Kwanini Tanzania tunapata watalii wachache kulinganisha na vivutio tulivyonavyo?

Kwanini Tanzania tunapata watalii wachache kulinganisha na vivutio tulivyonavyo?

Tourism in Tunisia is an industry that generates around 9.4 million arrivals per year, which makes it one of the most visited countries in Africa. Tunisia has been an attractive destination for tourists since the beginning of the 1960s. Among Tunisia's tourist attractions are its cosmopolitan capital city of Tunis, the ancient ruins of Carthage, the Muslim and Jewish quarters of Jerba, and coastal resorts outside Monastir. According to The New York Times, Tunisia is "known for its golden beaches, sunny weather and affordable luxuries."[1]


Hii nchi tunawazidi kabisa kuhusu vivutio lakini wanavuna Usd 2 billion per annum kwa Utalii. Na Umewasaidi kuinua sekta nyingine ndogondogo kama infrasturcture, Dates and Olive farming, Fishing etc

Nadhani swala la kujitambua pia kama wananachi kuwa na right ethical attitude ya kufanya kazi. Waarabu wabaguzi lakini Tunisia ukienda wanaku pokea vizuri with respect mpaka unaweza kuongeza package za kwenda kutalii kwenye Southern deserts zao. Of course Tunisiana Airline pia iko very strong with many routes in Europe. Pia attraction ya Cost effective tourism packages inawasaidia sana.Tujiulize Lakini viatu hivi kigwangala vinamtosha kutuvusha kwenye utalii.
👏👏👏 knowledge ya utalii Tanzania inachukuliwa poa tena sana tu..... Bodi ya Utalii Tanzania M/Kiti ni Judge sidhani kama bodi ya Wanasheria M/Kiti ni Daktari wa binadamu.
 
Siku mkija kujua utalii sio tu kuwa na Simba, swala au tembo wengi ndio mtajua kwanini kwanini utalii tanzania unasua sua...

Kuna nchi Zina Utalii wa Beach tu na zinapata wageni wengi kuliko Tanzania yenye mamilion ya sokwe na Simba...

Jiulize kwanini!!! Siku tukija kufuta huo mtazamo nchi hii itafika mbali.
 
Kama sekta binafsi hawawezi, serikali naishauri inunue mabasi madogo na kutoa kuduma bure kwa watalii. Watangaze package tours.

Nimeona mabasi ya bure Asia, unapelekwa kufanya shopping maduka mbali mbali, au unapelekwa mahotelini bure. Itawasaidia wafanyabiashara wadogo wadogo kuuza bidhaa zao kama mabasi yakisimama kwao. Pia inakuwa rahisi kwa mgenu kutembea bila ya kupoteza mda.

Kuna mito ya maji moto (hot spring) Morogoro nimeona, yanaitwa onsen kwa Kijapani. Hii ni biashara kubwa hapa kwa kuwa maji yake ni mazuri kwa afya ya binadamu. Kama sehemu hizo zikizungushiwa hoteli, watapata wateja wengi sana.


Hapo DSM, kama Oysterbay beach ingejengwa vizuri, watalii wengi wangekuja kuota jua hapo. Sio kila mtalii anataka kuona mlima na wanyama.

Ukienda Pattaya, Thailand au Bali, Indonesia, kuna bahari kama Oysterbay. Package tour zao za wiki moja kutoka Japan hazizidi $700 kununua usafiri, hoteli na chakula. Bali na Pattaya wanavuta watalii milioni 15 kwa mwaka kuota jua. Sisi tunavuta milioni 2 tu kwa nchi nzima na tuna vivutio bora zaidi!
Mwendokasi tu imewashinda
 
Exactly pricing ndio tatizo. ...... na ndio maana tunashishindwa na kuhusu Serengeti wageni wengi wanaokuja TZ wanaenda huko sababu ndio tunayoiyaja. na kuitukuza.
Ukienda Zanzibar, room ya hovyo hovyo kwenye vihoteli vyao utaambiwa laki. Chumba cha short time hapa lodge za bongo unalipa 15 unaondoka Zanzibar unaambiwa 100,000.

Mauritius, Comoro, Seychelles, Reunion na visiwa vingine wanapiga hela kwenye utalii hakuna mfano.

Seychelles njia kuu ya uchumi ni utalii, mandege makubwa makubwa yanatua pale kila siku lakini jirani zake tu Zanzibar wameshindwa.
 
Kuna mzungu mmoja aliwahi kuniuliza mbona chips mayai mtaani ni 2,500 hadi 3,000 lakini Nyerere Airport ni 18,000. Kwa nini kuna tofauti kubwa hivyo na hizi za mtaani ni tamu sana?

Mtu kama huyo mnamjibu vipi?

Ungemjibu kwamba "hayo ni maagizo toka juu". Ova!
 
Kule Quatar kuna maelfu ya watalii wanaenda kumuangalia "salt bae" anavyorusha chumvi kwenye nyama Choma kwa kutumia mkono na kiwiko Chake...

Endeleeni kuamini utalii ni swala, mbuzi, Simba na nyumbu.
 
Hujanielewa, board ya utalii iweke standards za magari ya kwenda kuchukulia watalii, kama ni mtu mwenye tour service yake kabla ya kupata kibali bodi ikague uwekezaji wake. Pia kuwe na mikopo watu wanunue hayo magari na kuyalipia taratibu.

Zamani bodi ya utalii ilikuwa na hoteli zake, Bushtrecker, Sylver Sands, Bahari Beach, hizi zote zilibinafsishwa. Wenye hoteli wanakaguliwa kuona kuwa service wanayotoa inaendana na malipo wanayotoza?
Wewe unafikiri hizo standard hazipo?? Unajua zamani kulikuwa na state travel services??
He hotel ukiambiwa in nyota 1, 2, 3 ,4, 5 si ndio standard zenyewe??
 
Hatuna viongozi creative katika sekta hiyo period. Tunatumia akili zile zile na njia zile zile.we don't go global, kuna watu tumejitolea kuutangaza utalii bila ubalozi tukasanda. No support hakuna njia mpya za kufanya mambo. No exposure. Tumeridhika
 
Umeng'ata Lamdmark wakati sie tunaona ndio bongeee la hoterrriii
Mchawi hapo ni marketing. Entering partnership with Travel agencies zilizotanuka duniani na Airlines.

Formulating appropriate tourism package vilevile service delivery lazima iwe on top.

Sio mtalii unamwambia Utafika dsm utakaa siku 7 Mara ndege imechelewa, Hotel zetu nyingi pia Zina changamoto ya excellent services and maintanance.Mfano ukisoma Travel reviews za hotel Kama Landmark ya kule Mbezibeach wengi wanaoina ni chafu na Haina maintenance, high price with poor customer services.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania wanacheza tunatania hatujitangazi hopping that tuna vivutio vya kutosha watakuja tu
Na wakija huduma ni mbovu, mapokezi yanaanzia Airport, kunakuwa na immigration desk kwa watalii wasikae muda mrefu kwenye foleni ya visa. Wakitoka nje wakute wahudumu wanawasubiri kwa tabasamu , usafiri upo wa kuvutia. Wapewe mpangilio wa ratiba.
 
Kuna ujuaji na ukiritimba mwingi sana katika sekta ya utalii. Plus serikali na viongozi wake wanazima ubunifu kwa kuingilia mambo mengi sana na kutokaa na wadau kujua wawasaidie vipi kupiga hatua...
 
Wakiruhusu na SEX TOURISM watapiga dough hatari sana.
Tatizo sex tourism wanakuja wabibi ila wangekiwa wanakuja wadada wakali.... Mbona hata mimi ningekuwapo katika biashara.
 
Hii ndio sababu kuu.

Asilimia kubwa ya watalii tunaiwapokea Tanzania wanakuja kwa ajili ya kutembelea mbuga zetu pamoja na kupanda Mlima Kilimanjaro and Meru, Kwenda kwenye Fukwe na jufurahia hoteli zetu hizo ni ziada.

Tatizo ni kwamba gharama zetu (viingilio) ni vikubwa sana na hili limekuwa tatizo. Kama serikali ikiamua kutumia utalii kama sehemu ya kutoa ajira kwa wananchi hapo tutapokea mamilioni ya watalii.

Ila kama serikali itaweka kipaumbele kwa kukusanya mapato directly kutoka kwa mtalii hapo namba ya watalii lazima isue.
Mimi usifikiri kwamba entry fee ni jambo baya labda rate, lakini ukiwa uingereza e.g. kuingia Windsor castle ni £10.00 , ukitoka hapo madame tausand napo kiingilio sikumbuki how much lakini ukiwa na family unaiona £100 inakwenda, ukienda museum the same, bus tour na boat nayo ni pesa , hujaenda something like marine park etc , na kujifanya hivyo labda Windsor pekee yake siku imekwisha next day hizo sehemu zingine uzipitie u might need two day , so say three day na ya Windsor, hapo hujazungumzia miji mingine, au viwanja vya mpira kama Emirates wa Arsenal etc na train ticket a day travel ticket all zones £ 12.00 etc , bado kwa sisi waswahili hujaingia maduka ya nguo ,viatu etc na ticket za ndege na kukuongezea na accommodation?? Chakula per person kwenye hizi fast food at minimum £5 say breakfast , £10 lunch na dinner the same. Sasa £10 x 3000= 30,000.00
Kwa dinner .

Ninachoona hatupo creative enough kumfanya mtu atumie na aone muda aliokaa hautoshi ili siku nyingine ajione ali miss kitu , awe na hamu ya kuja tena au a recommend mtu mwingine aje
 
Back
Top Bottom