Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Kuna akina Edah Sanga walitendea haki tasnia hii, lakini hivi sasa angalia ilivyodharaulika yaani ni ujinga wa kwenda mbele lakini ili haya yafanyika lazima tutoke kwenye huu mkwamo wa katiba lazima tupate katiba mpya. Iwabane wanasiasa wanapindisha mambo.Kuna Ukweli mchungu kwenye Hoja yako hii.
Kiuhalisia, Diploma ya Uandishi wa Habari ya Bw. Tido Mhando imetoa matokeo mazuri zaidi kwenye tasnia hiyo ya Habari kuliko PhD ya Dkt.Ayub Rioba Chacha.
Kuna Ushahidi wa wazi kabisa kwenye suala hili
Mkuu Lucha, eti umesema wewe na Juma Lokole mna tabia gani?? Embu rudia tena..Yeah hamna tatizo kwakua we na juma lokole tabia yenu moja
Umetumia akili za kibwengo Anza darasa la awali uko emptyKwani wewe siyo kilaza?
What if taifa zima ni vilaza
Pascal yuko vizuri, huyo mwingine labda anajifanyisha kukosa akiliUna ugomvi na Pascal Mayalla na maulid kitenge eti eeh ?
Ujue na wenyewe wana speed governor hivi hivi unawakuta huko mabwepande
Watu kama hao wako huko EFM, Wasafi, Clouds , yule wa Jambo TV anajielewa na Kikeke yuko njemaNilitaka kushangaa kwamba TBC na ITV ina watu kama hao?
Shukrani Mkuu Taifa likiharibu Media industry litabaki kuwa la hovyo ndio hali ilivyo kwa TanzaniaUkifanya comparison ya media ya Kenya na Tanzania, utakutana na tatizo jingine, media yao ni academic credentials kwanza, ndipo kije kipaji, media yetu ni kipaji tuu bila academic credentials, kwa bongo kila mtu ni mwandishi, ni mtangazaji!, na soko la walaji wa media contents ndio vitu wanataka, vitu petty issues, Simba na Yanga, Daimondi na Wema, Zali, Zuchu, Hamonize na Kajala etc!.
P
πππ you nailed itKosa lilianza siku waliopomua kuwa uandishi wa habari ni kwa watu waliofeli,ambao hawana pa kwenda. Taaluma nyingine pamoja na mabadiliko ya Kila siku ya Dunia, mbona akina baba levo wameshindwa kupenya. Au tuseme uandishi siyo taaluma ndiyo maana kila mtu anaweza kuwa mwandishi.
Kwa sababu wenye uwezo,udadisi,utayari na kujitoa hawataki kwenda huko.Hivi kweli Taifa hili litajengwa kwa wananchi kuwasikiliza watu kama akina Gerald Hando, Zembwela, Kitenge, Baba levo, Diva, Akina Dauda, Lwambano seriously?
Ule weledi wa tasnia habari umeenda wapi wa kuwa na wasomi waliopita Diploma na degree za mass communication uko wapi?
Aibu sana kama Taifa.
Ni hayo tu.
Pang Fung Mi.
Wewe ndio huelewi kuwa Kuna Radio za Burudani ambazo ndio izo zina hao watangazaji kama unataka wachambuzi wa mambo ya Siasa na Uvhumi Sikiliza TBC FM, RADIO ONE.Hivi kweli Taifa hili litajengwa kwa wananchi kuwasikiliza watu kama akina Gerald Hando, Zembwela, Kitenge, Baba levo, Diva, Akina Dauda, Lwambano seriously?
Ule weledi wa tasnia habari umeenda wapi wa kuwa na wasomi waliopita Diploma na degree za mass communication uko wapi?
Aibu sana kama Taifa.
Ni hayo tu.
Pang Fung Mi.
Tumia akili sio mihemko, generally speaking nchi hii Tasnia ya Habari imelegea na haina msingi thabiti wa kigezo cha taaluma, brush your brainWewe ndio huelewi kuwa Kuna Radio za Burudani ambazo ndio izo zina hao watangazaji kama unataka wachambuzi wa mambo ya Siasa na Uvhumi Sikiliza TBC FM, RADIO ONE.
Alafu saivi mambo yamerahisishwa kwan lazima uwasikilize wao mbona Radio kibao na watangazaji kibao zipo uchaguzi ni wako
Angalau Paskali yete amesomea uandishi wa habari. Zembwela, Baba Revo, Mwijaku, Musa Kipanya, Mwalimu wa UPE Oscar Oscar si na uhakika kama wamesomea uandishi wa habari!
Kibwengo na kilaza are two different rhingsUmetumia akili za kibwengo Anza darasa la awali uko empty
Yaani wewe utachomwa motooooo hadi ukufwe tena πππππππππππ π π
View attachment 3191236