Kwanini Sokoine ndio Waziri Mkuu anayeenziwa kuliko wote Tanzania?

Kwanini Sokoine ndio Waziri Mkuu anayeenziwa kuliko wote Tanzania?

Hakuwa waziri mkuu wa kwanza, Ila cha ajabu ndio waziri mkuu anayeenziwa kuliko wote hebu tazama,
1. Uwanja wa sokoine mbeya
2. Sokoine University of agriculture
3. Sokoine road Arusha/Dar es salaam
4. Sokoine secondary
5. Sokoine regional refferal hospital lindi
6. kituo cha afya sokoine Singida
7. Sokoine house Tamisemi dodoma

Hayo ni baadhi tu. Yaani ameenziwa kuzidi hata baadhi ya Marais na mawaziri wakuu.
Hard work pay..
 
Hakuwa waziri mkuu wa kwanza, Ila cha ajabu ndio waziri mkuu anayeenziwa kuliko wote hebu tazama,
1. Uwanja wa sokoine mbeya
2. Sokoine University of agriculture
3. Sokoine road Arusha/Dar es salaam
4. Sokoine secondary
5. Sokoine regional refferal hospital lindi
6. kituo cha afya sokoine Singida
7. Sokoine house Tamisemi dodoma

Hayo ni baadhi tu. Yaani ameenziwa kuzidi hata baadhi ya Marais na mawaziri wakuu.
ANA ENZIWA KUTOKANA NA MAMBO MAKUBWA ALIYOYAFANYA NA PIA UADILIFU WAKE KWA TAIFA
 
Hakuwa waziri mkuu wa kwanza, Ila cha ajabu ndio waziri mkuu anayeenziwa kuliko wote hebu tazama,
1. Uwanja wa sokoine mbeya
2. Sokoine University of agriculture
3. Sokoine road Arusha/Dar es salaam
4. Sokoine secondary
5. Sokoine regional refferal hospital lindi
6. kituo cha afya sokoine Singida
7. Sokoine house Tamisemi dodoma

Hayo ni baadhi tu. Yaani ameenziwa kuzidi hata baadhi ya Marais na mawaziri wakuu.
Sababu kuu ni kuwa ALIKUFA akiwa Waziri mkuu akipambania Taifa.
 
Hakuwa waziri mkuu wa kwanza, Ila cha ajabu ndio waziri mkuu anayeenziwa kuliko wote hebu tazama,
1. Uwanja wa sokoine mbeya
2. Sokoine University of agriculture
3. Sokoine road Arusha/Dar es salaam
4. Sokoine secondary
5. Sokoine regional refferal hospital lindi
6. kituo cha afya sokoine Singida
7. Sokoine house Tamisemi dodoma

Hayo ni baadhi tu. Yaani ameenziwa kuzidi hata baadhi ya Marais na mawaziri wakuu.
Alifia kazini
 
... Mwl. Nyerere alikufa kabla ya Sokoine?
Mwalimu ndiye aliyekuwa waziri mkuu wa kwanza wa serikali ya Tanganyika tarehe 9 Dec 1961, Tanganyika ilipopata Uhuru, baadaye Mwl akajiuzulu na kumwachia Rashid Kawawa , na baada ya muda baada ya kujiuzulu katiba ikafanyiwa marekebisho na baadaye Mwalimu akachaguliwa kuwa Rais wa Kwanza wa Tanganyika. Kwahiyo Mwl ndio waziri Mkuu wa kwanza na waziri Mkuu wa pili ni Rashid Kawawa, wakati huo
 
Nadhani Vitu Vingi Vya Maana vilianzishwa au kujengwa katika kipindi akiwa Waziri Mkuu..na kwa Heshima ikabidi viitwe jina lake...siku hizi siasa zimekua nyingi...na viongozi walioko madarakani Wana wivu sana...wanapenda wavume wao tuu...any attempt kumheshimisha mwanasiasa mwingine inakua nongwa kwa sababu Viongozi wote wenye maamuzi ya juu bado Wana political ambitions zao, as a result juniors wote ambao kimsingi ndio hupendekeza majina ya kuita Taasisi au mtaa Fulani wanakua waoga kupendekeza jina la mtu ambaye hana nguvu tena kisiasa....kwa mfano...can you imagine Makamba apendekeze mradi wowote mkubwa ulioko kwenye Taasisi anayoiongoza uitwe Pinda au Magufuli?!....NEVER....Lakini yuko tayari ata kuita mitungi ya gas ..SAMIA CARE CYLINDERS

Punguza uongo...Hivyo vyote vimepewa jina lake vinejengwa Akiwa keshakufa....Sokoine alikufa madarakani....mshtuko na simanzi ya kifo ndo imepelekea watu kumuenzi... nothing more
 
Mwalimu ndiye aliyekuwa waziri mkuu wa kwanza wa serikali ya Tanganyika tarehe 9 Dec 1961, Tanganyika ilipopata Uhuru, baadaye Mwl akajiuzulu na kumwachia Rashid Kawawa , na baada ya muda baada ya kujiuzulu katiba ikafanyiwa marekebisho na baadaye Mwalimu akachaguliwa kuwa Rais wa Kwanza wa Tanganyika. Kwahiyo Mwl ndio waziri Mkuu wa kwanza na waziri Mkuu wa pili ni Rashid Kawawa, wakati huo
... kwa context ya waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania "ni nani" uko sahihi. Uliyem-quote mwanzoni alimaanisha "waziri mkuu wa kwanza kufa"; nakazia WA KWANZA KUFA. Keyword hapo ni "KUFA".
 
... kwa context ya waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania "ni nani" uko sahihi. Uliyem-quote mwanzoni alimaanisha "waziri mkuu wa kwanza kufa"; nakazia WA KWANZA KUFA. Keyword hapo ni "KUFA".
Ni marehemu Sokoine !
 
Back
Top Bottom