Kwanini somo la Civics ndilo pekee ambalo haliundiwi combination "A" level katika masomo saba ya msingi Kidato cha Nne?

Kwanini somo la Civics ndilo pekee ambalo haliundiwi combination "A" level katika masomo saba ya msingi Kidato cha Nne?

Hata ukisoma definition NI
The study of the rights and duties of citizenship

Ndio Mana hata mwalimu was biology anaweza kufundisha civics
Au mwalimu was somo lolote
Ingependeza kama wale wanaosoma BaEd huku wakichukua political science kama somo la kufundisha, wafundishe civics coz wanakuwa na knowledge ya kutosha kuliko kumforce mwalimu aliyesoma Kiswahili na English afundishe hili somo.
 
Ingependeza kama wale wanaosoma BaEd huku wakichukua political science kama somo la kufundisha, wafundishe civics coz wanakuwa na knowledge ya kutosha kuliko kumforce mwalimu aliyesoma Kiswahili na English afundishe hili somo.
Huyo jamaa anakariri sana maisha mkuu
 
Ingependeza kama wale wanaosoma BaEd huku wakichukua political science kama somo la kufundisha, wafundishe civics coz wanakuwa na knowledge ya kutosha kuliko kumforce mwalimu aliyesoma Kiswahili na English afundishe hili somo.
Wapo hao walimu ila ni wachache sana
 
Hata ukisoma definition NI
The study of the rights and duties of citizenship

Ndio Mana hata mwalimu was biology anaweza kufundisha civics
Au mwalimu was somo lolote
Wrong!!


Usipotoshe umma, mwl wa biology au physics hata wa history kwa mujibu wa wizara ya elimu hapaswi kufundisha civics, ni mtu aliyesomea " POLITICAL SCIENCE" TU ndo anaweza kufundisha na ndio mwl wa hili somo, msiishi kwa mazoea, na wengi mnajua hivyo kuwa hata wa history wanafundisha hili somo ila ukweli ni kwamba hili somo lina specialist wake ambaye ni political science!!

Thanks!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hili some lianzia kutoka baba na mama familia!
Na kila mzaliwa apewe Katiba iweze kumjenga
 
Wrong!!


Usipotoshe umma, mwl wa biology au physics hata wa history kwa mujibu wa wizara ya elimu hapaswi kufundisha civics, ni mtu aliyesomea " POLITICAL SCIENCE" TU ndo anaweza kufundisha na ndio mwl wa hili somo, msiishi kwa mazoea, na wengi mnajua hivyo kuwa hata wa history wanafundisha hili somo ila ukweli ni kwamba hili somo lina specialist wake ambaye ni political science!!

Thanks!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hyo political science imeanza miaka michache iliyopita kabla ya Hapo mwalimu yoyote alikuwa anafundisha civics
Na mpaka Sasa hao walimu unaosema wako mitaani hawajaajiriwa masomo ya civics yanafundishwa na mwalimu yoyote maana walioajiriwa ni wachache
 
wapo hao walimu ila ni wachache sana
Wachache na wengine ndio wako mtaani hawajaajiriwa hivyo hilo somo linafundishwa na mwalimu yoyote
Kama ambavyo ilikuwa miaka kadhaa iliyopita
Mimi huwa siandiki kitu ambacho sina uhakika nacho
Niliwahi kufanya kazi kama mwalimu wa sekondari najua
 
Wrong!!


Usipotoshe umma, mwl wa biology au physics hata wa history kwa mujibu wa wizara ya elimu hapaswi kufundisha civics, ni mtu aliyesomea " POLITICAL SCIENCE" TU ndo anaweza kufundisha na ndio mwl wa hili somo, msiishi kwa mazoea, na wengi mnajua hivyo kuwa hata wa history wanafundisha hili somo ila ukweli ni kwamba hili somo lina specialist wake ambaye ni political science!!

Thanks!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nimeandika hivyo mimi niliwahi kufundsha sekondari nimeacha kazi ya ualimu miaka minne nyuma
Mimi ni mwalimu wa science na nimeshudia walimu a masomo mengine Kama biology history no wakifundisha civics
Sasa sijui unanibishia Nini
Hizo kozi zimeanza juzijuzi tu
 
Nimeandika hvyo mm niliwahi kufundsha sekondari nimeacha kazi ya ualimu miaka minne nyuma
Mm NI mwalimu was science na nimeshudia walimu a masomo mengine Kama biology history no wakifundisha civics
Sasa sijui unanibishia Nini
Hzo kozi zimeanza juzijuzi tu
Haikuwa sahihi, sitaki kuendelea kubishana na wewe lakini nilichosema KWENYE hoja yangu msingi ilikuwa ni mazoea tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Civics kukosa kombi haimaanishi halina umuhimu au limepuuzwa, hii kitu imeathiri mtazamo wa wengi na kujisahau kulipa uzito stahili.

Tafakari kidogo tu:

Civics ni somo mama limeachwa huru na wanafunzi wote wanalisoma kwa usawa, chagua kombi yoyote lakini bado utasoma Civics katika rangi tofauti kama GS na DS.

Lingeundiwa kombi manake kuna watu wangekosa kulisoma.

Cheers [emoji1635]
 
Back
Top Bottom