Kwanini Tanzania isiombe kuingia mkataba na DRC ili kuwaondoa waasi wa M23 ?

Kwanini Tanzania isiombe kuingia mkataba na DRC ili kuwaondoa waasi wa M23 ?

Watu wanavaa magwanda ya FRDC wanaingia kazini
unajua ngoja nikusaidie kitu unaona Afrika hii? Kila nchi ina morphology yake ya umbo sura na muonekano , hiyo kusema wavae gwanda la Frdc ndio kwamba?

Ulimuona yule askari wa Rwanda aliyedharirika msumbiji ishu hizo hizo
 
M23 na Rwanda wakipata nguvu wataihatarisha Tz?
Jibu ni ndio. Kuna mtu unamjua vita haijamuathiri!? Angalia Russia. Si babu kubwa!? Unaweza ukafanya maajabu, lakini lazima na wewe madhala uonje. Au hata kupata uaiyoyatarajia. Japo, hiyo Rwanda na M23, hawana shida na Tanzania kiasi cha kuihatarisha.
 
Wazo zuri. Sijui tunafeli wapi??? Kwanza ingeboost ajira kishenzi hapa nchini. Unaweza ukatengeneza Tena jeshi la vijana 300,000 hadi 500,000 kwa ajili ya Congo TU. Unaingia mkataba kulipwa kwa madini au mazao ya misitu kama mbao. Then unauza nje.
Yaani kama nchi hatuko strategically kabisa kabisa.
So, kwa akili zako unahisi hilo jambo serikali ililishindwa eh!? Sio kila unalofikilia linawezekana. Tanzania ni nchi iliyo chini ya mamlaka mengine. Hizo ni ndoto tu.
 
Mission ikifanywa na wakuu wa hizi nchi mbili tu hakuna mtu atajua kwamba Tz ndyo wamehusika kusambaratisha M23. Ni akili tu
Haya bwana. Je, kwanza chanzo cha M23 ni nini? Kwa hiyo, nchi zote hata za SADC zilizokataa kupeleka majeshi ni wajinga eh!? So, raisi Samia unaona umemzidi akili sana, kwamba hajui sababu ya kutowapeleka? Unahitaji apeleke bataliani ngapi? Kwani, Samia ana mamlaka ya kuamuru jeshi kuoigana vita isiyoihusu Tanzania? Burundi ilienda wazi. Leo iko wapi? Bro, usitumie mihemuko, vitani hazipigani sifa. Leo hii ukiulizwa mbona Ukraine ndogo lakini Russia imeshindwa, una jibu!?
 
Akili huna mzee unatafuta vita na France sio yaani njaa zako ukaponee congo eti endelea kuiingiza Chaka nchi mfaransa aipoteze unafikiri m23 ni vibaka
Acha basi colonial mentality. Hata kama Mataifa makubwa yanasapoti. We are sovereign, Congo has the right to defend itself and we have a right as a partner in East Africa Community to lend a hand.

We know and you know that Kagame is a puppet used by the west to support M23 but if Castro, Ayatollah Khomein, Patrice Lumumba, Simon Bolivar, Che Guevara, Mao TSE Dong, Pancho Villa and so many other had a cowardice mind like yours the world would not be what it is today.

You should not fear your oppressor because you are weak. We Africans and all Black people around the world are fools because we always see a small picture. We do not see a bigger one. We can't even see what we want in 100 years forward.

So wakubwa Wana nguvu ila tujifunge mkanda.

Kwahiyo ukivamiwa na vibaka utakubali kubakwa maana Wana silaha??? Au utapigana ufe kishujaa???

Think by using your brains. Use at least 0.0001 of your IQ
 
So, kwa akili zako unahisi hilo jambo serikali ililishindwa eh!? Sio kila unalofikilia linawezekana. Tanzania ni nchi iliyo chini ya mamlaka mengine. Hizo ni ndoto tu.
Acha basi colonial mentality. Hata kama Mataifa makubwa yanasapoti. We are sovereign, Congo has the right to defend itself and we have a right as a partner in East Africa Community to lend a hand.

We know and you know that Kagame is a puppet used by the west to support M23 but if Castro, Ayatollah Khomein, Patrice Lumumba, Simon Bolivar, Che Guevara, Mao TSE Dong, Pancho Villa and so many other had a cowardice mind like yours the world would not be what it is today.

You should not fear your oppressor because you are weak. We Africans and all Black people around the world are fools because we always see a small picture. We do not see a bigger one. We can't even see what we want in 100 years forward.

So wakubwa Wana nguvu ila tujifunge mkanda.

Kwahiyo ukivamiwa na vibaka utakubali kubakwa maana Wana silaha??? Au utapigana ufe kishujaa???

Think by using your brains. Use at least 0.0001 of your IQ
 
Ni kama ambavyo Rwanda ameingia makubaliano na msumbiji ili kulinda amani pale kwao kwa makubaliano ya makampuni ya kinyarwanda kunufaika zaidi kibiashara.
Niliwahi ongeza jambo kama hili ila likapuuzwa.

Nchi zote zilizoendelea lazima ziwe na uwezo wa kuvamia Nchi nyingine.

Tukubaliane tuu watupe hela/Madini Ili kazi ifanyike usiku na mchana.

Uzuri Wananchi wa DRC Wana Imani na Jeshi la Tanzania hivyo ni rahisi kusaidia kutoa taarifa za waasi waliko.
 
Amani ya Tanzania inalindwa kwa kila namna,ukiomba kulinda amani DR CONGO manake unakaribisha hao waasi kuingia nchini, sisi kama nchi, tuingie huko kwa mgongo wa EAC majeshi ya tanzania ndo yaingie huko.
Wataingilia mlango gani?
 
Back
Top Bottom