Kwanini Tanzania latest Car ni chache sana kuonekana. Bado wanaagiza Magari ya 2000-2010

Kwanini Tanzania latest Car ni chache sana kuonekana. Bado wanaagiza Magari ya 2000-2010

Nchi za wenzenu kuna kitu kinaitwa finance. Unachukua kwa mkopo. Unaweka deposit kama 10% then inayobqki unalipa kidogo kidogo kulingana na aina ya gari.
Still gari kubwa ni wenye pesa tu watawezana na malipo yake ya mwezi.
Hii ipo hata cmc,Nissan ila unaweza kuambiwa kwa mwezi ulipe $1500 hapa Tz unafikiri kwa vipato vya waTz wengi ni rahisi kutenga $1500 kwa ajili ya makato tu? Bado mafuta,wewe na familia hamjala hamjalala,watoto hawajaenda shule etc.
Tz purchasing power ndogo sana.
Uko sahihi.

Nchi zilizoendelea watu hawanunui magari kwa cash, wananunua on credit, unaweka down payment asilimia kadhaa unakabiliwa gari unalipa kwa mwezi kiasi flani, CMC wanayo hiyo huduma.

Shida kama ulivyosema ni makato, mfano uambiwe ukatwe $2,000 kwa mwezi ambayo ni 5.3m kwa sasa unaitoa wapi?

CMC wanauza zero kilometa cars, tena zile za south Afrika zenye zero import duties kama ford ranger, ford Everest, Toyota Fortuner nk shida iko kwenye CIF yake bei ni balaa.

Lakini pia serikali yetu ndio inachangia haya, ingeweka incentives za kikodi za watu kutoagiza magari ya kizamani, sasa ajabu Tanzania uagize gari jipya kodi yake usipime, uagize kuu kuu kodi yake ni balaa, hakuna nafuu ya kodi hivyo tunakimbilia nafuu ya CIF ambayo ndio magari used ya mwaka 1988.
 
Uwezo mdogo kuanzia kuyanunua mpaka kuyatunza. Bahati nzuri ni kwamba gari yenye miaka 5-10 na imetumika japan au Ulaya ikitunzwa, hiyo bado inakuwa nzima sana.
 
Nchi za wenzetu mbona wananunua sana tu. Kwa sasa watu wananunua used kwa sababu hiyo option ipo lakini pia wengine wananunua kwa sababu kodi ya kununua gari jipya ni kubwa.
South Africa wame restrict used cars, si unaona wanavyosukuma vyuma vipya. Nenda kwa majirani. Magari yote hayawezi kuuzwa kuanzia $50,000/-. Kila mmoja atanunua kulingana na uwezo wake. Hata wazungu wanazidiana kwenye kumiliki gari kilingana na uwezo wa kiuchumi. Wenye uwezo wa $10k watanunua na wenue uwezo zaidi watapata ya size yao.
Mkuu, kodi ya gari jipya ni ndogo kuliko mtumba.

Shida ni bei ya hilo gari jipya tu ndio inatusumbua.
 
Hata TRA wangeweka 0 zero rate wangapi wangeweza kununua gari za kuanzia $50,000? Jibu ni low purchasing power. Pato la waTz ni dogo. Wenye pato kubwa wanaingiza hizo gari latest na TRA ipo.
Hao wanaoagiza gari latest kodi huwa wanapiga chini wanafosi kuendesha.

Magufuli alipoingia mbona aliwaumbua sana pale yard ya TRA gari zilijaa za bei tupu. Ma'Ferrari, Vogue, Aston Martin, Bentley, Fair Lady, ndizo zilikuwa zimejaa.
 
Nchi za wenzenu kuna kitu kinaitwa finance. Unachukua kwa mkopo. Unaweka deposit kama 10% then inayobqki unalipa kidogo kidogo kulingana na aina ya gari.
Still gari kubwa ni wenye pesa tu watawezana na malipo yake ya mwezi.
Hii ipo hata cmc,Nissan ila unaweza kuambiwa kwa mwezi ulipe $1500 hapa Tz unafikiri kwa vipato vya waTz wengi ni rahisi kutenga $1500 kwa ajili ya makato tu? Bado mafuta,wewe na familia hamjala hamjalala,watoto hawajaenda shule etc.
Tz purchasing power ndogo sana.
Mbona ipo hata hapa tz. VW, Nissan na Ford nimeona wana hilo tangazo kwa gari zao. Unalipa kidogo kidogo.
 
Kwanini Tanzania bado wanaagiza Magari ya zamani sana.
Yaani mpaka Leo mtu bado anaagiza Old Model Car.
Tembelea mikocheni, Oysterbay na Masaki..fanya kama jogging tu jioni pita Toure drive pale Coco beach katisha utokee chole road urudi hadi mikocheni utokee shoppers then nyoosha kidogo uishie tu pale palm village. Halafu leta tena report
 
Nchi nyingi bank zina utaratibu wa kukopesha magari/nyumba ili kusaidia mzunguko.

Sisi Tanzania kila kitu tunafanya cash. Hatukopi wala kukopeshwa. Unakuta ukienda Toyota unaweza kununua gari kwa installement maisha yakaenda.

Ila mbongo akisikia mtu ana mkopo anamuona maskini au ana shida. Hii mentality sijui tumetoa wapi ..
Nilienda pale Toyota njia ya Nyerere rd. Nikakutana na kijana wa sales amechangamka kama amekunywa chai ya tangawizi iliyochanganywa na kahawa.

Nilienda kufuatilia nyaraka za kampuni kuna gari yao walinunua pale so kuna nyaraka nikiagizwa kuzifuata.


Nikaona ngoja niongee na mtu wa sales anipe tour ya showroom.

Dah yaani gari mpya, dogo yupo na furushi na funguo nikawa naitaza ile Toyota Land cruiser 300 hii ya mwaka 2023.

Jamaa akanifungulia akanambia nipande niifeel comfort yake.

Aisee ile gari Toyota wametulia mzee. Gari ndani ipo very comfortable kama Vogue.

Nikajisemea sasa naelewa kwann wabunge na mawaziri wanalazimisha kununuliwa zile gari na serikali.
 
Nchi za wenzenu kuna kitu kinaitwa finance. Unachukua kwa mkopo. Unaweka deposit kama 10% then inayobqki unalipa kidogo kidogo kulingana na aina ya gari.
Still gari kubwa ni wenye pesa tu watawezana na malipo yake ya mwezi.
Hii ipo hata cmc,Nissan ila unaweza kuambiwa kwa mwezi ulipe $1500 hapa Tz unafikiri kwa vipato vya waTz wengi ni rahisi kutenga $1500 kwa ajili ya makato tu? Bado mafuta,wewe na familia hamjala hamjalala,watoto hawajaenda shule etc.
Tz purchasing power ndogo sana.
Wewe mbuzi tu Nenda Zambia uone watu wanavyosula magari ng'ombe wewe
 
Wew
Mkuu, kodi ya gari jipya ni ndogo kuliko mtumba.

Shida ni bei ya hilo gari jipya tu ndio inatusumbWewe
Wewe unazungumzia ukubwa wa ki asilimia. Issue ni ukubwa wa pesa
 
Mkuu, kodi ya gari jipya ni ndogo kuliko mtumba.

Shida ni bei ya hilo gari jipya tu ndio inatusumbua.
Ni kweli 10% ni ndogo kuliko 40% lakini



1) Zero km gari jipya tufanye kodi ni ndogo ya 10%


10% ya 400M ni 40M


2)Gari ya zamani tufanye kodi kubwa ya 40%

40% ya 30M ni 12M
 
Tembelea mikocheni, Oysterbay na Masaki..fanya kama jogging tu jioni pita Toure drive pale Coco beach katisha utokee chole road urudi hadi mikocheni utokee shoppers then nyoosha kidogo uishie tu pale palm village. Halafu leta tena report
Hiyo ni sample ndogo mno mno. Kwenye gari 500 zinazoingia Tz gari mpya inaweza kuwa moja ama isiwepo kabisa
 
Tuna sheria za kodi zenye mtazamo wa kizamani(mfumo wa ujamaa):
1.Kodi na Tozo kuwa nyingi kwa kitu kimoja.
2.Kuendelea kutafsiri kumiliki gari ni anasa
Mfano:
Unaweza kununua gari kwa thamani ya TRA
hadi Dar es Salaam ni $19,124/20,lakini ukalipishwa kodi na tozo aina 6 kama ifuatavyo;
a)Import Duty $.4,781/05
b).Excise Duty $.2,390/53
c).Uchakavu $.3,585/53
d)VAT $5,486/=
e).Custom process fee $114/75
f).Railway levy $.286/86
jumla ya kodi na Tozo=$16,644/97

JUMLA YA KUAGIZA GARI NA KODI=$.35,769/17
Ukiangalia mfano huu gharama ya kuagiza na kodi zinakaribia kulingana(yaani ni kama umenunua magar mawili kwa mzigo huu wa kodi).

Hii ndio maana ya kodi kandamizi,mtazamo wa kijamaa kuwa kumiliki gari ni anasa.
Vile vile ni kukosa ubunifu wa mbinu sahii ya kupata na kuongeza mapato ya Serikali.

Kweli,naamini kodi ikipunguzwa wananchi wamiliki magari,kodi itaongezeka kutokana na wengi kumiliki magari na kupata mapato kutokana na matumizi ya mafuta yataongezeka!
 
Tuna sheria za kodi zenye mtazamo wa kizamani(mfumo wa ujamaa):
1.Kodi na Tozo kuwa nyingi kwa kitu kimoja.
2.Kuendelea kutafsiri kumiliki gari ni anasa
Mfano:
Unaweza kununua gari kwa thamani ya TRA
hadi Dar es Salaam ni $19,124/20,lakini ukalipishwa kodi na tozo aina 6 kama ifuatavyo;
a)Import Duty $.4,781/05
b).Excise Duty $.2,390/53
c).Uchakavu $.3,585/53
d)VAT $5,486/=
e).Custom process fee $114/75
f).Railway levy $.286/86
jumla ya kodi na Tozo=$16,644/97

JUMLA YA KUAGIZA GARI NA KODI=$.35,769/17
Ukiangalia mfano huu gharama ya kuagiza na kodi zinakaribia kulingana(yaani ni kama umenunua magar mawili kwa mzigo huu wa kodi).

Hii ndio maana ya kodi kandamizi,mtazamo wa kijamaa kuwa kumiliki gari ni anasa.
Vile vile ni kukosa ubunifu wa mbinu sahii ya kupata na kuongeza mapato ya Serikali.

Kweli,naamini kodi ikipunguzwa wananchi wamiliki magari,kodi itaongezeka kutokana na wengi kumiliki magari na kupata mapato kutokana na matumizi ya mafuta yataongezeka!
Brother bora iwe hivyo anasa tu maana miundombinu iliyopo kwa sasa magari yanavyoongezeka utajikuta unatumia masaa mawili kwenye gari kutoka kimara mpaka ubungo sababu ya foleni
 
Back
Top Bottom