National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli network hapa ni not reachableHivi kukagua shule ina vyoo vingapi,madarasa mangapi, mwalimu kafundisha vipindi vingapi diploma haitoshi?
Msilinganishe ualimu ns uinjinia, ili mtu adizaini daraja la fly over inabidi afanye mahesabu mazito. Ualimu unahitaji elimu ndogo tu hata digrii ni kubwa sana lsbda vyuoni huko.
PhD holder usie na baya yani 😅😅😅🤣🤣🤣🤣
Yaani nikiipata hata kadiploma tu utanitambua nakwambia!PhD holder usie na baya yani 😅😅😅
😅😅😅😅 banaaa weee, nanjaa ntoue out kwanza ya wasomi tuwaachie wenyeweYaani nikiipata hata kadiploma tu utanitambua nakwambia!
Ni deiwakaHivi ualimu ni kazi?
Masters inaongeza tija gani kwenye kufundisha shule ya msingi na sekondari.Habari.
Kwasasa dunia inafanya mapitio ya mitaala ya kufundshia/kujifunza huko mashuleni, huku swala la elimu za walimu ambao ndio wadau wa mitaala hiyo likiwa gizani. Kwa mfano, kwa Tanzania muundo wa kiutumishi wa walimu wa shule za msingi na sekondari unaanzia elimu ya cheti hadi shahada ya kwanza tu, ambapo mwalimu akiwa na shahada ya pili (masters/PhD), mfumo haumtambui kimasilahi na kimuundo, tofauti na nchi zingine kama Kenya, South Africa, Nigeria, Zimbabwe na kwingineko.
Serikali ingelitazama hili swala kwa jicho la utatu kwa kuwaandalia muundo wa kiutumishi na kimasilahi walimu wenye shahada ya pili (masters/PhD) waliopo huko mashuleni. Ifikie kipindi sasa iwe ni kawaida kumwona mwalimu mwenye PhD anafundsha shule za msingi huko. Hii ishu italeta mapinduzi makubwa sana kwenye idara ya elimu na ualimu hasa huko mashuleni, tofauti na sasa ambapo mwalimu akishapata shahada ya pili tu huanza kuomba kuhamia idara zingine ambapo anaona atapata maslahi kulingana na elimu aliyonayo. Wakati huo elimu yake (masters/PhD) ingetambulika kimuundo na kimasilahi, angepata utulivu kituoni pale alipokuwa anafundisha bila kutafuta fursa mahali pengine.
Napenda kuwasilisha.
🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅 banaaa weee, nanjaa ntoue out kwanza ya wasomi tuwaachie wenyewe
🙃🙃🙃 Levant tu hapo eeh mwanadamu🤣🤣🤣🤣🤣
Unataka kwenda wapi binadamu?
Ndio wapi huko🙆🙆🙆🙃🙃🙃 Levant tu hapo eeh mwanadamu
Nitakuekeza banaaNdio wapi huko🙆🙆🙆
Kwetu jambo hili haliko vizuri kabisa. Linawakatisha tamaa vijana wetu.Habari.
Kwasasa dunia inafanya mapitio ya mitaala ya kufundshia/kujifunza huko mashuleni, huku swala la elimu za walimu ambao ndio wadau wa mitaala hiyo likiwa gizani. Kwa mfano, kwa Tanzania muundo wa kiutumishi wa walimu wa shule za msingi na sekondari unaanzia elimu ya cheti hadi shahada ya kwanza tu, ambapo mwalimu akiwa na shahada ya pili (masters/PhD), mfumo haumtambui kimasilahi na kimuundo, tofauti na nchi zingine kama Kenya, South Africa, Nigeria, Zimbabwe na kwingineko.
Serikali ingelitazama hili swala kwa jicho la utatu kwa kuwaandalia muundo wa kiutumishi na kimasilahi walimu wenye shahada ya pili (masters/PhD) waliopo huko mashuleni. Ifikie kipindi sasa iwe ni kawaida kumwona mwalimu mwenye PhD anafundsha shule za msingi huko. Hii ishu italeta mapinduzi makubwa sana kwenye idara ya elimu na ualimu hasa huko mashuleni, tofauti na sasa ambapo mwalimu akishapata shahada ya pili tu huanza kuomba kuhamia idara zingine ambapo anaona atapata maslahi kulingana na elimu aliyonayo. Wakati huo elimu yake (masters/PhD) ingetambulika kimuundo na kimasilahi, angepata utulivu kituoni pale alipokuwa anafundisha bila kutafuta fursa mahali pengine.
Napenda kuwasilisha.
Kwani degree inaongeza tija gani kwenye kufundsha msingi na sek. Tuanzie hapo ili tupate jibu la swali lakoMasters inaongeza tija gani kwenye kufundisha shule ya msingi na sekondari.
Kwa kada zingine kama madaktari, inaongeza tija kwa kwa maana unaanza kutoa huduma za kibingwa (specialist).
So onyesheni tija kwanza sio makaratasi.
Unaongea tu hebu jaribu kujiridhisha na hoja zako usitumie uzoefu kujibu hoja hivi unajua miaka ya nyuma kidogo hapa Tz hata degree yenyewe ilikuwa haitambuliki, usiseme serikali zote Duniani hazitambui Masters si kweli hebu jaribu kugoogle nchi zifuatazo.. Uganda, Kenya, Zimbabwe, Nigeria, south Africa, zambia...huko mtu kuwa mwl ni Kama ilivyo Tz kwa mtu kuwa mhadhri, nafas zinatangazwa na watu Wana wafanyiwa interview na kila Elimu Ina Mshahara wake kasoro tu kwenye hzo nchi certificate haitambulikiNyie mnaosema Maafisa wanaogopa walimu wenye masters watawapora vyeo vyao... Mnitajie wapi huko Afisa elimu wilaya au hata Afisa taaluma amewahi pokonywa cheo na mwalimu mwenye Masters au PhD..?
Serikali karibia zote Duniani zinaajiri mtu na zinalipa mshahara na kutambua elimu kuanzia Certificate mpaka Degree...
Masters ni added advantage ikitokea nafasi fulani inahitaji mtu mwenye Masters ndipo anaangaliwa mtumish mwenye uwezo wa kuimudu nafas hiyo na elimu yake ya masters... Duniani kote Masters ni managerial course inayomuandaa mtu kuwa kiongoz...
Sasa kazi ya kulea watoto unaiona haina maana, wewe hukulelewa umejilea mwenyewe?Ualimu na u-house girl sioni tofauti. Wote ni walezi wa watoto
Ni kazi lkn haina tofauti na ya uyayaSasa kazi ya kulea watoto unaiona haina maana, wewe hukulelewa umejilea mwenyewe?
Wacheni dharau jamani mutakuja kulaanika bure
Wakati CPA Kwa Mwaka hazizidi 500, advocates Kwa mwaka 600Chukua takwimu vyuoni.
Master za Ed pekee zinazidi 3000 kwa mwaka.
Mara miaka 5. Na wanaosoma ni vijana.
Wapo wengi value yao ishashuka.
Vijana watafute njia nyingine ya kutokea maisha