Kwanini tarehe ya Pasaka hubadilika?

Kwanini tarehe ya Pasaka hubadilika?

Pasaka kwa kigiriki ni* "Pasach" sawa na

*>>kiebrania* "Pasach". *>>Kwa kiingereza* ni

Passover.Hivyo kwa tafsiri ya Biblia pasaka sio

"Easter".


[emoji837] Pasaka ni sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu

Matendo 12:1-5.

Neno " Pasaka " kwa kiingereza ni "

Passover "

maana yake "kupita juu ya... "


*[emoji837] Katika Agano la kale pasaka inazungumzwa kuwa* :.M

ungu alimuagiza Musa kupaka damu katika miimo

ya milango ya Waisraeli wakati malaika AKIPITA kuangamiza wazaliwa wa. Kwanza wa wote wasio kuwa na hiyo alama ktk milango yao.

.....Kwa Waliopaka malaika alipita juu ya nyumba zao bila kuangamiza, waliokiuka alipita ndani na kuangamiza.


[emoji837] Kutoka 12:12-14; KJV.inasema "...i will

pass over you and the plague shall not be upon

you to destroy you.....And this day shall be unto

you for a memirial.

Hivyo pasaka ni kumbukumbu ya wana wa Israel toka

utumwani misri.

na Mungu akaagiza iendelezwe

hata nchi ya ahadi kanani.


[emoji837] Leo sisi ni Israeli ya kiroho tunaadhimisha kutoka

*Misri ya utumwa wa dhambi kwenda kanani ya mbinguni.*

......Katika Agano jipya 1Wakorintho 5:7-8. Basi

jisafisheni mkatoe ile chafu ya kale ...

....kwa

maana PASAKA wetu amekwisha kutolewa kuwa

sadaka yaani kristo......

Hakuna andiko linaloagiza utunzaji wa,"Easter"

kama pasaka.

hili la EASTER limetoka wapi?.


*_[emoji481]UKWELI JUU YA EASTER[emoji514]_*

___________________________

[emoji837] Jina EASTER linatokana na "Ostera"

au"Eostre" ambaye ni. goddness of sprin

(mungu wa mavuno)

katika nchi za Anglo-

Saxon,

... Babeli anaitwa "Ishtar",

Syria anaitwa

"Ashtaroth",

Kiebrania anaitwa "Ashtoreth",

Kigiriki anaitwa "Eostre"

Germany anaitwa "Ostera"

"Ishter" hutamukwa. "Easter"


[emoji837] Hii ni siku ya mungu

*"Tamuz"* ambaye ni mtoto wa pekee wa mungu

jua na mungu mwezi

Nimrod ni mjukuu wa Nuhu kwa kijana wake

Ham.

Ham alikuwa na kijana aitwae Kushi.

Kushi

alioana na Semiramis wakapata mtoto anaitwa

*>Nimrod<*

Baada ya kifo cha baba yake Nimrod akamuoa mamayake mzazi Semiramis akawa mtawala

mwenye nguvu sana.

Soma> Mwanzo 10:8-10)


[emoji837] Siku moja Nimrod alienda vitani na akauawa na

adui zake

...Semiramis akasema Nimrod ameenda juu

kwenye jua hivyo akaitwa Baal yaan mungu jua

(the goddnes of sun).Semiramis akaagiza

*akumbukwe kwa kuwasha mishumaa wakati wa ibada* (ndivyo wanavyofanya madhehebu mengi mpaka leo)


[emoji837] Semiramis akajiita "Ishtar"(easter)

*mungu mke*

"moon goddnes".

Huyu "Ishtar " akatembea na

kijakazi wake akapata mimba akasema kapata

mimba ,kupitia " Sun rays(miali ya jua)" kutoka kwa

"BAALI (Nimrod) ambaye alikuwa

*mungu JUA au mungu mume.*

Akazaa mtoto akamwita " Tamuz ".


[emoji837] Kijana huyo l (Tamuz) baadaye aliuawa na Nguruwe pori

alipokuwa akiwinda.

"Ishtar" *ANAABUDIWA kama "mother of god and queen of heaven".*

Ndivyo walivyofanya Roman Catholic had leo."Ishtar" wanamwita Bikira Maria.


[emoji837] Baada ya kifo cha

Tamuz, mama yake

akatangaza siku 14 za maombolezo akap

iga *MARUFUKU ULAJI wa NYAMA* ktk Maombolezo hayo

......ndivyo wanavyofanya Romani Catholic ktk

Siku ya IJUMAA *(ijumaa kuu)* kabla ya Jumapili ya Easter" hawali nyama.

*...Tukio Hilo limevikwa hadhi ya KUMBUKUMBU YA MATESO YA YESU.*

Tazama hii:

Every year on the first

Sunday after the first full moon after the spring

equinox a celebration was made until today).

"Ishtar/Ashtoreth" is queen of Heaven,


*[emoji837] EASTER ni kumbukumbu ya TAMUZ "*

Tuwe makini na mafundisho yasiyo ya KWELI.

>>Ktk Waamuzi 2:11-13-inazungumza taifa lilivyo asi

na kumwabudu *"Baal"*

.>>1Samwel 7:3-4-Waisraeli waligeukia Baali na

*Ashtoreth*

>>1Wafalme 11:4-6-Suleimam alivyomuoa

mwanamke wa kimataifa akamgeuza na kuabudu

*"Ashtoreth"*

[emoji433] Kwa maelezo ya ziada pitia hiki kitabu:

*_>>The Easter Celebration - History of Its Hidden Origins_* (Traditions of North America and the Western World Book 1)
Aise ndugu we mkali
 
Kesho wakristu duniani kote wanasherekea kuzaliwa kwa Yesu kristu mfalme... duniani kote wakristu wana sherekea siku hii December 25 na ni kila mwaka. Swali langu n moja kwann kifo na ufufuko wa Yesu kusingekuwa na specific date kama Christmas...?? Heri ya Christmas wana Jamii Forum....!!!

Swali zuri
 
Kwa hiyo makanisa yanayojiita ya kilokole yamekopi na kupaste taratibu zote za kanisa katoliki ila wamegeuzia gia angani kwa kuomba na kulialia kwa sauti na kuacha kunywa bapa japo wachache bado wana gonga bapa!!!

Kwa hiyo, Daaaaah.... Ngoja niishie hapa.

Masiah Yesu mwana Mungu uwe ndani yangu.
 
Mkuu,
AROON

Aiseeeeh...

Heshima yako mkuu.

Kwa hiyo taratibu zote hizo katoliki nao walichakachua kutoka sherehe pori !???

Sasa wolokole nao wamekopi na kupaste huko kwao ila wameongeza vionjo vya kuomba kwa sauti na kulialia!!?

Nitarudi badae.
 
Ratiba ya pasaka inafata kalenda ya kiyahud ambaya ni fupi kuliko kalenda ya papa Gregory ( tunayotumia huku duniani)...aidha kama Luka inavyosema roho mtakatifu alisema na Mariam mwezi wa sita (Jewish calendar) ambao ni mwezi wa tatu katika Gregory calenda hivyo kuna uhalisia flan Yesu alizaliwa December kwa calenda ya Gregory...
Mwezi wa sita, , means YESU alizaliwa NJITI?
Pasaka inategemea kalenda ya Kanisa kkatoriki
 
Kesho wakristu duniani kote wanasherekea kuzaliwa kwa Yesu kristu mfalme... duniani kote wakristu wana sherekea siku hii December 25 na ni kila mwaka. Swali langu n moja kwann kifo na ufufuko wa Yesu kusingekuwa na specific date kama Christmas...?? Heri ya Christmas wana Jamii Forum....!!!
 
Nashukuru kwa mada hii nzuri, japo inaonekana ya kawaida ila imebeba siri nzito ya kanisa katoriki! pasaka hutegemea equinox siku ambayo mchana na usiku huwa sawa ndo pia huwa siku ya pasaka! chunguza utakuja kuleta majibu hapa ndyo maana tarehe hubadirika badirika kila mwaka! siri wanayo jesuits! nilipewa hyo Elimu nikachoka! ndo maana mimi huwa sinaga muda na hayo mavitu kabsa
 
Lakin pasaka ilikuwepo enzi na enzi
pasaka iliyoadhimishwa kabla ya kristu ni ile ya wana wa israel ambayo waliiadhimisha kama ukumbusho wa jinsi Mungu aliwakombia kutoka utumwani misri hivyo walikuwa wakila mkate usiotiwa chachu na mboga chungu...

pasaka ya leo hii ni kuadhimisha ufufuko wa kristu kama ishara ya
zama mpya na kuushinda utumwa wa shetani kama kristu alivyoishinda mauti ...hivyo huwa kuna matukio maalumu kutoka alkhamia kuu hadi ijumaa kuu ya kusulubiwa kwake na hata jumatatu ya pasaka katika ufufuko wake hivyo, kanisa huteua week husika ili kuleta mlinganyo wa matukio hayo na hii huanzia katika uteuzi wa siku ya kufunga ....
 
Mama Maria alipata mimba mwezi wa sita, na mtoto YESU mwezi wa dec 25 kazaliwa,, sasa Itakuwa alizaliwa NJITI, na hyo mfanyie editing
Miezi iliyotumika ni ya kiyahudi in utofauti sana na hii ya kwetu bosi. Nakushauri tafuta vitab kama unataka kujielimisha.
 
Wapinzani wa Katoliki ni Wasabato Na Waislamu tu.Wengine wote mbwembwe tu
Chagua maneno vizuri,
Upinzani lina 'ukakasi' kiduchu.

Nijuavyo Mie;
Waislam wanatofautiana kiimani na Wakristu.
Hao wengine sijui.
Si kuwa eti waislam ni wapinzani wa Wakristu au Dini yoyote nyingine hiyo si kweli.
 
Pasaka pass over ilikuwepo kabla ya kanisa katoriki. Kusema dunia nzima inafuata utaratibu wao ni upotofu.
Inawekana kabsaa kuwa kuna mambo ya kishetani ya miungu yameingia ktk hiyo siku kwa lengo la kupotosha watu. Lakini tangu zamani utaratibu was pasaka ni siku ya kwanza ya juma rejea biblia na kimsingi hii ndo inayojenga Wakristo wote duniani kutumia Jumapili kama siku maalum ya kukutana kuabudu.

Unachitakiwa kujua ni kwamba mara nyingi kuna ufanano hutengenezwa au coincidence zinazofanana ili kupotosha habari za ufalme wa Mungu lakini ukiwa makini hakusumbui. Ndiyo maana krissmass inachanganywa na mizimu sawa na hiyo paska sawa na kuzaliwa kwa Yesu wengine wanamuita Issa bin Mariam lakini ni watu wawili tofauti ukiwa makini utagundua hata tofauti ya Allah na Mungu anayeabudiwa na wakristo. Haya mambo yanepangwa vizuri kupotosha watu wasio na msingi ktk neno. Krissmass njema
 
Sio wakristo wote kwa sababu waothodoks wa mashariki husherekea Christmas january

Ni kwa sababu inajulikana kristo alifufuka jumapili au siku ya kwanza katika juma
So ni lazima jumapili itokee tarehe yoyote
Hata hiyo Christmas imepangwa kusherekewa tarehe 25 lakini siki za juma lazima zitofautiane inaweza kuwa siku yoyote katika juma
 
Chagua maneno vizuri,
Upinzani lina 'ukakasi' kiduchu.

Nijuavyo Mie;
Waislam wanatofautiana kiimani na Wakristu.
Hao wengine sijui.
Si kuwa eti waislam ni wapinzani wa Wakristu au Dini yoyote nyingine hiyo si kweli.
Nashukuru kwa kunisahihisha
 
Mama Maria alipata mimba mwezi wa sita, na mtoto YESU mwezi wa dec 25 kazaliwa,, sasa Itakuwa alizaliwa NJITI, na hyo mfanyie editing
Kwanza sio kweli mama maria alipata mimba mwezi wa sita bali huo mwezi ni miezi 6 ya ujauzito wa elizabeth mkewe zakaria ndio malaika alitumwa kwa maria kwenda kumpasha habari maria na sio kushika mimba
Isome biblia kwa mtiririko anza luka 1/21- mpaka 35 utaelewa kwa nini hiyo miezi ilitajwa
 
Back
Top Bottom