Kwa kuzingatia hali ilivokuwa na ilivyo sishauri wafungue kesi.Zaidi nasikia uchaguzi umeisha tufanye yajayo.
Miaka iliyopita watu walikuwa wanakwenda mahakamani kudai haki zao zilizopokonywa na wengine walishinda.
Je,
Hawana ushahidi?
Wamekubali yaishe?
Hawajaibiwa Bali wamepigwa kisawasawa?
Wanatishwa?
Wanatafakari kilichotokea?
Wanajiandaa kuunga Mkono juhudi?
None of the above?
Wasingeshiriki haya ungeyajuaje?Matokeo ndio hayana Sifa au uchaguzi. Je wapinzani hawa kuwa na uwezo wa kuforecast na kuamua kutoshiriki ili hiki kinachofanyika sasa (kutokudai hali kama wameonewa) kisifanyike ili wahamishie mashambulizi huko ICC na EU, US
Tutaona,huwezi amini watakaa chiniMchezo sasa kaachiwa US, EU na ICC. Pambaneni na wababe sasa. Si mmezoea sana kutuonea?
Jiwe atakosa pesa za kuhonga mabarabarani tena, ili awabane vizuri watumishi kupitia TIN na walalahoi kupitia vitambulisho vya wamachinga. Tutalia sote safari hii.Ufipani wanafurahia utadhani kikombe kikipitishwa wao hawakinywi😁😁
Hapakuwa na uchaguzi, sasa kesi za uchaguzi zitatoka wapi?Zaidi nasikia uchaguzi umeisha tufanye yajayo.
Miaka iliyopita watu walikuwa wanakwenda mahakamani kudai haki zao zilizopokonywa na wengine walishinda.
Je,
Hawana ushahidi?
Wamekubali yaishe?
Hawajaibiwa Bali wamepigwa kisawasawa?
Wanatishwa?
Wanatafakari kilichotokea?
Wanajiandaa kuunga Mkono juhudi?
None of the above?