AMBAZO ZISHAPIGWA TAYARI NJE YA KITUO, lakini hachukuliwi hatua yoyote?
Sasa unapelekaje kesi ya wizi kwa mwizi kwa mfano.
 
Zaidi nasikia uchaguzi umeisha tufanye yajayo.

Miaka iliyopita watu walikuwa wanakwenda mahakamani kudai haki zao zilizopokonywa na wengine walishinda.

Je,
Hawana ushahidi?
Wamrkubali yaishe?
Hawajaibiwa Bali wamepigwa kisawasawa?
Wanatishwa?
Wanatafakari kilichotokea?
Wanajiandaa kuunga Mkono juhudi?

None of the above?
Bila kuwa na nakala ya matokeo kutoka vituo vya kumpigia kura utakuwa na ushahidi gani?
 
You are a genius
Inawezekana wapinzani wanajua kuwa wakikata rufaa watatoa mwanya wa wagombea wao wachache kupewa ushindi wa mezani ili kuhalalisha uchaguzi mzima na kuleta mpasuko kwenye vyama vyao. Hamna kitu kinachopiganiwa sasa kama kupata wapinzani wachache kutoka vyama vinavyoeleweka bungeni.

Amandla...
 
Zaidi nasikia uchaguzi umeisha tufanye yajayo.

Miaka iliyopita watu walikuwa wanakwenda mahakamani kudai haki zao zilizopokonywa na wengine walishinda.

Je,
Hawana ushahidi?
Wamrkubali yaishe?
Hawajaibiwa Bali wamepigwa kisawasawa?
Wanatishwa?
Wanatafakari kilichotokea?
Wanajiandaa kuunga Mkono juhudi?

None of the above?
Kwa uxhaguzi upi chief. Ni uchaguzi mzima uliharibiwa na CCM
 
Kura zote zilizopigwa zikikuwa halali,maana hata amabae hakwenda kupiga kura ALIPIGA KURA tena alimpigia magufuli ba genge lake.hapo mahakama itaamuaje!!
 
Kushiriki uchaguzi huu kumefanya tuyafahamu mengi juu ya wizi uliotokea, kwa mdano Mimi, nimekuwa msimamizi wa uchaguzi huu ni wizi ulivyofanyika nimeona kwa macho yangu. Haukuwa uchaguzi nilikuwa ni upumbavu tu.
Wametudharau sana, yani tukio la mara moja kila baada ya miaka mitano kutokea ndio wamekuja kuligeuza la hovyo kabisa, wakaliondolea thamani yake yote.
 
Maandalizi ya wizi yalipangwa
Nakala za matokeo hawakupatiwa
Mahakamani wanaendaje?Kila kituo mnacho ,wizi hudanyika Kila uchaguzi Ila safari hii mmetia aibu.
Kama huku kusini SIsiem sijui wapi mlishinda
 
Zaidi nasikia uchaguzi umeisha tufanye yajayo.

Miaka iliyopita watu walikuwa wanakwenda mahakamani kudai haki zao zilizopokonywa na wengine walishinda.

Je,
Hawana ushahidi?
Wamrkubali yaishe?
Hawajaibiwa Bali wamepigwa kisawasawa?
Wanatishwa?
Wanatafakari kilichotokea?
Wanajiandaa kuunga Mkono juhudi?

None of the above?
Kesi ya nyani ....
 
Tushasema hakukuwa na uchaguzi Tanzania yalikuwa maigizo. Usifanye watu wajinga.
 
Huko tunduru imebidi mkurugenzi awabadilishe vituo watendaji Kata karibia wote .wanaogopa kurudi Toka waliondoka siku uchaguzi hawajarudi .wamegoma kurudi walikoshiriki uharifu waliiba Sana na kuyangaza walioshindwa.
Si kwa watu hawajui wameibaje Ila washiriki wa wizi wamekimbia adhabu ya waliowaibia.
Wake ambao waliwekeza Mali zao zimeteketea.kuna haja ya waliowashawishi kuiba wawalibe.
 
Tumegundua kwa hoja za wadau kuwa tatizo sio tu tume Bali bali wanaituhumu Mahakama pia.

Nilitegemea njia ya kuidhibiti tume isiyohuru hasa kwa uchaguzi wa wabunge ni mahakamani. Time ikiwa hivi hivi na tuhuma za kutokuwa guru tumewahi kuna wabungr wa upinzani wanashinda kesi na kutinga mjengoni.

Au tatizo ni kificho. Halijulikani ni tume au Mahakama au dola au mtawala au Ccm au wapinzani mwenyewe wanazingua
Mkuu kama ingekuwa ukishinda Mahakamani, basi unapewa Ubunge, nadhani zingefunguliwa kesi nyingi, na kwa mambo yalivyokuwa wazi sana, nina imani CCM wangepoteza majimbo mengi.
Lakini, ukishinda Mahakamani, utakutana tena naTume hii hii, Wakurugenzi walewale, Polisi hawahawa! Yatajirudia yale yale ya uchaguzi wa marudio, akina Waitara "walivyoshinda kwa kishindo", na kumpoteza mtoto Aguilina bila sababu!
 
Zaidi nasikia uchaguzi umeisha tufanye yajayo.

Miaka iliyopita watu walikuwa wanakwenda mahakamani kudai haki zao zilizopokonywa na wengine walishinda.

Je,
Hawana ushahidi?
Wamekubali yaishe?
Hawajaibiwa Bali wamepigwa kisawasawa?
Wanatishwa?
Wanatafakari kilichotokea?
Wanajiandaa kuunga Mkono juhudi?

None of the above?
Mkuu unaishi Tanzania hii hii tunayoishi?!Kwa nini unataka kesi ya Tumbili ipelekwe kwa Ngedere?Yaani kwa nini unataka kesi ya mwizi wa kura ipelekwe kwa msimamizi mkuu wa wizi wa kura?Unaelewa kuwa vyombo vya sheria pamoja na polisi ndiyo walikuwa wasimamizi wakuu wa wizi wa kura na waliokamatwa na kura fake walikuwa ni wasimamizi wasaidizi wa wizi wa kura?
 
Back
Top Bottom