Kwanini speed ni 180 km/h?

Kwanini speed ni 180 km/h?

Kuna mshikaji humu alitoa story. Walikua wanatoka Mwanza gari private na wana kadhaa. Ulikua usiku kwahiyo hamna trafick wala jam sana njiani. Kule mjini mjini ilikua poa wanacheka sana kwenye gari kufika maporini dere anafuta kisaani akipunguza sana 100 labda kuwe na tuta.

Aisee gari zima kimyaaa hamna mtu alielala wala anaeongea. Wale wengine wakawa wanachat. Wakakubaliana waombe wasimame kwaajili ya aja ndogo.

Dere anasimama nae anaenda jisaidia anarudi anakuta kwenye siti amekaa mwana mwingine. Kumbe wajamaa wameshakunaliana uyu fala anataka kutuua uyu. Akishuka tu agusi gari tena.

Walilala Dodoma. Wakati jamaa aliwaambia asubuhi chai wanaenda kunywa Dar.

Mimi kwenye safari za kifamilia huwa hawaniruhusu kugusa Gari. Sijawahi kuweza kutembea taratibu.
 
Na autobahn haina strech ya kutosha?

Ingia hata youtube uangalie mfano golf gti na speedometer zake za 320km/h zinavyoishia 235km/h haisogei zaidi.

Inahitaji kujitoa ufahamu kwa gari yenye around hp 200's hapo kufikia top speed ya 320km/h yaani kwny hesabu za automobile hii kitu haipo.
Kuna jamaa yupo hukohuko youtube anafikisha hizo top speeds. Anaitwa autotoppnl.

Na juzi tu alikuwa anaendesha hiyo golf gti.

Nashangaa unaposema hazifiki.
 
Kuna jamaa yupo hukohuko youtube anafikisha hizo top speeds. Anaitwa autotoppnl.

Na juzi tu alikuwa anaendesha hiyo golf gti.

Nashangaa unaposema hazifiki.

Kuna jamaa yupo hukohuko youtube anafikisha hizo top speeds. Anaitwa autotoppnl.

Na juzi tu alikuwa anaendesha hiyo golf gti.

Nashangaa unaposema hazifiki.

Weka hio link hapa/nitajie jina lake nika search,kama hio gti haijawa tuned tena kwny stage 4.

Hakuna GTI Stock ya kufikisha 320km/h,haipo na haitakuwepo milele.

Ungekua unajua hesabu kidogo za hizi mambo ungekua umeshaacha hata kubishana.
 
Kipaso cha piston 3!! Ukikanyigia kikifika 70kph kinaanza kutetemeka! Kinaunguruma unaweza sema piston zitatoka ubavuni.
Chako kibovu mkuu. Ninamiliki passo. Na ni ya pili huwa zikifika 160000km nauza. Na huwa kwa mwezi natembea 3000 hadi 3500 km sababu ya ubize na shughuli zangu. Nliamua kutumia hizi gari sababu ya ulaji wake wa mafuta. Pia ni bahili sana hivo ninapokuwa safari lazima nikipita sehem nikaona abiria huwa lazima nibebe nipate kusev mafuta.passo ni gari nzuri sana tu ili mradi unatembelea kwenye lami na unaipa service first class sio za kuungaunga.
Mm ni mtumishi and kila weekend huwa nasafiri hadi 800 km kwenye biashara zangu 400 kwenda 400 kurudi.
Passo ina uwezo kwenda hadi 130km/hr ikiwa na level seat. Na ndo huwa constant speed yangu kwa hii gari. Sijasikia inatetemeka wala kuvibrate. Huwa sifanyi ligi namtu. Ila huwa nimejipangia hii speed, wengine hujua nafanya nao ligi
 
Chako kibovu mkuu. Ninamiliki passo. Na ni ya pili huwa zikifika 160000km nauza. Na huwa kwa mwezi natembea 3000 hadi 3500 km sababu ya ubize na shughuli zangu. Nliamua kutumia hizi gari sababu ya ulaji wake wa mafuta. Pia ni bahili sana hivo ninapokuwa safari lazima nikipita sehem nikaona abiria huwa lazima nibebe nipate kusev mafuta.passo ni gari nzuri sana tu ili mradi unatembelea kwenye lami na unaipa service first class sio za kuungaunga.
Mm ni mtumishi and kila weekend huwa nasafiri hadi 800 km kwenye biashara zangu 400 kwenda 400 kurudi.
Passo ina uwezo kwenda hadi 130km/hr ikiwa na level seat. Na ndo huwa constant speed yangu kwa hii gari. Sijasikia inatetemeka wala kuvibrate. Huwa sifanyi ligi namtu. Ila huwa nimejipangia hii speed, wengine hujua nafanya nao ligi
Hiyo speed 130Km/h unamaitain kwa masaa mangapi
 
Sio zote aisee mfano zingine wameweka tu speed unakuta 280kph lakini hazifiki zinaishia 230 hata ukanyage vipi.
Labda gari zenye cc kubwa ndo zina weza kufika ila hiz vw za chini ya cc2000 hazifiki top speed za 280 au 320 kph
Kuna possibility 2 hapa"
1.Either wameamua kubisha tu huku ukweli wakiujua.

2.Au hawajawahi kuendesha gari hizo,nao wanahadithiwa tu.
 
Weka hio link hapa/nitajie jina lake nika search,kama hio gti haijawa tuned tena kwny stage 4.

Hakuna GTI Stock ya kufikisha 320km/h,haipo na haitakuwepo milele.

Ungekua unajua hesabu kidogo za hizi mambo ungekua umeshaacha hata kubishana.
"No limit autobhan" nae amemaliza kisahani cha vw golf gti huko autobhan.
 
"No limit autobhan" nae amemaliza kisahani cha vw golf gti huko autobhan.
Hahah naona ulisoma heading tu ya hio video hukuangalia hata content yenyewe.

Nimeicheki mpk Mwisho hio video na Max top Speed aliyoenda ni 259km/h ambayo ni sawa na 161mph.

Achana hata na hio 320km/h ukipata hata screenshoot ya 270km/h kwny hio video iweke hapa.
Screenshot_2021-03-27-11-48-45-1.jpg
 
Na autobahn haina strech ya kutosha?

Ingia hata youtube uangalie mfano golf gti na speedometer zake za 320km/h zinavyoishia 235km/h haisogei zaidi.

Inahitaji kujitoa ufahamu kwa gari yenye around hp 200's hapo kufikia top speed ya 320km/h yaani kwny hesabu za automobile hii kitu haipo.
Yeah you are right.

Mfano halisi E Class W212 E250 top speed ni 243km/h out of 260km/h...ina 211 HP

Japo nimesikia kuna namna ya kutegua hiyo top speed limit ya 243km/h ifikie 260km/h



Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Yeah you are right.

Mfano halisi E Class W212 E250 top speed ni 243km/h out of 260km/h.

Japo nimesikia kuna namna ya kutegua hiyo top speed limit ya 243km/h ifikie 260km/h

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app

Najua we ni mpenzi wa Germany machines wa kufa mtu lkn umekubali ukweli huo.

Ndio mkuu wanafanyaga makeke mpk inafikia hio 260km/h.
 
Najua we ni mpenzi wa Germany machines wa kufa mtu lkn umekubali ukweli huo.

Ndio mkuu wanafanyaga makeke mpk inafikia hio 260km/h.
Yeah huo ndio ukweli..

Maximum top speed niliyoiona kwa hizi conventional SALOONs na SUVs za Benz Na BMW ni 250km/h out of 260km/h.....hapo naongelea zenye >3000cc......>300HP

~2000cc ndio unapata 233-243km/h

Nikisema contentional namaanisha zote except hizi true AMGs na M series

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Yeah huo ndio ukweli..

Maximum top speed niliyoiona kwa hizi conventional SALOONs na SUVs za Benz Na BMW ni 250km/h out of 260km/h.....hapo naongelea zenye >3000cc......>300HP

~2000cc ndio unapata 233-243km/h

Nikisema contentional namaanisha zote except hizi true AMGs na M series

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app

3000cc......>300HP

~2000cc ndio unapata 233-243km/h

Naam kwa stock cars(non-tuned) huu ndio ukweli halisi wa mambo huko barabarani.
 
Kuna mshikaji humu alitoa story. Walikua wanatoka Mwanza gari private na wana kadhaa. Ulikua usiku kwahiyo hamna trafick wala jam sana njiani. Kule mjini mjini ilikua poa wanacheka sana kwenye gari kufika maporini dere anafuta kisaani akipunguza sana 100 labda kuwe na tuta.

Aisee gari zima kimyaaa hamna mtu alielala wala anaeongea. Wale wengine wakawa wanachat. Wakakubaliana waombe wasimame kwaajili ya aja ndogo.

Dere anasimama nae anaenda jisaidia anarudi anakuta kwenye siti amekaa mwana mwingine. Kumbe wajamaa wameshakunaliana uyu fala anataka kutuua uyu. Akishuka tu agusi gari tena.

Walilala Dodoma. Wakati jamaa aliwaambia asubuhi chai wanaenda kunywa Dar.
🤣🤣🤣🤣🤣

Mi mwenyewe sikubali asiee usiku unipakie halafu ufute kisahani nakuangalia tu.....
 
Back
Top Bottom