Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatatizo Sana kwenye ubongo...Nani amekwambia Mimi nina PhD kilaza mkubwa we!Haya sasa kumekucha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wasomi wenye PHD njooni mchukue mtu wenu msomi mwenzenu huku .....tukisema wasomi wapumbavu watu wana sema tunaona wivu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wasomi wa bongo ni [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji11]tu
Why do you want to kill the whole pig for a tail.Habari;
Kwasasa Dunia inafanya mapitio ya mitaala ya kufundshia/kujifunza huko mashuleni, huku swala la Elimu za Walimu ambao ndio wadau wa mitaala hiyo likiwa gizani, kwamfano, kwa Tz muundo wa kiutumishi wa Walimu wa shule za msingi na sekondari unaanzia Elimu ya cheti mwisho shahada ya kwanza tu, ambapo mwl akiwa na shahada ya Pili (masters/PhD) mfumo haumtambui kimasilahi (salary) na kimuundo, tofauti na nchi zingine Kama Kenya, south Africa, Nigeria, Zimbabwe na kwingineko,
Serikali ingelitazama hili swala kwa jicho la utatu kwa kuwaandalia muundo wa kiutumishi na kimasilahi Walimu wenye shahada ya Pili (Masters/PhD) waliopo huko mashuleni, ifikie kipindi Sasa iwe ni kawaida kumwona mwl mwenye PhD anafundsha shule za msingi huko, hii ishu italeta Mapinduzi makubwa sana kwenye idara ya Elimu na ualimu hasa huko mashuleni, tofauti na Sasa ambapo mwl akishapata shahada ya Pili tu huanza kuomba kuhamia idara zingine ambapo anaona atapata maslahi kulingana na Elimu aliyonayo wakati hyo elimu yake (masters/PhD) ingetambulika kimuundo na kimasilahi angetulia kituoni pake alipokuwa anafundsha bila kutafuta fursa mahala pengine.
NAOMBA KUWASILISHA
Ya maana my foot! Kama ualimu ni kazi ya maana, TRA na bandari wasemeje sasa?Ni kazi tena ya maana Sana ndio iliyokufanya upo hapa hamii unaandika hivyo ulivyoandika
Ualimu na u-house girl sioni tofauti. Wote ni walezi wa watotoHapana ni sexless
Kwani unadhani work out-put ya Prof na Degree holder wanaofanya kazi ileile ni tofauti kwa nchi yetu? Lakini mbona wanalipwa tofauti?Wakati work out-put yao ni ile ile
Mimi nipo hapo UDSM tutorial assistants wetu Wana 1st degree mkuu.Jaribu kuomba na hyo first degree hata Kama una GPA ya 4.0 hupati
Wanasema tu lakini kigezo kikuu ni master's na masters yenyewe iwe Ile ya mwendelezo wa ulichosomea first degree
Salary oriented, mna kazi kwelikweli.Ya maana my foot! Kama ualimu ni kazi ya maana, TRA na bandari wasemeje sasa?
Walimu na ccm ni sawa sawa tu ...tunawaona kama [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90]Ukiwa mwalimu basi kila mtu anakudharau kukuona huna akili
Kwahiyo mwalimu wako aliekufundisha pale chekechea unamfananisha na yule yaya alikuwa anakunyoosha uji pale makanyagio ya mbwa!!?Ualimu na u-house girl sioni tofauti. Wote ni walezi wa watoto
Una hoja lakini hujaiweka sawa. Huwezi kusema kwamba ni rahisi kufaulu mtihani wa chuo kuliko wa form four hivyo basi wasomi wetu vyuo vikuu hawafai au elimu ya chuo kikuu ni mbovu. Nakubaliana na wewe kwamba kuna vyuo vikuu hapa Tanzania wana system mbovu ya elimu. Wakati huo huo kuna vyuo vikuu vinatoa elimu bora kabisa. Lakini katika soko la ajira hawatofautishi kati ya graduate kutoka chuo flani mwenye sifa za ubora wq gpa. Embu cheki jinsi walimu wanavyoajiriwa: serikali inaajiri mwalimu yeyote yule aliyegraduate chuo chochote kile kilichosajiliwa na TCU mradi ana cheti cha degree.Walimu wasomi sana ndiyo wabovu sana awajali kazi tazama vyuo vikuu vyetu ni kichekesho tupu ....tz kumejaa ma IT ambao hata hesabu za darasa la 5 awaziwezi ushahidi ninao wa kutosha ....kwa tz ni rahisi ku pass mitihani ya vyuo vikuu kuliko form 4
Cheki walimu mafara wezio hqpaUnatatizo Sana kwenye ubongo...Nani amekwambia Mimi nina PhD kilaza mkubwa we!
Mwl unahemea juu juu sana, ndo manini hayo umepost.Haya sasa kumekucha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wasomi wenye PHD njooni mchukue mtu wenu msomi mwenzenu huku .....tukisema wasomi wapumbavu watu wana sema tunaona wivu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wasomi wa bongo ni [emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji11]tu
Hivi yupo mwenye PhD anayefundidha Sekondari?Suala la mwenye PhD kufundisha sekondari au primary ni wazimu wa hali ya juu sana.
Nilienda shule moja nikakuta mkuu wa shule ana PhD. Nilijisemea moyoni: hivi ndivyo inavyopaswa kuwa.Hivi yupo mwenye PhD anayefundidha Sekondari?
Ndiyo maana yake kwani ukuwai kusikia phd za vichupi . Sasa kama vichupi vinaleta phd je unadhani nini kinazuia kuwa na phd za mafisadi na rushwa. Chuo kikuu ni pesa yako tu na uchi wako tu ....huo ndiyo ukweliUna hoja lakini hujaiweka sawa. Huwezi kusema kwamba ni rahisi kufaulu mtihani wa chuo kuliko wa form four hivyo basi wasomi wetu vyuo vikuu hawafai au elimu ya chuo kikuu ni mbovu. Nakubaliana na wewe kwamba kuna vyuo vikuu hapa Tanzania wana system mbovu ya elimu. Wakati huo huo kuna vyuo vikuu vinatoa elimu bora kabisa. Lakini katika soko la ajira hawatofautishi kati ya graduate kutoka chuo flani mwenye sifa za ubora wq gpa. Embu cheki jinsi walimu wanavyoajiriwa: serikali inaajiri mwalimu yeyote yule aliyegraduate chuo chochote kile kilichosajiliwa na TCU mradi ana cheti cha degree.
Kwa nini wasiweke inteview?
Mimi siyo mwalimu wewe nguchiroMwl unahemea juu juu sana, ndo manini hayo umepost.
Naona umeanza kujikataa [emoji1787][emoji1787] hayo niliyo post ndiyo ubongo wa walimu wa tz [emoji1787][emoji1787] huu hapa ubongo wenu [emoji117][emoji90] na toilet paper yenu ni buku 7 ya ccm mnayo pewa kujipangusiaMwl unahemea juu juu sana, ndo manini hayo umepost.
Sijajua elimu yako lakini inaonekana hauna hoja za msingi.Ndiyo maana yake kwani ukuwai kusikia phd za vichupi . Sasa kama vichupi vinaleta phd je unadhani nini kinazuia kuwa na phd za mafisadi na rushwa. Chuo kikuu ni pesa yako tu na uchi wako tu ....huo ndiyo ukweli
Utatowaje hoja za msingi kwa watu wasio na akili au wapumbafuuu [emoji849] mimi niko vizuri sana ila uwezi kunijua mpaka uwe jiniasi wa daraja ya juu kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sijajua elimu yako lakini inaonekana hauna hoja za msingi.