aikamatemu
JF-Expert Member
- Jan 29, 2020
- 464
- 1,897
Sijakuelewa ulichoropoka jibu kwa hoja mkuu.PatheticTatizo Wamatumbi mnanunua magari mabovu....cheap cars....Grade R yakifika Bongo mnaanza kusema magari ya nchi fulani mabovu.
Yanii unataka kwa 10m yako upate 'new modo'!
Mbona hayo ya Japan ..unaona gari namba DVT yani imechoka balaa ipo hoi bin taabab......utasema huyo mmiliki Mmatumbi ameiendesha hata 1000km!
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Nikiamuaga unoko, napiga mahesabu ya tochi 5. Nakuwa na buku 5 kwa kila tochi hizo tano. Nafunguka mwanzo mwisho. Mwanza huwa naingia saa 12 jioni, na brake ya kwanza huwa The Cask au Diamond.. kupiga musamaki mmoja heavy.. yaniKuna 50 humo huwa nasafiri nayo sometimes dar mwanza
Kuna siku nilimchezemsha mwamba mmoja na Golf GTI na mie nilikuwa kwenye Crown Athelet.. maana tulikuwa tunaenda kwenye bams, au msongamano wa gari, nilikuwa namkataaa ile paaap.. anaifukuza ile kunipata kuna kikwazo tunapunguza mwendo, ila pakikaa sawaz mie nikikanyava wese vuuu.. nilisha muacha 😀😀😀😀😀😀.. nilikuwa namgonga zile za kuviziaKuna jamaa yupo hukohuko youtube anafikisha hizo top speeds. Anaitwa autotoppnl.
Na juzi tu alikuwa anaendesha hiyo golf gti.
Nashangaa unaposema hazifiki.
Kuna raha ya kufuta kisahani kama hujui🤣🤣🤣🤣🤣
Mi mwenyewe sikubali asiee usiku unipakie halafu ufute kisahani nakuangalia tu.....
Raha kwa dereva lakini sio abiria aisee!Kuna raha ya kufuta kisahani kama hujui
Siku hizi ni elf 10 kuhonga maana nasikia akikuandikia elf 10 inaingia kama posho yakeNikiamuaga unoko, napiga mahesabu ya tochi 5. Nakuwa na buku 5 kwa kila tochi hizo tano. Nafunguka mwanzo mwisho. Mwanza huwa naingia saa 12 jioni, na brake ya kwanza huwa The Cask au Diamond.. kupiga musamaki mmoja heavy.. yani
Passo ni gari ndogo ukitaka sifa haufiki safari yakoBabuu unatembea kama basi ?
Namjua, na haizid zaid ya top speed yake, hyo golf mpya ina top speed kubwa ila haimalizi speedometerKuna jamaa yupo hukohuko youtube anafikisha hizo top speeds. Anaitwa autotoppnl.
Na juzi tu alikuwa anaendesha hiyo golf gti.
Nashangaa unaposema hazifiki.
Haiwez kuzidi apo maana top speed yke ni 155mph(250kmp)Hahah naona ulisoma heading tu ya hio video hukuangalia hata content yenyewe.
Nimeicheki mpk Mwisho hio video na Max top Speed aliyoenda ni 259km/h ambayo ni sawa na 161mph.
Achana hata na hio 320km/h ukipata hata screenshoot ya 270km/h kwny hio video iweke hapa.View attachment 1735618
Waulize wanapewa hizo posho zenyewe. Mie hivi karibuni nilisha mshikisha elfu 2,000 na akachukua.. kosa ilikuwa hilo hilo mwendo kasiSiku hizi ni elf 10 kuhonga maana nasikia akikuandikia elf 10 inaingia kama posho yake
Vipi Japan 180.. wasingefanyaga hata 220 ?Haiwez kuzidi apo maana top speed yke ni 155mph(250kmp)
Na hyo ni mpya ile ya mwaka huu perfomance package
Hyo apo 161mph ni kutokana na regulations za dunia zinaitaka speedometer ioneshe mwendo wa juu kidogo kuliko mwendo halisi, ndo mana kwenye kibao cha 50 ukiwa 58 ukipigwa tochi inaonesha 53
Kwa kifupi wasojua hudhani speedometer ndo huonesha top speed ya gari
Kwasababu kihasani ni kidogo kama gari yenyewe [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwahiyo tatizo ni kwamba 180km/h haifikiki au barabara ya kwenda Kibaha mbovu au gari imechakaa?
Maana tunaona mara kibao tu watu na IST/Runx/Premio wanafuta visahani.
Kuendeshwa na gari raha sanaRaha kwa dereva lakini sio abiria aisee!
Ila kuna mataa yakutosha siku hizi kama 4Ha ha ha aisee! Huko mbali mlimani city hadi KIJAZI Crown imefuta sahani zamani! Ila SPEED KILLS acheni mwendokasi
Kwenye hesabu za automobiles hiyo haipo?Na autobahn haina strech ya kutosha?
Ingia hata youtube uangalie mfano golf gti na speedometer zake za 320km/h zinavyoishia 235km/h haisogei zaidi.
Inahitaji kujitoa ufahamu kwa gari yenye around hp 200's hapo kufikia top speed ya 320km/h yaani kwny hesabu za automobile hii kitu haipo.