Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sema na utendaji kazi wake ulikuwa vizuri kiasi ukilinganisha na hawa chawaHe was murdered mazee, public figures wote ambao walikuwa assassinated huwa hawasahauliki sababu damu zao still zinatulilia.
Hard work pay..Hakuwa waziri mkuu wa kwanza, Ila cha ajabu ndio waziri mkuu anayeenziwa kuliko wote hebu tazama,
1. Uwanja wa sokoine mbeya
2. Sokoine University of agriculture
3. Sokoine road Arusha/Dar es salaam
4. Sokoine secondary
5. Sokoine regional refferal hospital lindi
6. kituo cha afya sokoine Singida
7. Sokoine house Tamisemi dodoma
Hayo ni baadhi tu. Yaani ameenziwa kuzidi hata baadhi ya Marais na mawaziri wakuu.
Waziri Mkuu wa kwanza kugongwa na gari na kufaKwasababu ndiye waziri mkuu wa kwanza kufa.
Kwani kuna mwingine wa pili ama watatu kufa?Kwasababu ndiye waziri mkuu wa kwanza kufa.
Ndio utendaji kwa CCM ni sumu kwao. Akumbukwe Deo FILIKUNJOMBESema na utendaji kazi wake ulikuwa vizuri kiasi ukilinganisha na hawa chawa
ANA ENZIWA KUTOKANA NA MAMBO MAKUBWA ALIYOYAFANYA NA PIA UADILIFU WAKE KWA TAIFAHakuwa waziri mkuu wa kwanza, Ila cha ajabu ndio waziri mkuu anayeenziwa kuliko wote hebu tazama,
1. Uwanja wa sokoine mbeya
2. Sokoine University of agriculture
3. Sokoine road Arusha/Dar es salaam
4. Sokoine secondary
5. Sokoine regional refferal hospital lindi
6. kituo cha afya sokoine Singida
7. Sokoine house Tamisemi dodoma
Hayo ni baadhi tu. Yaani ameenziwa kuzidi hata baadhi ya Marais na mawaziri wakuu.
Sababu kuu ni kuwa ALIKUFA akiwa Waziri mkuu akipambania Taifa.Hakuwa waziri mkuu wa kwanza, Ila cha ajabu ndio waziri mkuu anayeenziwa kuliko wote hebu tazama,
1. Uwanja wa sokoine mbeya
2. Sokoine University of agriculture
3. Sokoine road Arusha/Dar es salaam
4. Sokoine secondary
5. Sokoine regional refferal hospital lindi
6. kituo cha afya sokoine Singida
7. Sokoine house Tamisemi dodoma
Hayo ni baadhi tu. Yaani ameenziwa kuzidi hata baadhi ya Marais na mawaziri wakuu.
Mfano??Yaani ameenziwa kuzidi hata baadhi ya Marais
Alifia kaziniHakuwa waziri mkuu wa kwanza, Ila cha ajabu ndio waziri mkuu anayeenziwa kuliko wote hebu tazama,
1. Uwanja wa sokoine mbeya
2. Sokoine University of agriculture
3. Sokoine road Arusha/Dar es salaam
4. Sokoine secondary
5. Sokoine regional refferal hospital lindi
6. kituo cha afya sokoine Singida
7. Sokoine house Tamisemi dodoma
Hayo ni baadhi tu. Yaani ameenziwa kuzidi hata baadhi ya Marais na mawaziri wakuu.
Sure, salum ahmed salum yupo.Kwasababu ndiye waziri mkuu wa kwanza kufa.
wamefiliwa . wapumbavu sana waleSukuma gang wanaruka na kunyagana tangu jana
waziri mkuu wa pili alikuwa Mfaume KawawaWaziri Mkuu wa kwanza alikuwa Mwalimu Nyerere !
Mwalimu ndiye aliyekuwa waziri mkuu wa kwanza wa serikali ya Tanganyika tarehe 9 Dec 1961, Tanganyika ilipopata Uhuru, baadaye Mwl akajiuzulu na kumwachia Rashid Kawawa , na baada ya muda baada ya kujiuzulu katiba ikafanyiwa marekebisho na baadaye Mwalimu akachaguliwa kuwa Rais wa Kwanza wa Tanganyika. Kwahiyo Mwl ndio waziri Mkuu wa kwanza na waziri Mkuu wa pili ni Rashid Kawawa, wakati huo... Mwl. Nyerere alikufa kabla ya Sokoine?
Nadhani Vitu Vingi Vya Maana vilianzishwa au kujengwa katika kipindi akiwa Waziri Mkuu..na kwa Heshima ikabidi viitwe jina lake...siku hizi siasa zimekua nyingi...na viongozi walioko madarakani Wana wivu sana...wanapenda wavume wao tuu...any attempt kumheshimisha mwanasiasa mwingine inakua nongwa kwa sababu Viongozi wote wenye maamuzi ya juu bado Wana political ambitions zao, as a result juniors wote ambao kimsingi ndio hupendekeza majina ya kuita Taasisi au mtaa Fulani wanakua waoga kupendekeza jina la mtu ambaye hana nguvu tena kisiasa....kwa mfano...can you imagine Makamba apendekeze mradi wowote mkubwa ulioko kwenye Taasisi anayoiongoza uitwe Pinda au Magufuli?!....NEVER....Lakini yuko tayari ata kuita mitungi ya gas ..SAMIA CARE CYLINDERS
Thread closedKwasababu ndiye waziri mkuu wa kwanza kufa.
... kwa context ya waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania "ni nani" uko sahihi. Uliyem-quote mwanzoni alimaanisha "waziri mkuu wa kwanza kufa"; nakazia WA KWANZA KUFA. Keyword hapo ni "KUFA".Mwalimu ndiye aliyekuwa waziri mkuu wa kwanza wa serikali ya Tanganyika tarehe 9 Dec 1961, Tanganyika ilipopata Uhuru, baadaye Mwl akajiuzulu na kumwachia Rashid Kawawa , na baada ya muda baada ya kujiuzulu katiba ikafanyiwa marekebisho na baadaye Mwalimu akachaguliwa kuwa Rais wa Kwanza wa Tanganyika. Kwahiyo Mwl ndio waziri Mkuu wa kwanza na waziri Mkuu wa pili ni Rashid Kawawa, wakati huo
Super Mr. ZeroSasa ulitaka mtu hopeless kama Sumaye nae aenziwe?
Hivi wajumbe wa CCM Wana allergy na maji ya kunywa? Wale wajumbe sijui hawasikii kiu? Huwezi kuona hata mmoja akinywa maji aliyowekewa mezani.Ndio utendaji kwa CCM ni sumu kwao. Akumbukwe Deo FILIKUNJOMBE
Ni marehemu Sokoine !... kwa context ya waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania "ni nani" uko sahihi. Uliyem-quote mwanzoni alimaanisha "waziri mkuu wa kwanza kufa"; nakazia WA KWANZA KUFA. Keyword hapo ni "KUFA".