Kwanini Tanzania Walimu wenye Masters hawatambuliwi kimasilahi?

Kwanini Tanzania Walimu wenye Masters hawatambuliwi kimasilahi?

Naona umeanza kujikataa [emoji1787][emoji1787] hayo niliyo post ndiyo ubongo wa walimu wa tz [emoji1787][emoji1787] huu hapa ubongo wenu [emoji117][emoji90] na toilet paper yenu ni buku 7 ya ccm mnayo pewa kujipangusia
Sasa mbona umepaniki Sana au umeathrika kutokana na unyanyasaji wakijinzia...au jicho linakuuma maana naskia jicho lina connection na ubongo
 
Habari;
Kwasasa Dunia inafanya mapitio ya mitaala ya kufundshia/kujifunza huko mashuleni, huku swala la Elimu za Walimu ambao ndio wadau wa mitaala hiyo likiwa gizani, kwamfano, kwa Tz muundo wa kiutumishi wa Walimu wa shule za msingi na sekondari unaanzia Elimu ya cheti mwisho shahada ya kwanza tu, ambapo mwl akiwa na shahada ya Pili (masters/PhD) mfumo haumtambui kimasilahi (salary) na kimuundo, tofauti na nchi zingine Kama Kenya, south Africa, Nigeria, Zimbabwe na kwingineko,
Serikali ingelitazama hili swala kwa jicho la utatu kwa kuwaandalia muundo wa kiutumishi na kimasilahi Walimu wenye shahada ya Pili (Masters/PhD) waliopo huko mashuleni, ifikie kipindi Sasa iwe ni kawaida kumwona mwl mwenye PhD anafundsha shule za msingi huko, hii ishu italeta Mapinduzi makubwa sana kwenye idara ya Elimu na ualimu hasa huko mashuleni, tofauti na Sasa ambapo mwl akishapata shahada ya Pili tu huanza kuomba kuhamia idara zingine ambapo anaona atapata maslahi kulingana na Elimu aliyonayo wakati hyo elimu yake (masters/PhD) ingetambulika kimuundo na kimasilahi angetulia kituoni pake alipokuwa anafundsha bila kutafuta fursa mahala pengine.
NAOMBA KUWASILISHA
Acheni kupoteza muda we PhD na darasa la kwanza wapi na wapi ukiwa na master nenda kafundishe chuo full stop
 
Habari;
Kwasasa Dunia inafanya mapitio ya mitaala ya kufundshia/kujifunza huko mashuleni, huku swala la Elimu za Walimu ambao ndio wadau wa mitaala hiyo likiwa gizani, kwamfano, kwa Tz muundo wa kiutumishi wa Walimu wa shule za msingi na sekondari unaanzia Elimu ya cheti mwisho shahada ya kwanza tu, ambapo mwl akiwa na shahada ya Pili (masters/PhD) mfumo haumtambui kimasilahi (salary) na kimuundo, tofauti na nchi zingine Kama Kenya, south Africa, Nigeria, Zimbabwe na kwingineko,
Serikali ingelitazama hili swala kwa jicho la utatu kwa kuwaandalia muundo wa kiutumishi na kimasilahi Walimu wenye shahada ya Pili (Masters/PhD) waliopo huko mashuleni, ifikie kipindi Sasa iwe ni kawaida kumwona mwl mwenye PhD anafundsha shule za msingi huko, hii ishu italeta Mapinduzi makubwa sana kwenye idara ya Elimu na ualimu hasa huko mashuleni, tofauti na Sasa ambapo mwl akishapata shahada ya Pili tu huanza kuomba kuhamia idara zingine ambapo anaona atapata maslahi kulingana na Elimu aliyonayo wakati hyo elimu yake (masters/PhD) ingetambulika kimuundo na kimasilahi angetulia kituoni pake alipokuwa anafundsha bila kutafuta fursa mahala pengine.
NAOMBA KUWASILISHA
Hiyo ngumu Sana manake walimu wenyewe wakienda kuongeza ualimu wanachukua degree zingine Kama law,uhasibu na kukimbia ualimu wao 😅so ni Kama ualimu wanasomea kupata ajira na kuingia kwenye system,halafu wanabadil gia angani,yani inshort walimu wa tz(primary na secondary)wengi wao wanabaka profession zisizokuwa zao kwakua wqnakuwq hawana foundation ya fani husika🙏
 
Ila Hawa Walimu wangetambuliwa kimasilahi na kimuundo wangebaki mashuleni pale pale wanapofundisha na kuondoa dhana ya jamii kuwa Walimu ni Watumishi wenye Elimu ndogo. Wanaondoka mashuleni kwa kukosa masilahi yanayoendana na Elimu zao.
Mfumo ulioutolea hoja nimeukuta Uganda. Wenzetu wako mbele yetu kidogo.

Sent from my Nokia 1.4 using JamiiForums mobile app
 
Ni ngumu Sana kwa mtu mwenye ufaulu wa juu,Tz akaenda kusomea ualimu,aidha wa msingi au sekondari😅it's equally to zero probability,na hapo ndipo kwenye kiini Cha tatizo.
lau kwa mazingira ya sasa, umuhimu wa walimu wenye viwango vya juu zaidi ili kunusuru kiwango cha elimu kinachotolewa huko sekondari.
 
Habari;
Kwasasa Dunia inafanya mapitio ya mitaala ya kufundshia/kujifunza huko mashuleni, huku swala la Elimu za Walimu ambao ndio wadau wa mitaala hiyo likiwa gizani, kwamfano, kwa Tz muundo wa kiutumishi wa Walimu wa shule za msingi na sekondari unaanzia Elimu ya cheti mwisho shahada ya kwanza tu, ambapo mwl akiwa na shahada ya Pili (masters/PhD) mfumo haumtambui kimasilahi (salary) na kimuundo, tofauti na nchi zingine Kama Kenya, south Africa, Nigeria, Zimbabwe na kwingineko,
Serikali ingelitazama hili swala kwa jicho la utatu kwa kuwaandalia muundo wa kiutumishi na kimasilahi Walimu wenye shahada ya Pili (Masters/PhD) waliopo huko mashuleni, ifikie kipindi Sasa iwe ni kawaida kumwona mwl mwenye PhD anafundsha shule za msingi huko, hii ishu italeta Mapinduzi makubwa sana kwenye idara ya Elimu na ualimu hasa huko mashuleni, tofauti na Sasa ambapo mwl akishapata shahada ya Pili tu huanza kuomba kuhamia idara zingine ambapo anaona atapata maslahi kulingana na Elimu aliyonayo wakati hyo elimu yake (masters/PhD) ingetambulika kimuundo na kimasilahi angetulia kituoni pake alipokuwa anafundsha bila kutafuta fursa mahala pengine.
NAOMBA KUWASILISHA
Elimu Tanzania siyo jambo la kipaombele,kipaombele ni siasa na uchaguzi!
 
Habari;
Kwasasa Dunia inafanya mapitio ya mitaala ya kufundshia/kujifunza huko mashuleni, huku swala la Elimu za Walimu ambao ndio wadau wa mitaala hiyo likiwa gizani, kwamfano, kwa Tz muundo wa kiutumishi wa Walimu wa shule za msingi na sekondari unaanzia Elimu ya cheti mwisho shahada ya kwanza tu, ambapo mwl akiwa na shahada ya Pili (masters/PhD) mfumo haumtambui kimasilahi (salary) na kimuundo, tofauti na nchi zingine Kama Kenya, south Africa, Nigeria, Zimbabwe na kwingineko,
Serikali ingelitazama hili swala kwa jicho la utatu kwa kuwaandalia muundo wa kiutumishi na kimasilahi Walimu wenye shahada ya Pili (Masters/PhD) waliopo huko mashuleni, ifikie kipindi Sasa iwe ni kawaida kumwona mwl mwenye PhD anafundsha shule za msingi huko, hii ishu italeta Mapinduzi makubwa sana kwenye idara ya Elimu na ualimu hasa huko mashuleni, tofauti na Sasa ambapo mwl akishapata shahada ya Pili tu huanza kuomba kuhamia idara zingine ambapo anaona atapata maslahi kulingana na Elimu aliyonayo wakati hyo elimu yake (masters/PhD) ingetambulika kimuundo na kimasilahi angetulia kituoni pake alipokuwa anafundsha bila kutafuta fursa mahala pengine.
NAOMBA KUWASILISHA
Unaenda kusoma master na wewe unafundisha shule ya sekondari unategemea iwe na tija ya kuwezesha kupandishwa maslahi
 
Ni ngumu Sana kwa mtu mwenye ufaulu wa juu,Tz akaenda kusomea ualimu,aidha wa msingi au sekondari😅it's equally to zero probability,na hapo ndipo kwenye kiini Cha tatizo.
Wapo wanafunzi wamefaulu sekondari division two. Wasingependa kusomea ualimu kwa mazingira ya sasa lakini kwa sababu fulani fulani (kupata mkopo, kushindwa kudahiliwa kwenye programs first choice zao) wanalazimika kuchagua Bsc ed, Bed, Baed. Degree za ualimu maana yake. Akifika chuoni akakuta mazingira wezeshi na jitihada binafsi baadhi yao wanapata GPA 3.8 and above. Watu hao by default wanaenda kuwa walimu kama wakibahatika hata kuajiriwa. Kwa mazingira ya leo serikali hata haiwapi kipaumbele walimu wa GPA kubwa.

Nijibu swali lako moja kwa moja sasa: inawezekana sana mtu mwenye ufaulu mkubwa akawa mwalimu wa sekondari.
 
Unaenda kusoma master na wewe unafundisha shule ya sekondari unategemea iwe na tija ya kuwezesha kupandishwa maslahi
Hivi unajua miaka ya 90 first degree ilikuwa haina muundo wa kiutumishi..ualimu ulitambulika kuanzia cirtificate hadi diploma tu..kwahyo haya mambo yanawezekana
 
Hivi unajua miaka ya 90 first degree ilikuwa haina muundo wa kiutumishi..ualimu ulitambulika kuanzia cirtificate hadi diploma tu..kwahyo haya mambo yanawezekana
Kwa muundo wa raslimali watu ulivyovurugika sasa tunao watu walio na sifa za juu kuliko nafasi walizonazo na hii ni kwa sababu watu walienda kusoma bila mpangilio na kusoma vitu vilivyo juu zaidi ya mahitaji
 
Wapo wanafunzi wamefaulu sekondari division two. Wasingependa kusomea ualimu kwa mazingira ya sasa lakini kwa sababu fulani fulani (kupata mkopo, kushindwa kudahiliwa kwenye programs first choice zao) wanalazimika kuchagua Bsc ed, Bed, Baed. Degree za ualimu maana yake. Akifika chuoni akakuta mazingira wezeshi na jitihada binafsi baadhi yao wanapata GPA 3.8 and above. Watu hao by default wanaenda kuwa walimu kama wakibahatika hata kuajiriwa. Kwa mazingira ya leo serikali hata haiwapi kipaumbele walimu wa GPA kubwa.

Nijibu swali lako moja kwa moja sasa: inawezekana sana mtu mwenye ufaulu mkubwa akawa mwalimu wa sekondari.
Labda sikuhizi bana,enzi hizo tunapiga matriculation hakuna mtu mwenye ufaulu mnono alikimbilia ualimu,Zama zimebadilika for sure
 
Back
Top Bottom