Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliwahi kumsikia Magufuli akikataa msaada? Kwani nani hajitegemei? Ukipewa msaada utakataa??magufulia alikuwa anatufundisha kujitegema, lakini watu wanalilia misaada. Unadhani kama China ingetegemea misaada ingekuwa hapo ilipo leo?
Waswahili wanapenda vya bure sana; inainikumbusha ule msemo kuwa "nikienda nje nianrudi na kibaba!"
Toa maoni ya kuboresha mkuuTatizo sio kujenga madarasa!Tatizo ni elimu Mbovu isiyo na future hapa nchini!hao vijana wakishasoma wanajiarije kama elimu yenyewe mfu isio na macho??Ona wimbi la vijana wasio na ajira mtaani !!tutafanyaje???
Hili swali niliwahi kulijibu hapa. Kupokea msaada ni kitu kimoja, na kutegemea misaada ni kitu kinginee. Tofautisha hayo mawili. Sasa hivi filimbi ni za kutegemea misaada kuwa tunapata missada kiasi gani, jambo ambalo halitakiwi kufanywa na serikali.Uliwahi kumsikia Magufuli akikataa msaada? Kwani nani hajitegemei? Ukipewa msaada utakataa??
Mtegemea cha kupewa hufa masikini.EPforR I ilitoa TZS 208b kwa JK mwaka FY2014|15 to 2020|21, why EPforR II imetoa TZS 196b kwa Rais Samia FY2021|22 mwaka mmoja baadaye,Je waligoma au hawakuwa na pesa?
==============
Katika kile kinachotajwa kama Kuimarika kwa diplomasia ya Uchumi na ukuaji wa demokrasi na Utawala wa sheria nchini Rais Samia Suluhu Hassan apokea msaada wa Tshs 196bl kutoka nchi ya Sweden ( SIDA ) kwaajili mradi wa Education Programme for Results phase two ( EPforR II),
FY2014|15 Rais Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne alipokea Tshs 208bl toka hukohuko Sweden kwaajili ya mradi wa elimu wa Education Programme for Result Phase One (EPforR I) ambao ulikuwa ni mkataba wa miaka mitano mitano yaani FY2014|15 hadi FY2020|21,
Swali langu kwenu,kwanini Swedeni (Sida) hawakutupa pesa hizi FY2020|21 kama mkataba ulivyoonesha na badala yake wametupa Leo FY2021|22 yaani mwaka mmoja baadae? Je, nikweli sasa dunia imekubali mapigo ya Rais Samia Suluhu juu ya Ujenzi mpya wa diplomasia kimataifa na ongezeko la nafasi kwa Watanzania kwenye Uhuru wa kujieleza, Uhuru wa habari na vyombo vya habari,Utawala wa sheria pamoja na demokrasi?
Je,Vipi kuhusu hawa mabwana watatu yaani Yule bwana wa Singida,Yule bwana wa Arusha na Yule bwana wa Bukoba|Kagera unadhani wazungu kwa kumpa Rais Samia hizi Tshs 196bl wameamua kutuma ujumbe gani kwao baada ya wao kuwazuia mwaka jana? Je,tusubiri wafukuzwe kama mbwa au tuwashauri warudi nyumbani kwa hiari yao kwakuwa Tanzania ya Sasa ni salama zaidi na wahisani wametambua yakuwa Tanzania kwa sasa ni salama pengine kuliko wakati wowote wa uhai wake,
Kama hawa jamaa walishavunja mkataba kwa sababu walizozijua wao, Je bila diplomasia ya Rais Samia Tanzania ingepata hizi pesa leo? "Tunaposema hakuna kama Samia lazima mtuelewe pesa hii ya msaada inaweza kujenga madarasa elfu 10 mapya kwaajili ya watoto hawa wa masikini, Watanzania je hili ni jambo baya?"
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Toa mfano wa hiyo filimbi?Hili swali niliwahi kulijibu hapa. Kupokea msaada ni kitu kimoja, na kutegemea misaada ni kitu kinginee. Tofautisha hayo mawili. Sasa hivi filimbi ni za kutegemea misaada kuwa tunapata missada kiasi gani, jambo ambalo halitakiwi kufanywa na serikali.
thread hii ni filimbi!Toa mfano wa hiyo filimbi?
Tutarajie misaada mingi sana wakati huu wa Samia
Wazungu wanataka haki tu walete pesa na haki ni asili ya Rais wetu
Uchumi utachangamka sooner
Hakika hakuna kama Chief Mkuu Hagaya
Safi sana Pacha,EPforR I ilitoa TZS 208b kwa JK mwaka FY2014|15 to 2020|21, why EPforR II imetoa TZS 196b kwa Rais Samia FY2021|22 mwaka mmoja baadaye,Je waligoma au hawakuwa na pesa?
==============
Katika kile kinachotajwa kama Kuimarika kwa diplomasia ya Uchumi na ukuaji wa demokrasi na Utawala wa sheria nchini Rais Samia Suluhu Hassan apokea msaada wa Tshs 196bl kutoka nchi ya Sweden ( SIDA ) kwaajili mradi wa Education Programme for Results phase two ( EPforR II),
FY2014|15 Rais Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne alipokea Tshs 208bl toka hukohuko Sweden kwaajili ya mradi wa elimu wa Education Programme for Result Phase One (EPforR I) ambao ulikuwa ni mkataba wa miaka mitano mitano yaani FY2014|15 hadi FY2020|21,
Swali langu kwenu,kwanini Swedeni (Sida) hawakutupa pesa hizi FY2020|21 kama mkataba ulivyoonesha na badala yake wametupa Leo FY2021|22 yaani mwaka mmoja baadae? Je, nikweli sasa dunia imekubali mapigo ya Rais Samia Suluhu juu ya Ujenzi mpya wa diplomasia kimataifa na ongezeko la nafasi kwa Watanzania kwenye Uhuru wa kujieleza, Uhuru wa habari na vyombo vya habari,Utawala wa sheria pamoja na demokrasi?
Je,Vipi kuhusu hawa mabwana watatu yaani Yule bwana wa Singida,Yule bwana wa Arusha na Yule bwana wa Bukoba|Kagera unadhani wazungu kwa kumpa Rais Samia hizi Tshs 196bl wameamua kutuma ujumbe gani kwao baada ya wao kuwazuia mwaka jana? Je,tusubiri wafukuzwe kama mbwa au tuwashauri warudi nyumbani kwa hiari yao kwakuwa Tanzania ya Sasa ni salama zaidi na wahisani wametambua yakuwa Tanzania kwa sasa ni salama pengine kuliko wakati wowote wa uhai wake,
Kama hawa jamaa walishavunja mkataba kwa sababu walizozijua wao, Je bila diplomasia ya Rais Samia Tanzania ingepata hizi pesa leo? "Tunaposema hakuna kama Samia lazima mtuelewe pesa hii ya msaada inaweza kujenga madarasa elfu 10 mapya kwaajili ya watoto hawa wa masikini, Watanzania je hili ni jambo baya?"
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Wewe unajua niwao wametufanya sisi kuwa masikini hata leo?sasa lkn hii laana ya kuwategemea mabeberu siku moja humu ndani tutakuja kusutana.mkono unaotoa unabarikiwa zaidi ya ule unaopokea.misaada hudumaza uchumi kwani hakuna taifa lolote litoe pesa burebure tu wakati wao wanawakamua kodi wananchi wao.mbona matajiri wa hapa kwetu hawatoi misaada kwa watu maskini.hawa mabeberu ndo kusema wanatupenda sana waafrika mpaka wagawe pesa zao bure tu!nimeamini huo ugonjwa kuja kufutika kwa watanzania it will take another decade.haya yetu macho na masikio.
Dogo ananiharibia jinaJanja weedi
Nikweli dogo anashida sehemu,Dogo ananiharibia jina
Inabidi nibadili sasa
Anatoa narudi kali mdomoni Kwa Tuhuma ambazo akifinywa vizuri atashindwa kuzisimamia
Hili swali niliwahi kulijibu hapa. Kupokea msaada ni kitu kimoja, na kutegemea misaada ni kitu kinginee. Tofautisha hayo mawili. Sasa hivi filimbi ni za kutegemea misaada kuwa tunapata missada kiasi gani, jambo ambalo halitakiwi kufanywa na serikali.
👩❤️👩👩❤️👩👩❤️👩Nchi ni tajiri kwelikweli,
Nani alikwambia tajiri hasaidiwi?
Kama Marekani mpaka leo inasaidiwa sebuse Tanzania?
👩❤️👩👩❤️👩👩❤️👩Habari njema kwa taifa...Rais Samia anairudisha nchi kwenye ramani ya Dunia. Hongera serikali ya awamu ya sita kwa umakini.
👩❤️👩👩❤️👩👩❤️👩Chadema ilishakufa muda sana
Ni kweli mkono wa MunguUKIWA NA SAMIA RAHA SANA
Mabeberu waliwasikiliza sana hawa akina Lissu
Ila kwa jinsi mama anavyowafuata hadi New York kina Lissu kimya kabisa
Niliwaambia Samia atafanya mambo makubwa sana kirahisi kwasababu ya mkono wa Mungu
Mungu ampiganie Rais wetu kipenzi aendelee kutusaidia sisi masikini
Umeandika ukaandika ila CCM na serikali yake tunapokea misaada ila kamwe hatutegemei misaada,Tatizo lako ni kauli tu?
Hakuna kipindi ambacho Tanzania haijawahi kutegemea misaada. Hata awamu ya kwanza mambo yalipokuwa magumu sana, muasisi wa juhudi za kujitegemea kwa dhati, Mwalimu JKN, aling’atuka kukwepa dhahama ya kusaini mkataba na IMF ili kuwezesha misaada na mikopo nafuu kutiririka nchini. Alitoa baraka zake kwa mrithi wake, AHM amwage wino kwa kuelewa kuwa bila hivyo nchi ingeangamia.
Awamu ya tano, Lissu alishambuliwa sana kwa kukosa “uzalendo”, kwa kampeni zake Ulaya na Marekani “kuharibu sifa ya nchi” na kuomba inyimwe misaada. Aidha, kila msaada au mkopo wa “mabeberu” ulipopatikana ilikuwa habari muhimu kwenye prime time ya media zetu.
Nilichoona, Magufuli alikuwa akitukuzwa sana kwa kauli zake kali zilizojaa propaganda na ile “misimamo isiyoyumba” ya kuponda mabeberu. Eti “sisi ndio tunatakiwa kuwapa misaada”; “sisi ni matajiri; tunaweza kuwa donor country”! Mtu anadiriki kusema “Magufuli kwenye suala la maendeleo alikuwa na msimamo na uthubutu; anaanzisha miradi ya matrilioni bila kujali hela itatoka wapi”!
That was pure DELUSION! Ni maruweruwe wanayopata baadhi ya watu duni ambao ghafla hujikuta wana dhamana na madaraka yote ya kusimamia na kutumia matrilioni ya hazina ya taifa bila watu wa kuwahoji. Ni mtu wa aina hiyo anaweza kuivimbia hata Marekani na kuitambia kuipa misaada huku bado watoto wake kibao wanasoma chini ya miti.
Naona manazi wa awamu ya sita nao wanaongeza kasi ya maruweruwe yao kama vile sisi wanaotuandikia hizi propaganda uchwara ni mazombie.
Anyway, hii yote ni CCM syndrome ya kutaka kuelekeza Watanzania kwenye ibada za kutukuza viongozi badala ya kufuatilia uwajibikaji na utawala bora. Siku hizi hata chama chao wanakiweka kando mbele ya personality cults.