Kwanini Tanzania latest Car ni chache sana kuonekana. Bado wanaagiza Magari ya 2000-2010

Kwanini Tanzania latest Car ni chache sana kuonekana. Bado wanaagiza Magari ya 2000-2010

Ni kweli 10% ni ndogo kuliko 40% lakini



1) Zero km gari jipya tufanye kodi ni ndogo ya 10%


10% ya 400M ni 40M


2)Gari ya zamani tufanye kodi kubwa ya 40%

40% ya 30M ni 12M
Mkuu, hilo la 400m, hata bila kodi utaweza kulinunua?
 
Brother bora iwe hivyo anasa tu maana miundombinu iliyopo kwa sasa magari yanavyoongezeka utajikuta unatumia masaa mawili kwenye gari kutoka kimara mpaka ubungo sababu ya foleni
Bongo hamna magari mengi.

Jiji la watu milioni 8 na magari hayafiki milioni 3 unasemaje kuna magari mengi?

Mtazamo wa watu ni kuwa na magari chakavu kunakosababishwa na kodi kubwa. Hao hao walio na uwezo wa kununua chakavu kodi zingekua fair wangenunua magari yasiyoenda age sana.

Serikali inge restrict gari kuingia iwe si juu ya miaka mitano. Mfano kwa 2024 gari inayoruhusiwa iwe 2019 kwenda juu.
Na hapo wapunguze makodi makubwa kama wanamkoa nani sijui kumbe tunazidi kuchafua mazingira.

Hawa hawa serikali wanahimiza cashless transfer huku wanakuwekea tozo kibao ili usifanye cashless. Sijui tukoje sisi.
 
Bongo hamna magari mengi.

Jiji la watu milioni 8 na magari hayafiki milioni 3 unasemaje kuna magari mengi?

Mtazamo wa watu ni kuwa na magari chakavu kunakosababishwa na kodi kubwa. Hao hao walio na uwezo wa kununua chakavu kodi zingekua fair wangenunua magari yasiyoenda age sana.

Serikali inge restrict gari kuingia iwe si juu ya miaka mitano. Mfano kwa 2024 gari inayoruhusiwa iwe 2019 kwenda juu.
Na hapo wapunguze makodi makubwa kama wanamkoa nani sijui kumbe tunazidi kuchafua mazingira.

Hawa hawa serikali wanahimiza cashless transfer huku wanakuwekea tozo kibao ili usifanye cashless. Sijui tukoje sisi.
Bongo yawezekana magari sio mengi ila miundombinu iliyopo kwa sasa haiendani na namba ya magari yaliyopo kwa kuanzia kwenye foleni plus ufinyu wa barabara shida ya parking mfano mzuri malori yanavyopaki kwenye road reserve eg mandela road
 
Bongo hamna magari mengi.

Jiji la watu milioni 8 na magari hayafiki milioni 3 unasemaje kuna magari mengi?

Mtazamo wa watu ni kuwa na magari chakavu kunakosababishwa na kodi kubwa. Hao hao walio na uwezo wa kununua chakavu kodi zingekua fair wangenunua magari yasiyoenda age sana.

Serikali inge restrict gari kuingia iwe si juu ya miaka mitano. Mfano kwa 2024 gari inayoruhusiwa iwe 2019 kwenda juu.
Na hapo wapunguze makodi makubwa kama wanamkoa nani sijui kumbe tunazidi kuchafua mazingira.

Hawa hawa serikali wanahimiza cashless transfer huku wanakuwekea tozo kibao ili usifanye cashless. Sijui tukoje sisi.
Screenshot_20240403_201821.jpg


Mkuu, Corolla ya 2019, ni Tzs 30m, kabla ya kodi. Hata bila kodi tu haishikiki. Sasa wakiweka hiyo restriction, mjini patakalika kweli?
 
Kipato cha watanzania wengi ni kidogo sana mkuu hatuwezi kumudu uagizaji wa gari latest.
 
View attachment 2953142

Mkuu, Corolla ya 2019, ni Tzs 30m, kabla ya kodi. Hata bila kodi tu haishikiki. Sasa wakiweka hiyo restriction, mjini patakalika kweli?
Mkuu gari hiyo hiyo jaribu kuagiza ukiwa kenya au zambia au sehemu nyingine....
View attachment 2953142

Mkuu, Corolla ya 2019, ni Tzs 30m, kabla ya kodi. Hata bila kodi tu haishikiki. Sasa wakiweka hiyo restriction, mjini patakalika kweli?
Mkuu gari ya aina hiyo hiyo jaribu kuagiza ukiwa kenya au uganda au zambia au rwanda..... kuna namna bei ya magari tunayoagiza haiko sawa hata kabla ya kodi.
 
Mkuu gari hiyo hiyo jaribu kuagiza ukiwa kenya au zambia au sehemu nyingine....

Mkuu gari ya aina hiyo hiyo jaribu kuagiza ukiwa kenya au uganda au zambia au rwanda..... kuna namna bei ya magari tunayoagiza haiko sawa hata kabla ya kodi.
Duu! Hii sijawahi kujua aise. Mpaka bei kwenye dola inakuwa tofauti?
 
Back
Top Bottom