mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Duh! Kwani yanaweza kuwa contaminated ??!Hivi wajumbe wa CCM Wana allergy na maji ya kunywa? Wale wajumbe sijui hawasikii kiu? Huwezi kuona hata mmoja akinywa maji aliyowekewa mezani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Kwani yanaweza kuwa contaminated ??!Hivi wajumbe wa CCM Wana allergy na maji ya kunywa? Wale wajumbe sijui hawasikii kiu? Huwezi kuona hata mmoja akinywa maji aliyowekewa mezani.
Unataka kumlinganisha huyu kilaza aliyepo na wa awamu ya tatu na huyu mwamba??Taja Rais aliyezidiwa..labda maana alifanya kazi yake vizuri.
Ee usisubiri mtu afe ndio uone mchango wake. Mfano hivi karibuni ndugai alitupa alert kuwa nchi inaweza pigwa mnada tukamuona adui lakini muda unavyoenda tunaona wanaanza kutoka hadharani kubwatuka.Sokoine Memorial High School - Pale alipopatia ajali imejengwa shule kubwa ya serikali ya advanced. Mambo mengine ni nyota ya mtu haya yote yamefanyika wakati hayupo. Viongozi wengine wamepeana majina wakiwa hai kama Soko Kuu la Ndugai.
Alkuwa mchapakaz aliyegusa nyoyo za watanzania na kama hujui yul ndo angefata kuwa rais wa Awam y piliHakuwa waziri mkuu wa kwanza, Ila cha ajabu ndio waziri mkuu anayeenziwa kuliko wote hebu tazama,
1. Uwanja wa sokoine mbeya
2. Sokoine University of agriculture
3. Sokoine road Arusha/Dar es salaam
4. Sokoine secondary
5. Sokoine regional refferal hospital lindi
6. kituo cha afya sokoine Singida
7. Sokoine house Tamisemi dodoma
Hayo ni baadhi tu. Yaani ameenziwa kuzidi hata baadhi ya Marais na mawaziri wakuu.
Akiwa madarakani Yes !!Kwasababu ndiye waziri mkuu wa kwanza kufa.
Kabisa 👍Alkuwa mchapakaz aliyegusa nyoyo za watanzania na kama hujui yul ndo angefata kuwa rais wa Awam y pili