Kwanini Tanzania kama Taifa limebariki Watangazaji vilaza ndio wahudumu kwenye Tasnia ya Habari?

Kwanini Tanzania kama Taifa limebariki Watangazaji vilaza ndio wahudumu kwenye Tasnia ya Habari?

Kuna Ukweli mchungu kwenye Hoja yako hii.

Kiuhalisia, Diploma ya Uandishi wa Habari ya Bw. Tido Mhando imetoa matokeo mazuri zaidi kwenye tasnia hiyo ya Habari kuliko PhD ya Dkt.Ayub Rioba Chacha.
Kuna Ushahidi wa wazi kabisa kwenye suala hili
Kuna akina Edah Sanga walitendea haki tasnia hii, lakini hivi sasa angalia ilivyodharaulika yaani ni ujinga wa kwenda mbele lakini ili haya yafanyika lazima tutoke kwenye huu mkwamo wa katiba lazima tupate katiba mpya. Iwabane wanasiasa wanapindisha mambo.
 
Ukifanya comparison ya media ya Kenya na Tanzania, utakutana na tatizo jingine, media yao ni academic credentials kwanza, ndipo kije kipaji, media yetu ni kipaji tuu bila academic credentials, kwa bongo kila mtu ni mwandishi, ni mtangazaji!, na soko la walaji wa media contents ndio vitu wanataka, vitu petty issues, Simba na Yanga, Daimondi na Wema, Zali, Zuchu, Hamonize na Kajala etc!.
P
Shukrani Mkuu Taifa likiharibu Media industry litabaki kuwa la hovyo ndio hali ilivyo kwa Tanzania
 
Kosa lilianza siku waliopomua kuwa uandishi wa habari ni kwa watu waliofeli,ambao hawana pa kwenda. Taaluma nyingine pamoja na mabadiliko ya Kila siku ya Dunia, mbona akina baba levo wameshindwa kupenya. Au tuseme uandishi siyo taaluma ndiyo maana kila mtu anaweza kuwa mwandishi.
👍👍👍 you nailed it
 
Hivi kweli Taifa hili litajengwa kwa wananchi kuwasikiliza watu kama akina Gerald Hando, Zembwela, Kitenge, Baba levo, Diva, Akina Dauda, Lwambano seriously?

Ule weledi wa tasnia habari umeenda wapi wa kuwa na wasomi waliopita Diploma na degree za mass communication uko wapi?

Aibu sana kama Taifa.

Ni hayo tu.

Pang Fung Mi.
Kwa sababu wenye uwezo,udadisi,utayari na kujitoa hawataki kwenda huko.
 
Hivi kweli Taifa hili litajengwa kwa wananchi kuwasikiliza watu kama akina Gerald Hando, Zembwela, Kitenge, Baba levo, Diva, Akina Dauda, Lwambano seriously?

Ule weledi wa tasnia habari umeenda wapi wa kuwa na wasomi waliopita Diploma na degree za mass communication uko wapi?

Aibu sana kama Taifa.

Ni hayo tu.

Pang Fung Mi.
Wewe ndio huelewi kuwa Kuna Radio za Burudani ambazo ndio izo zina hao watangazaji kama unataka wachambuzi wa mambo ya Siasa na Uvhumi Sikiliza TBC FM, RADIO ONE.
Alafu saivi mambo yamerahisishwa kwan lazima uwasikilize wao mbona Radio kibao na watangazaji kibao zipo uchaguzi ni wako
 
Wewe ndio huelewi kuwa Kuna Radio za Burudani ambazo ndio izo zina hao watangazaji kama unataka wachambuzi wa mambo ya Siasa na Uvhumi Sikiliza TBC FM, RADIO ONE.
Alafu saivi mambo yamerahisishwa kwan lazima uwasikilize wao mbona Radio kibao na watangazaji kibao zipo uchaguzi ni wako
Tumia akili sio mihemko, generally speaking nchi hii Tasnia ya Habari imelegea na haina msingi thabiti wa kigezo cha taaluma, brush your brain
 
Mimi sio expart wa tasnia hii ya habari ila kwa mtazamo wangu mdogo tasnia hii inaendeshwa moja kwa moja na vitu viwili vikubwa Vipaji (ubunifu) na Taaluma, pia haina tofauti kada ya Architecture. Ukiweza kubalance vyema mzania hutokuwa na mpinzani utaendelea kuwa juu na juu zaidi , wanahabari wengi kwetu hawana mizania ya pande hizo mbili shida inaanzia hapo.
 
Bongo vilaza kila mahali, huko kwa waandishi wa habari vilaza kede wa kede, kwenye siasa usiseme, tizama jeshi letu la polisiSIEM, angalia viongozi wetu utawang'amua wengi baina yao. Kwenye soka na muziki nako yale yale, ukiacha vipaji vinavyowaweka kwenye ramani, ila wrngi wao ni vichwa mpira, bahatika kukaa na mtu dk 10 tu, unaona huyu ni PIMBI.
 
Nchi imejaa Siasa za hovyo hovyo na kila kitu kimegeuka siasa akuna tena uhalisia
Wamiliki wa vyombo wamejaa siasa wafanyakaz hawafanyi tena kaz km walivyosomea wote wanafanya siasa
Siasa kila sehemu

Kariakoo gorofa ilianguka wakafa watu kibao na kusababisha shuguru za uzalishaji kusimama kwa zaidi ya wki moja ila ad leo sjawai ona repoti wala kujua ni watu wangap walikamatwa na hatua gan zimechukulia
 
Upepo wa hapo katikati ndio umebadili kila kiti ama lah umetufanya twende kasi kurudi nyuma.
Ukijifanya una habari za uchunguzi kuikosoa serikali unalimwa mapema sana, tena sio mwandishi wa habari ty hata mwananchi wa kawaida tu unalimwa.
 
Back
Top Bottom