Kwanini somo la Civics ndilo pekee ambalo haliundiwi combination "A" level katika masomo saba ya msingi Kidato cha Nne?

Kwanini somo la Civics ndilo pekee ambalo haliundiwi combination "A" level katika masomo saba ya msingi Kidato cha Nne?

Civics kukosa kombi haimaanishi halina umuhimu au limepuuzwa, hii kitu imeathiri mtazamo wa wengi na kujisahau kulipa uzito stahili.
Hii ndio hoja yangu kuu kwamba mbona halipewi uzito stahiki? Hata huko "A" level ukifaulu sana somo hili unapewa tu alama "S"...
 
Hii ndio hoja yangu kuu kwamba mbona halipewi uzito stahiki? Hata huko "A" level ukifaulu sana somo hili unapewa tu alama "S"...

Huwa una kaujinga cha kucrop kipande unachokitaka tu, niliweka maelezo toshelevu.

Narudia tena:

Civics ni 'universal' subject, kila mmoja anasoma civics kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu... from uraia/siasa or some sort to DS.

Kuwekwa kwenye kombi manake lingekuwa optinal, mtu asiyechagua kombi yake basi asingeendelea kulisoma.

Masomo yaliyo kwenye kombi ni optional, universal ni undefined like ndo maana hata grading zake huwekwa hiyo 'S' tu.

Cheers [emoji1635]
 
Huwa una kaujinga cha kucrop kipande unachokitaka tu, niliweka maelezo toshelevu.

Narudia tena:

Civics ni 'universal' subject, kila mmoja anasoma civics kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu... from uraia/siasa or some sort to DS.
Mpaka kipengele hiki upo sahihi...
 
Kuwekwa kwenye kombi manake lingekuwa optinal, mtu asiyechagua kombi yake basi asingeendelea kulisoma.

Masomo yaliyo kwenye kombi ni optional, universal ni undefined like ndo maana hata grading zake huwekwa hiyo 'S' tu.
Mkuu, sasa wale vipanga wa Civics wanaopiga "A" wanachukuliwaje na mfumo wetu huu wa elimu?

Kwani Civics ikiwa sehemu ya combination kisha wengine wakasoma kama kama optional kuna shida gani?

Mbona ICT ni programme maalum ya miaka mitatu chuoni ila wengine wanaisoma kama sehemu ya somo moja ndani ya semester mbili kisha wanaachana nalo?
 
Mkuu, sasa wale vipanga wa Civics wanaopiga "A" wanachukuliwaje na mfumo wetu huu wa elimu?

Kwani Civics ikiwa sehemu ya combination kisha wengine wakasoma kama kama optional kuna shida gani?

Mbona ICT ni programme maalum ya miaka mitatu chuoni ila wengine wanaisoma kama sehemu ya somo moja ndani ya semester mbili kisha wanaachana nalo?

Unachanganya mambo kwa maksudi au kwa kutokujua, speaking of ICT based on mada yako... hii ICT pia inasomwa kama 'kombi' gani kwenye levels?

Jikite kwenye mada, usianzie juu kurudi chini.
 
Degree kama hizi zingesaidia :

History, Philosophy and Politics PPH
Psychology, Philosophy and Pysiology PPP
Psychology, Philosophy and Linguistics PPL
Philosophy , Politics and Economics PPE
 
Unachanganya mambo kwa maksudi au kwa kutokujua, speaking of ICT based on mada yako... hii ICT pia inasomwa kama 'kombi' gani kwenye levels?

Jikite kwenye mada, usianzie juu kurudi chini.
Mkuu, sasa wale vipanga wa Civics wanaopiga "A" wanachukuliwaje na mfumo wetu huu wa elimu?

Kwani Civics ikiwa sehemu ya combination kisha wengine wakasoma kama kama optional kuna shida gani?
 
Degree kama hizi zingesaidia :

History, Philosophy and Politics PPH
Psychology, Philosophy and Pysiology PPP
Psychology, Philosophy and Linguistics PPL
Philosophy , Politics and Economics PPE
Mkuu, bila shaka degree bora huanza na msingi mzuri "O" level
 
Degree kama hizi zingesaidia :

History, Philosophy and Politics PPH
Psychology, Philosophy and Pysiology PPP
Psychology, Philosophy and Linguistics PPL
Philosophy , Politics and Economics PPE
NJE YA MADA KIDOGO: Kwanini hutokea mtaalamu wa fani nyingine (sheria, uchumi, uhasibu, mhitimu wa form four tu) anakuwa wanasiasa mzuri na bora kuliko yule aliyesomea "Political Science"? Sababu ni nini?
 
Tafakari kidogo tu:

Civics ni somo mama limeachwa huru na wanafunzi wote wanalisoma kwa usawa, chagua kombi yoyote lakini bado utasoma Civics katika rangi tofauti kama GS na DS.

Lingeundiwa kombi manake kuna watu wangekosa kulisoma.

Cheers
emoji1635.png
Asante sana kwa ufafanuzi wako mwanana lakini msimamo wangu upo pale pale kwamba wanaopata As za civics waangaliwe kwa jicho pana zaidi kwa maana hawa ndio "diplomats" bora wa Tanzania hapo baadae.
 
Ukitaka iwe na combination means alie muuguzi hatojua uraia (civics) hivohivo na kwa mwalimu.

Maana ya kuwekwa civcs bila comb yoyote means isomwe kwa wote na ni lazima sio ombi au hiari km unavojichagulia hizo EGM, HKL, HGE, n.k

Na ndio maana O level inaitwa civics ni lazima isomwe na wote ila
A level inaitwa general study hiyo ni kwa wote sio ombi au hiari.
Nimependa jibu lako
 
Acha dharau mkuu...
Dharau ya Nini Sasa
Unataka nisiseme ukweli.?
Duu kweli watanzania tumeshindikana kila kitu kwetu kigumu
Tutaweza Nini sasa.?.
Technology hatuwezi , tiba hatuwezi mpaka tutegemee madawa nje
Hadi somo la civics Mtu ukisema rahisi unaambiwa unadharau
Hi Kweli hatari sana
 
Nimeandika hvyo mm niliwahi kufundsha sekondari nimeacha kazi ya ualimu miaka minne nyuma
Mm NI mwalimu was science na nimeshudia walimu a masomo mengine Kama biology history no wakifundisha civics
Hao walimu wa Biology na History walikuwa wanafundisha taaluma ambayo sio yao...
 
Back
Top Bottom