Kwanini somo la Civics ndilo pekee ambalo haliundiwi combination "A" level katika masomo saba ya msingi Kidato cha Nne?

Kwanini somo la Civics ndilo pekee ambalo haliundiwi combination "A" level katika masomo saba ya msingi Kidato cha Nne?

Civics ni somo la lazima kwa kila mwanafunzi kuanzia kidato cha kwanza hadi cha 6, ikiwa na maana kwamba elimu ya uraia ina nafasi kubwa katika maendeleo na maisha ya mhitimu.

Elimu hii ya uraia inaelezwa kiutaalam na masomo mengine ya Arts na kidogo kwenye business subjects, civics inabaki kuelezea juu juu tu haki ya mtu kama raia wa nchi husika.

Sasa Ukibobea kwenye Civics ni sawa na kuogelea kwa shallow water kisha ukajipa cheti cha kujua kuogelea
 
Civics ni somo la lazima kwa kila mwanafunzi kuanzia kidato cha kwanza hadi cha 6, ikiwa na maana kwamba elimu ya uraia ina nafasi kubwa katika maendeleo na maisha ya mhitimu.
mhhh...
 
Elimu hii ya uraia inaelezwa kiutaalam na masomo mengine ya Arts na kidogo kwenye business subjects, civics inabaki kuelezea juu juu tu haki ya mtu kama raia wa nchi husika.
Acha kudanganya watu mkuu. Civics inafundisha zaidi ya local issues. Kuna international issues nyingi sana mule kama utapata mwalimu nondo mna-enjoy sana...
 
Civics ni somo la lazima kwa kila mwanafunzi kuanzia kidato cha kwanza hadi cha 6, ikiwa na maana kwamba elimu ya uraia ina nafasi kubwa katika maendeleo na maisha ya mhitimu.

Elimu hii ya uraia inaelezwa kiutaalam na masomo mengine ya Arts na kidogo kwenye business subjects, civics inabaki kuelezea juu juu tu haki ya mtu kama raia wa nchi husika.

Sasa Ukibobea kwenye Civics ni sawa na kuogelea kwa shallow water kisha ukajipa cheti cha kujua kuogelea
Hahahaa
 
Acha kudanganya watu mkuu. Civics inafundisha zaidi ya local issues. Kuna international issues nyingi sana mule kama utapata mwalimu nondo mna-enjoy sana...
Inaonyesha uko shallow Sana
Eti unafundishwa local issues
Hujui General studies ya advanced level ndio o level ni civics
Pia somo la civics linahusisha Sana current issues ndio maana wanasisitizwa Sana kusikiliza taarifa ya habari na kusoma magazeti
Ili kuwa up to date na Mambo yanayotokea duniani

Inaelekea ndio somo ulilofaulu pekee
Mengine yalikushinda wewe
 
Sasa kama zipo katika somo lolote kuna haja gani ya kuwafundisha wadogo zetu kitu kimoja mara mbili?...
Yap, Civics imeachiwa hizo concepts za juu juu tu pamoja na current issues. Huo umuhimu wake umebebwa na masomo mengine

Tafuta koz za diplomasia kisha uone civics inayosomwa sekondari ina percent ngapi
 
Inaonyesha uko shallow Sana
Eti unafundishwa local issues
Hujui General studies ya advanced level ndio o level ni civics
Pia somo la civics linahusisha Sana current issues ndio maana wanasisitizwa Sana kusikiliza taarifa ya habari na kusoma magazeti
Il kuwa up to date na Mambo yanayotokea duniani

Inaelekea ndio somo ulilofaulu pekee
Mengine yalikushinda wewe
Hahaa, Kwamba jamaa alipiga civics A o'level na GS akapiga A
 
Ninajua mkuu, lakini hawa wanaopata As za Civics tunawafanyaje kwa maana hawa ndio diplomats wetu...
Civics sio taaluma Kama Sheria, uhasibu, daktari, ualimu, engeneer uandisbi was habari no
Kama ndugu una ka A k civics halafu eti unataka wakufikirie umepotea
Wee kaa na A yako ila hyo Civic inawasaidia watu wenye taaluma zao ktambua mabadiliko mbali mbali yanayotokea kwenye jamii zetu na Sheria mbalimbali zinazotuongoza raia ili kuendelea kutekeleza majukumu Yetu ya kitaaluma

Cheti chako Kama kina A ya civics tu na umekuja hapa I'll ndalichako akufikirie umepotea nenda karudie mtihani
 
Eti unafundishwa local issues
Hujui General studies ya advanced level ndio o level ni civics
Pia somo la civics linahusisha Sana current issues ndio maana wanasisitizwa Sana kusikiliza taarifa ya habari na kusoma magazeti
Il kuwa up to date na Mambo yanayotokea duniani
Wanaofaulu sana civics wanapaswa kutazamwa kwa jicho la pili kama tunataka "Political Scientists" wazuri...
 
Kama ndugu una ka A k civics halafu eti unataka wakufikirie umepotea
Wee kaa na A yako ila hyo Civic inawasaidia watu wenye taaluma zao ktambua mabadiliko mbali mbali yanayotokea kwenye jamii zetu na Sheria mbalimbali zinazotuongoza raia ili kuendelea kutekeleza majukumu Yetu ya kitaaluma
Wewe endeleza ubishi wako humu JF lakini wanaofaulu sana Civics wanapaswa kupewa uzito wa kipekee. Civics sio lelemama ndio maana wengi hawapati As
 
Wanaofaulu sana civics wanapaswa kutazamwa kwa jicho la pili kama tunataka "Political Scientists" wazuri...
Hata ndalichako amekusikia

NI wazo zuri lakini taaluma zote wanahitaji kufahamu Hilo somo kwa sababu tunafamya kazi zetu chini ya Sheria za nchi
Unawwza kuw mtanzania ukaenda Kenya kufanya kazi
 
Back
Top Bottom