Tanzania kada almost zote wanawatambua mwisho bachelor tu. Sio walimu pekee
Na wakipandisha kwa walimu basi na kada nyingine wapandishe kama manesi etc
Unafahamu utoshelevu wa elimu Mkuu? Elimu inayotosha ni Ipi?Kwa kuzingatia Aina ya Walengwa/Wateja/Wanafunzi, Ukubwa wa kazi yenyewe na Mazingira tuliyopo KAZI YA UALIMU WA MSINGI NA SEKONDARI elimu ya DIGRII MOJA INATOSHA. zaidi zaidi hao walimu walipaswa kujikita kwenye kwenda kujipatia mafunzo mafupi ya Mbinu za ufundishaji. Elimu ya Masters nk nk hazina nafasi kwa Kiwango hicho cha kazi. Workload ya Ualimu haiiitaji hizo Masters zenu. Msilazimishe kuuua sisimizi kwa AK 47
Work output yao haiwezi kuwa ile ile. Binafsi naamini elimu degree ya kwanza ngazi ya ualimu (kwa zama hizi) haitoshi kutoa elimu bora shule za sekondari. Miaka ya hivi karibuni nimeshangaa wanafunzi wanakuja first year vyuoni na wamefaulu division one hadi two lakini ukiangalia performance yao ile semester ya kwanza unapata walakini kama hawa watoto walipata maarifa sahihi ya kuwawezesha kuwa na sifa.za chuo kikuu. Hawajui kujenga hoja, hawajui kujisomea vitabu, wengine hawajui kabisa hata kunyoosha mwandiko achilia mbali kujenga hoja kwa lugha ya kiingereza.Wakati work out-put yao ni ile ile
Nadhani serikali inapaswa kuharakisha uhamisho wa walimu wenye sifa ili kwenda kutumikia elimu yao sehemu husikaNdo hapo Sasa watafanyaje unakuta mtu ana masters na anasifa ya kwenda kufundsha vyuo likini akiandika barua kuomba kuhamishwa wakuu wake wa idara wanamwambia hawamruhusu kwasabu Walimu wachache..kuondoa hili Bora serikali iwape masilahi ya kimuundo na kiutumishi hukohuko mashuleni wanakofundsha.
Upo sahihi 🙏🏼Work output yao haiwezi kuwa ile ile. Binafsi naamini elimu degree ya kwanza ngazi ya ualimu (kwa zama hizi) haitoshi kutoa elimu bora shule za sekondari. Miaka ya hivi karibuni nimeshangaa wanafunzi wanakuja first year vyuoni na wamefaulu division one hadi two lakini ukiangalia performance yao ile semester ya kwanza unapata walakini kama hawa watoto walipata maarifa sahihi ya kuwawezesha kuwa na sifa.za chuo kikuu. Hawajui kujenga hoja, hawajui kujisomea vitabu, wengine hawajui kabisa hata kunyoosha mwandiko achilia mbali kujenga hoja kwa lugha ya kiingereza.
Japo kuwa na elimu ya masters haiwezi kuwa sifa pekee ya kufundisha sekondari miaka hii, lakini nahisi utitiri wa waalimu wengi wenye degree unalazimisha, walau kwa mazingira ya sasa, umuhimu wa walimu wenye viwango vya juu zaidi ili kunusuru kiwango cha elimu kinachotolewa huko sekondari.
Mzee una Masters? Kama ulifaulu zaidi ya 3.8GPA degree, na ukapata 4.0 GPA masters wewe ni hot cake... omba kuhamia kwenye vyuo.Upo sahihi 🙏🏼
Elimu haijawahi tosha mkuu...Tafuta nafasi ukasome.Kwa kuzingatia Aina ya Walengwa/Wateja/Wanafunzi, Ukubwa wa kazi yenyewe na Mazingira tuliyopo KAZI YA UALIMU WA MSINGI NA SEKONDARI elimu ya DIGRII MOJA INATOSHA. zaidi zaidi hao walimu walipaswa kujikita kwenye kwenda kujipatia mafunzo mafupi ya Mbinu za ufundishaji. Elimu ya Masters nk nk hazina nafasi kwa Kiwango hicho cha kazi. Workload ya Ualimu haiiitaji hizo Masters zenu. Msilazimishe kuuua sisimizi kwa AK 47
Vyuoni nako si kwamba ukishakuwa na 3.8 basi automatically unakuwa mwalimu wa chuo kikuu. Kuna mchakato, lazima kazi itangazwe, utumishi wasimamie interview process, wataaply kibao wakati nafasi zipo mbili au moja. Na pia hoja kuu ni kwamba walimu wenye masters watambuliwe sekondari hata kama hawana gpa 3.8.Mzee una Masters? Kama ulifaulu zaidi ya 3.8GPA degree, na ukapata 4.0 GPA masters wewe ni hot cake... omba kuhamia kwenye vyuo.
Kwasasa vyuoni ajira ni kuanzia master Ila before walikuwa wanachukua first degree then baada ya miaka miwili unasomeshwa masters na chuo na ukipata chin ya GPA Yao. Basi kibarua kinaishia hapo.Vyuoni nako si kwamba ukishakuwa na 3.8 basi automatically unakuwa mwalimu wa chuo kikuu. Kuna mchakato, lazima kazi itangazwe, utumishi wasimamie interview process, wataaply kibao wakati nafasi zipo mbili au moja. Na pia hoja kuu ni kwamba walimu wenye masters watambuliwe sekondari hata kama hawana gpa 3.8.
Si sahihi, vyuo vingi sana bado wanaajiri watu wenye degree moja kama Tutorial Assistants !Kwasasa hata vyuo vikuu wanaajiri kuanzia wenye masters washa achana kabisa na first degree.
Huko vyuoni nafasi ni nyingi sana.. anaweza omba kuhamia na akapata... na kwa kada za Assistant Lecturer watu si wengi kama unavyosema maana nafasi huwa re-advertised mara nyingi maana kupata watu wa vigezo hivyo si mchezo ndugu.Vyuoni nako si kwamba ukishakuwa na 3.8 basi automatically unakuwa mwalimu wa chuo kikuu. Kuna mchakato, lazima kazi itangazwe, utumishi wasimamie interview process, wataaply kibao wakati nafasi zipo mbili au moja. Na pia hoja kuu ni kwamba walimu wenye masters watambuliwe sekondari hata kama hawana gpa 3.8.
Hata ukiwa na PhD wataangalia GPA ya 3.8 undergraduate. Vyuoni wanaajiri kuanzia tutorial assistants (degree moja but uwe na 3.8 gpa), assistant lecturer ( masters but uwe na 3.8 undergrad na 4.0 masters), na PhDs (vigezo ni vile vile). Anyway nina walakini na vigezo hivyo lakini kwa sasa hali ndivyo ilivyo.Kwasasa vyuoni ajira ni kuanzia master Ila before walikuwa wanachukua first degree then baada ya miaka miwili unasomeshwa masters na chuo na ukipata chin ya GPA Yao. Basi kibarua kinaishia hapo.
Otherwise upo sahihi Sana mkuu kwa hoja ya Walimu wenye Masters watambuliwe
Yeah upo sahihi. Sio wengi wana Masters level degree na kuwa na sifa za kiGPA. But dont think pia kama vyuoni kuna nafasi bwerere kwamba ukishakuwa na sifa za assitant lecturer basi utapata nafasi automatically.Huko vyuoni nafasi ni nyingi sana.. anaweza omba kuhamia na akapata... na kwa kada za Assistant Lecturer watu si wengi kama unavyosema maana nafasi huwa re-advertised mara nyingi maana kupata watu wa vigezo hivyo si mchezo ndugu.
Maslai ya mwalimu yanatakiwa kupimwa kwa ufanisi wa kazi siyo karatasi za vyuoni ... kwa akili hizi wasomi wa tz ni wapumbavu sana.... yani wanawaza maslai kwa kutumia karatasi za darasani badala ya ufanisi kaziniHabari.
Kwasasa dunia inafanya mapitio ya mitaala ya kufundshia/kujifunza huko mashuleni, huku swala la elimu za walimu ambao ndio wadau wa mitaala hiyo likiwa gizani. Kwa mfano, kwa Tanzania muundo wa kiutumishi wa walimu wa shule za msingi na sekondari unaanzia elimu ya cheti hadi shahada ya kwanza tu, ambapo mwalimu akiwa na shahada ya pili (masters/PhD), mfumo haumtambui kimasilahi na kimuundo, tofauti na nchi zingine kama Kenya, South Africa, Nigeria, Zimbabwe na kwingineko.
Serikali ingelitazama hili swala kwa jicho la utatu kwa kuwaandalia muundo wa kiutumishi na kimasilahi walimu wenye shahada ya pili (masters/PhD) waliopo huko mashuleni. Ifikie kipindi sasa iwe ni kawaida kumwona mwalimu mwenye PhD anafundsha shule za msingi huko. Hii ishu italeta mapinduzi makubwa sana kwenye idara ya elimu na ualimu hasa huko mashuleni, tofauti na sasa ambapo mwalimu akishapata shahada ya pili tu huanza kuomba kuhamia idara zingine ambapo anaona atapata maslahi kulingana na elimu aliyonayo. Wakati huo elimu yake (masters/PhD) ingetambulika kimuundo na kimasilahi, angepata utulivu kituoni pale alipokuwa anafundisha bila kutafuta fursa mahali pengine.
Napenda kuwasilisha.
Mbona unapaniki Sana upo sawa kweli.. jitathimin kama upo sawa..vitu Kama stress huwa vinaongeza jazba kwenye vitu vidogoMaslai ya mwalimu yanatakiwa kupimwa kwa ufanisi wa kazi siyo karatasi za vyuoni ... kwa akili hizi wasomi wa tz ni wapumbavu sana.... yani wanawaza maslai kwa kutumia karatasi za darasani badala ya ufanisi kazini