Kwasababu ndiye waziri mkuu wa kwanza kufa.Hakuwa waziri mkuu wa kwanza
Ila cha ajabu ndio waziri mkuu anayeenziwa kuliko wote hebu tazama
1.uwanja wa sokoine mbeya
2.Sokoine University of agriculture
3.sokoine road Arusha/Dar es salaam
4.sokoine secondary
5.sokoine regional refferal hospital lindi
6.kituo cha afya sokoine Singida
7.Sokoine house Tamisemi dodoma
Hayo ni baadhi tu
Yani ameenziwa kuzidi hata baadhi ya Marais na mawaziri wakuu
Mwinyi, mkapa, kikweteTaja Rais aliyezidiwa..labda maana alifanya kazi yake vizuri.
Tena alikufa akiwa madarakaniKwasababu ndiye waziri mkuu wa kwanza kufa.
Tena akasababisha jina la Sokoine liwe la kitaifa. Hadi makabila mengine kuna kina Moringe Sokoine kumuenziTena alikufa akiwa madarakani
Sababu alifariki akiwa madarakani tena ghafla kwa ajali ya gari, na pili uongozi wake unaweza ukaufananisha fananisha na uongozi wa JPM !!Hakuwa waziri mkuu wa kwanza
Ila cha ajabu ndio waziri mkuu anayeenziwa kuliko wote hebu tazama
1.uwanja wa sokoine mbeya
2.Sokoine University of agriculture
3.sokoine road Arusha/Dar es salaam
4.sokoine secondary
5.sokoine regional refferal hospital lindi
6.kituo cha afya sokoine Singida
7.Sokoine house Tamisemi dodoma
Hayo ni baadhi tu
Yani ameenziwa kuzidi hata baadhi ya Marais na mawaziri wakuu
Waziri Mkuu wa kwanza alikuwa Mwalimu Nyerere !Kwasababu ndiye waziri mkuu wa kwanza kufa.
Sokoine Memorial High School - Pale alipopatia ajali imejengwa shule kubwa ya serikali ya advanced. Mambo mengine ni nyota ya mtu haya yote yamefanyika wakati hayupo. Viongozi wengine wamepeana majina wakiwa hai kama Soko Kuu la Ndugai.Hakuwa waziri mkuu wa kwanza, Ila cha ajabu ndio waziri mkuu anayeenziwa kuliko wote hebu tazama,
1. Uwanja wa sokoine mbeya
2. Sokoine University of agriculture
3. Sokoine road Arusha/Dar es salaam
4. Sokoine secondary
5. Sokoine regional refferal hospital lindi
6. kituo cha afya sokoine Singida
7. Sokoine house Tamisemi dodoma
Hayo ni baadhi tu. Yaani ameenziwa kuzidi hata baadhi ya Marais na mawaziri wakuu.
KWa nini Sumaye awe hopeless? Kwa nini siyo Majaliwa au Pinda?Sasa ulitaka mtu hopeless kama Sumaye nae aenziwe?
... Mwl. Nyerere alikufa kabla ya Sokoine?Waziri Mkuu wa kwanza alikuwa Mwalimu Nyerere !
Mwenye shule unaendeleaje hapo Sitimbi?Sumaye hivi hata anashule