Kwanini Tanzania Walimu wenye Masters hawatambuliwi kimasilahi?

Kwanini Tanzania Walimu wenye Masters hawatambuliwi kimasilahi?

Pole mkuu inaonyesha siku ukisikia masters degree inawekewa muundo wa kiutumishi utachanganyikiwa kabisa, jikubali acha kuonea wivu vitu usivyo na uwezo navyo..umeshindwa kusoma tulia
pole wewe unaesubiri kitu cha kusadikika. Kumbe una master ya education! Ulipoteza mda. Sina master na wala sifikirii kusomea master ya education.
Haina soko ndio maana wengine ni walimu wakuu cheo ambacho hata diploma wanakitumikia.
Soma master zenye akili zitakazokufungulia njia sio kukuongezea ulalamishi ns msongo wa mawazo.
Tumia elimu yako ya master kuwa mbunifu sio mlalamishi. Unaonekana ukipewa cheo kikubwa utaiba sana, kufidia ada yako.
Pole tena
 
huku primary na secondary kumeoza , hawa wa degreee weng wa uwezo mdg sn , suala la mtu kusomea uwalimu waliongezee credits sio failures maana nmeona takataka nyng sn huko mtu hajui circles anairuka swali linakuja wanafer darasa zima , Kabla ya kufikilia mastars tuanze na hz degree hazina tofaut na certificate ni wanajua ty kuvaa zaid ya watu wa certificate ila in reality ni zero kbs , Wakishindwa hizo Masters ziende huko secondary na primary
Hapa umepuyanga. Huwezi soma digrii yoyote bila kukidhi vigezo vya TCU.
Uwe na principle pass mbili, na ndio vigezo vya kozi zote TZ
Ufeli secondary halafu ukafaulu kozi ya MT au Ph pale kitivo we unautani au hujui unachoongea.
Hivi wewe circle ndio unaiona hesabu ngumu?
Unazijua kozi walizosoma watu wa Hesabu chuoni ?
 
pole wewe unaesubiri kitu cha kusadikika. Kumbe una master ya education! Ulipoteza mda. Sina master na wala sifikirii kusomea master ya education.
Haina soko ndio maana wengine ni walimu wakuu cheo ambacho hata diploma wanakitumikia.
Soma master zenye akili zitakazokufungulia njia sio kukuongezea ulalamishi ns msongo wa mawazo.
Tumia elimu yako ya master kuwa mbunifu sio mlalamishi. Unaonekana ukipewa cheo kikubwa utaiba sana, kufidia ada yako.
Pole tena
Sasa ndugu Mimi kupoteza kwangu muda ww unaumia nini, Mambo hayakuhusu ww shida yako nini, unakuwa mbea mbea kudakia Mambo yasiyokuhusu unajitesa bure. Pumbavu we!
 
Hapa umepuyanga. Huwezi soma digrii yoyote bila kukidhi vigezo vya TCU.
Uwe na principle pass mbili, na ndio vigezo vya kozi zote TZ
Ufeli secondary halafu ukafaulu kozi ya MT au Ph pale kitivo we unautani au hujui unachoongea.
Hivi wewe circle ndio unaiona hesabu ngumu?
Unazijua kozi walizosoma watu wa Hesabu chuoni ?
We jamaa unashida Sana, Sasa kupuyanga kwake ww kunakuuma Nini? Huwezi ukaacha Jambo lislokuhusu lipite we nikudandia dandia tu..hebu jitathimin vzuri
 
Sasa ndugu Mimi kupoteza kwangu muda ww unaumia nini, Mambo hayakuhusu ww shida yako nini, unakuwa mbea mbea kudakia Mambo yasiyokuhusu unajitesa bure. Pumbavu we!
Siumekuja kulalama hapa. Ungejikalia huko nani angejua.
Hili ni jukwaa huru, sio mtazamo wako kila mtu atauchukulia chanya.
Msomi wa master ulitakiwa uwe na unyenyekevu na di
sio mihemko. Tuachie mihemko sisi tusio na elimu kubwaaa.
Wasomi hubishana kwa hoja, vinginevyo wewe sio msomi ni kama sisi tu.
 
Siumekuja kulalama hapa. Ungejikalia huko nani angejua.
Hili ni jukwaa huru, sio mtazamo wako kila mtu atauchukulia chanya.
Msomi wa master ulitakiwa uwe na unyenyekevu na di
sio mihemko. Tuachie mihemko sisi tusio na elimu kubwaaa.
Wasomi hubishana kwa hoja, vinginevyo wewe sio msomi ni kama sisi tu.
Sasa nakulalamikia wewe we jamaa vipi? Kwahyo nimepost ili nijibiwe na ww? Ishu haikuhusu soma then tulia syo unaanza kuongea ambavyo havikuhusu
 
We jamaa unashida Sana, Sasa kupuyanga kwake ww kunakuuma Nini? Huwezi ukaacha Jambo lislokuhusu lipite we nikudandia dandia tu..hebu jitathimin vzuri
Akuanzae mmalize, wewe inakuhusu nini ?Mbona nawe unadandia. Unajua tulipoanzia au wewe ndio unadandia usilolijua.
 
Ni mambo muhimu ya kutazama katika taifa letu. Akina "unanijua mimi ni nani" hawatafurahi wakiona mtu mwenye elimu zaidi yao. Afisa elimu wa wilaya ana degree, hata penda kuona waalimu waliomzidi elimu wilayani kwake. Naona kielimi tuishi kijeshi, tumechoka sasa. Ni marufuku katika shule ya sekondari mkuu wa idara awe na elimu ndogo kuliko anaowaongoza.
Niliwahi sikia Kuna halmashauri Fulani Kuna jamaa ana PhD alipigwa vita Ile mbaya hadi kusimamishwa kazi.

Ikabidi akimbilie kwa viongozi wa CCM mkoa wamsadidie kumchimba biti afisa elimu wilaya ndio jamaa kurudishwa kazini[emoji1787]

Eti wakampa afisa elimu kata just imagine PhD holder afisa elimu kata aisee

Mleta mada una hoja ya msingi.

Mwalimu akiwa shule ya msingi/akivuka tu masters atafutiwe allocation sehemu ingine.

Ikishindikana basi kama ulivyosema watafutie muundo rasmi wa utumishi kwa level yao ya elimu
 
Sasa nakulalamikia wewe we jamaa vipi? Kwahyo nimepost ili nijibiwe na ww? Ishu haikuhusu soma then tulia syo unaanza kuongea ambavyo havikuhusu

Inamhusu nani? Unaposema walimu waongezewe credit unamaanisha nini?
Kanusha kuwa hujapuyanga. Unasemaje walimu waongezewe credit za ufaulu ilhali kuna standard zimeshawekwa na wamekidhi mpaka kuchaguliwa kujiunga elimu ya juu.
Unataka kuuminisha uma kuwa walimu wanachaguliwa bila kukidhi vigezo.
Je TCU hawana vigezo sawia kwa kozi zote.
Ulitakiwa unijibu kwa hoja sio nguvu ya hoja.
Siwezi kuvumiliia upotoshaji.
 
Inamhusu nani? Unaposema walimu waongezewe credit unamaanisha nini?
Kanusha kuwa hujapuyanga. Unasemaje walimu waongezewe credit za ufaulu ilhali kuna standard zimeshawekwa na wamekidhi mpaka kuchaguliwa kujiunga elimu ya juu.
Unataka kuuminisha uma kuwa walimu wanachaguliwa bila kukidhi vigezo.
Je TCU hawana vigezo sawia kwa kozi zote.
Ulitakiwa unijibu kwa hoja sio nguvu ya hoja.
Siwezi kuvumiliia upotoshaji.
Sawa mkuu hayo Mambo sjui yameongelewa wapi..so naomba tuchangie hoja kwa kuangalia maada inasemaje bila kukejer Wala kumpuuza mtu.
 
Hivi yupo mwenye PhD anayefundidha Sekondari?
Kuna mmoja Mimi namjua sema alipigwa majungu sana so wakamficha kwenye nafasi y afisa elimu kata just imagine mzee Dr wa PhD eti afisa elimu kata hahahaha hii nchi Ina utani sana elimu
 
Sawa mkuu hayo Mambo sjui yameongelewa wapi..so naomba tuchangie hoja kwa kuangalia maada inasemaje bila kukejer Wala kumpuuza mtu.
Labda ntakuwa nili reply kimakosa. Kuna mtu hapo sliandija eti walimu waongezewe credits za kujiunfa ns chuo ndoo nikakoti kuwa kapuyanga kwa sababu mtu hajiungi bachelor bila kukosa vigezo vya TCU.
Basi tuishie hapo, wenye nchi wenyewe wapo huko wametulia hawana
mda na sisi.
 
Kuna mmoja Mimi namjua sema alipigwa majungu sana so wakamficha kwenye nafasi y afisa elimu kata just imagine mzee Dr wa PhD eti afisa elimu kata hahahaha hii nchi Ina utani sana elimu
Maafisa Elimu huwa wanapenda kuona mwl ana elimu ndogo imagine mtu anasifa za kufundsha chuo anaandika barua aipitishe kwa afsa elimu, afsa elimu anacomment Kuna Walimu wachache wa kiswahili asiruhusiwe🤣 Hawa wazee ndo maana wanastaafu vibaya
Dawa serikali iweke muundo wa kiutumishi tu kwa Masters na PhD
 
Hata ukiwekwa mshahara wa Master ya education na PhD ya education kwenye scheme of service bado itakuwa ni meagre salary tu, utaambiwa mwenye Masters ya education 980,000/-, Mwenye PhD ya education 1,300,000/- Sasa si upuuzi tu bado
Upuuzi mkubwa nchi Ina utani sana na elimu yetu hii

Ukimsikia waziri wa elimu anavyoongea kwa ubabe utadhani kafanya jambo Moja la maana sana kwa hii elimu

Kumbe anafanya kazi za kipolisi tu yaani watchdog 🤣🤣
 
Back
Top Bottom