Ingependeza kama wale wanaosoma BaEd huku wakichukua political science kama somo la kufundisha, wafundishe civics coz wanakuwa na knowledge ya kutosha kuliko kumforce mwalimu aliyesoma Kiswahili na English afundishe hili somo.Hata ukisoma definition NI
The study of the rights and duties of citizenship
Ndio Mana hata mwalimu was biology anaweza kufundisha civics
Au mwalimu was somo lolote
Huyo jamaa anakariri sana maisha mkuuIngependeza kama wale wanaosoma BaEd huku wakichukua political science kama somo la kufundisha, wafundishe civics coz wanakuwa na knowledge ya kutosha kuliko kumforce mwalimu aliyesoma Kiswahili na English afundishe hili somo.
Wale walimu wanaosoma polical science nadhani wange fit hapa.Haipaswi kuwa hivi, wanakosea sana bila kujua...
Wapo hao walimu ila ni wachache sanaIngependeza kama wale wanaosoma BaEd huku wakichukua political science kama somo la kufundisha, wafundishe civics coz wanakuwa na knowledge ya kutosha kuliko kumforce mwalimu aliyesoma Kiswahili na English afundishe hili somo.
Wrong!!Hata ukisoma definition NI
The study of the rights and duties of citizenship
Ndio Mana hata mwalimu was biology anaweza kufundisha civics
Au mwalimu was somo lolote
Hyo political science imeanza miaka michache iliyopita kabla ya Hapo mwalimu yoyote alikuwa anafundisha civicsWrong!!
Usipotoshe umma, mwl wa biology au physics hata wa history kwa mujibu wa wizara ya elimu hapaswi kufundisha civics, ni mtu aliyesomea " POLITICAL SCIENCE" TU ndo anaweza kufundisha na ndio mwl wa hili somo, msiishi kwa mazoea, na wengi mnajua hivyo kuwa hata wa history wanafundisha hili somo ila ukweli ni kwamba hili somo lina specialist wake ambaye ni political science!!
Thanks!
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wachache na wengine ndio wako mtaani hawajaajiriwa hivyo hilo somo linafundishwa na mwalimu yoyotewapo hao walimu ila ni wachache sana
Nimeandika hivyo mimi niliwahi kufundsha sekondari nimeacha kazi ya ualimu miaka minne nyumaWrong!!
Usipotoshe umma, mwl wa biology au physics hata wa history kwa mujibu wa wizara ya elimu hapaswi kufundisha civics, ni mtu aliyesomea " POLITICAL SCIENCE" TU ndo anaweza kufundisha na ndio mwl wa hili somo, msiishi kwa mazoea, na wengi mnajua hivyo kuwa hata wa history wanafundisha hili somo ila ukweli ni kwamba hili somo lina specialist wake ambaye ni political science!!
Thanks!
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Haikuwa sahihi, sitaki kuendelea kubishana na wewe lakini nilichosema KWENYE hoja yangu msingi ilikuwa ni mazoea tuNimeandika hvyo mm niliwahi kufundsha sekondari nimeacha kazi ya ualimu miaka minne nyuma
Mm NI mwalimu was science na nimeshudia walimu a masomo mengine Kama biology history no wakifundisha civics
Sasa sijui unanibishia Nini
Hzo kozi zimeanza juzijuzi tu
Kwanza somO la civics Lina topics gani za ajabu Mtu yoyote ashindwe kufundishaHaikuwa sahihi, sitaki kuendelea kubishana na wewe lakini nilichosema KWENYE hoja yangu msingi ilikuwa ni mazoea tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Diplomasia no specialized sio inategenea Civics!!!!
Diplomacy inahusisha uchumi, Sheria na fani zaidi sio porojo za civics
HahhaaaaahahaaKwani civics haihusishi sheria na uchumi? Labda kama kama uliishia civics kama civics ya kidato cha nne, pole.
Ungejivuta hadi chuo ungeikuta kwa jina la DS!
Aulize nini mkuu? Mbona jamaa yupo sahihi kabisa.Hahhaaaaahahaa
Bora uulize wewe
Hata kidato cha tatu nadhani kuna topic ya civics inaongelea economic development kama sikosei.Kwani civics haihusishi sheria na uchumi? Labda kama uliishia civics kama civics ya kidato cha nne, pole.
Ungejivuta hadi chuo ungeikuta kwa jina la DS!
Upo sahihi kabisa mkuu. Huyo jamaa amejichanganya.hata kidato cha tatu nadhani kuna topic ya civics inaongelea economic development kama sikosei.
Msamehe bure tu huyo...Kwani civics haihusishi sheria na uchumi? Labda kama uliishia civics kama civics ya kidato cha nne, pole.
HaaswaaaaUngejivuta hadi chuo ungeikuta kwa jina la DS!