Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
- Thread starter
- #261
Pamoja mkuuLabda ntakuwa nili reply kimakosa. Kuna mtu hapo sliandija eti walimu waongezewe credits za kujiunfa ns chuo ndoo nikakoti kuwa kapuyanga kwa sababu mtu hajiungi bachelor bila kukosa vigezo vya TCU.
Basi tuishie hapo, wenye nchi wenyewe wapo huko wametulia hawana
mda na sisi.