Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania;
Kwanini somo la Civics ndilo pekee ambalo haliundiwi combination "A" level katika masomo yale saba ya msingi kidato cha nne? What's the logic? Aren't they diplomats?
Wale wanaopata As za somo hili la Civics katika matokeo ya Kidato cha Nne wakiwekewa mkazo stahiki si ndio watafaa kuja kuwa wanadiplomasia wazuri wa Tanzania hapo baadae kama ambavyo tunaamini kuwa wanaofaulu vizuri Biology ndio watakuwa madaktari wazuri? Au wanaofaulu vema Physics watakuja kuwa engineers wazuri wa Tanzania hapo baadae?
Unakuta mwanafunzi wa kidato cha nne anakuchambulia vena masuala ya ECOWAS, ECOMOG, SADC, Structure nzima ya UN kama ambavyo mwanafunzi wa Biology anavyokuchambulia digestion system ya mwanadamu.
Ukijaribu kufanya utafiti wa haraka haraka tu kutoka kwa hawa walimu wanaotufundishia wadogo zetu ambao ndio taifa la kesho unaweza ukagundua suala hili mara moja.
Mwalimu wa History atakwambia alisoma HGK, HGL, HGE, HKL
Mwalimu wa Geography atakwambia alisoma EGM
Mwalimu wa Kiswahili atakwambia alisomea HKL
Mwalimu wa Biology atakwambia alisomea PCB
Kwanini hawa vipanga wa Civics hawapewi attention inayotakiwa kama hao wa HGL na HGK? Kwanini kusiwe na combination ya HCL (History, Civics na Language) au HCK (History Civics na Kiswahili)?
Kuna mtoto mmoja wa shangazi yangu alimaliza chuo mwaka 2017 alisomea Accountancy UDSM.
Huyu dogo katika ufaulu wake wa kidato cha nne alipataga As mbili moja ya english na nyingine ya Civics pamoja na Cs saba.
Ingawa amesomea uhasibu ila yeye ukimkuta ameingia kwenye internet au anasoma vitabu basi ni vya siasa za kimataifa tu (SADC, AU, UN) na sio taaluma yake ya uhasibu kwa maana anakwambia hana interest nayo kabisa ingawa "A" level alisoma combinations ya ECA.
Kwanini Tanzania isianze kusuka wanadiplomasia kuanzia wanaofaulu vema somo la Civis kidato cha nne?
Mbona somo la computer linasomwa na wanafunzi wote huko vyuoni lakini wale wa ICT na Computer Science wanalisoma kwa undani zaidi? Kwanini Civics lisisomwe na wanafunzi wote lakini kuwe na combination ya wabobezi watakaolisoma kwa undani zaidi?
NJE YA MADA KIDOGO: Kwanini hutokea mtaalamu wa fani nyingine (sheria, uhasibu, mhitimu wa form four tu) anakuwa wanasiasa mzuri na bora kuliko yule aliyesomea "Political Science"? Sababu ni nini?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ndugu zangu watanzania;
Kwanini somo la Civics ndilo pekee ambalo haliundiwi combination "A" level katika masomo yale saba ya msingi kidato cha nne? What's the logic? Aren't they diplomats?
Wale wanaopata As za somo hili la Civics katika matokeo ya Kidato cha Nne wakiwekewa mkazo stahiki si ndio watafaa kuja kuwa wanadiplomasia wazuri wa Tanzania hapo baadae kama ambavyo tunaamini kuwa wanaofaulu vizuri Biology ndio watakuwa madaktari wazuri? Au wanaofaulu vema Physics watakuja kuwa engineers wazuri wa Tanzania hapo baadae?
Unakuta mwanafunzi wa kidato cha nne anakuchambulia vena masuala ya ECOWAS, ECOMOG, SADC, Structure nzima ya UN kama ambavyo mwanafunzi wa Biology anavyokuchambulia digestion system ya mwanadamu.
Ukijaribu kufanya utafiti wa haraka haraka tu kutoka kwa hawa walimu wanaotufundishia wadogo zetu ambao ndio taifa la kesho unaweza ukagundua suala hili mara moja.
Mwalimu wa History atakwambia alisoma HGK, HGL, HGE, HKL
Mwalimu wa Geography atakwambia alisoma EGM
Mwalimu wa Kiswahili atakwambia alisomea HKL
Mwalimu wa Biology atakwambia alisomea PCB
Kwanini hawa vipanga wa Civics hawapewi attention inayotakiwa kama hao wa HGL na HGK? Kwanini kusiwe na combination ya HCL (History, Civics na Language) au HCK (History Civics na Kiswahili)?
Kuna mtoto mmoja wa shangazi yangu alimaliza chuo mwaka 2017 alisomea Accountancy UDSM.
Huyu dogo katika ufaulu wake wa kidato cha nne alipataga As mbili moja ya english na nyingine ya Civics pamoja na Cs saba.
Ingawa amesomea uhasibu ila yeye ukimkuta ameingia kwenye internet au anasoma vitabu basi ni vya siasa za kimataifa tu (SADC, AU, UN) na sio taaluma yake ya uhasibu kwa maana anakwambia hana interest nayo kabisa ingawa "A" level alisoma combinations ya ECA.
Kwanini Tanzania isianze kusuka wanadiplomasia kuanzia wanaofaulu vema somo la Civis kidato cha nne?
Mbona somo la computer linasomwa na wanafunzi wote huko vyuoni lakini wale wa ICT na Computer Science wanalisoma kwa undani zaidi? Kwanini Civics lisisomwe na wanafunzi wote lakini kuwe na combination ya wabobezi watakaolisoma kwa undani zaidi?
NJE YA MADA KIDOGO: Kwanini hutokea mtaalamu wa fani nyingine (sheria, uhasibu, mhitimu wa form four tu) anakuwa wanasiasa mzuri na bora kuliko yule aliyesomea "Political Science"? Sababu ni nini?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.