Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uingereza muungano wa nch
Kuna tofauti gani kati ya Uingereza na England?
Uingereza muungano wa nchi 5 na kila nchi INA
ligi yake.
Sawa mkuu. Sasa hiyo "England" tunaihitaji kwa kiswahili sanifu?Uingereza ni muunngano wa nchi 5 ikiwemo hiyo England.
Mbona TBC wanajitahidi sana katika suala zima la mavazi mkuu. Una beef nao kwani?Huwa nikiangalia watangazaji wa kiume TBC 1 wanavyovyalishwa kwenye ardhio nataman bora wavae magunia tuu tujue moja. Nasikia kuna mishahara minono pale yenye hadhi ya mashirika mengine ya umma ila jamaa wanavaa suruali rangi yake koti rangi yake unga unga mwana hata mitumba ya karume haipo vile sijui wanatungua wapi. Shirika nalo limeshindwa wavalisha watangazaji ni shidaaaa.
Kwa jicho la kawaida unaweza ona kuwa wanavalishwa vuzuri hasa watangazaji wa kiume ila kwa mm mwenye jicho la tatu kila siku watangazaji wa kiume wana commit fashion crime kwenye uvaaji wao. Bora hata wavae nguo za asili za kitenge au batiki. Lakin uvaaji wao huu wa suti magharibi wanabolonga kinoma. Unakuta koti lina rangi yake iliochuja na suruali rangi yake. Waige wenzao wa azam tv au bbc swahiliMbona TBC wanajitahidi sana katika suala zima la mavazi mkuu. Una beef nao kwani?
"Committing a fashion crime" mkuu asante sana kwa huu msamiati mpya...Kwa jicho la kawaida unaweza ona kuwa wanavalishwa vuzuri hasa watangazaji wa kiume ila kwa mm mwenye jicho la tatu kila siku watangazaji wa kiume wana commit fashion crime kwenye uvaaji wao.
Nenda kamwambie her majesty, the queen of all England that, I have not murdered English cold blooded."Committing a fashion crime" mkuu asante sana kwa huu msamiati mpya...
kawaida sana hii"Committing a fashion crime" mkuu asante sana kwa huu msamiati mpya...
Hakika yule goalkeeper ni mzalendo sana mkuu. Anajua majukumu yake ipasavyo. Nina imani ipo siku na sisi Tanzania tutakuwa mbali zaidi katika ramani ya soccer la hapa Afrika...Nayashukuru mashirika ya watangazaji ya ZANZIBAR kupitia ZBC2, KENYA kupitia KBC na RWANDA kupitia RTv angalau tumeweza kutuonyeshea michezo ya timu yetu ya Taifa na tukashuhudia goli murua kabisa na jinsi kipa wetu anavyojitahidi kuiokoa nchi yake.
Hiyo ni bombastic mzee babakawaida sana hii
Kiingereza ni lugha kama lugha zingine tu mkuu. Punguza mapepe.Hiyo ni bombastic mzee baba
Tatizo bongo ukijua kiingereza watu wanakuona kama vile MunguKiingereza ni lugha kama lugha zingine tu mkuu. Punguza mapepe.
Mbona mimi ninajua sana kiingereza lakini watu wananiona wa kawaida tuTatizo bongo ukijua kiingereza watu wanakuona kama vile Mungu
Kiingereza ni lugha ya kawaida sana mkuuMbona mimi ninajua sana kiingereza lakini watu wananiona wa kawaida tu
Ni lugha ya kawaida ila muhimu katika dunia ya sasaKiingereza ni lugha ya kawaida sana mkuu
Sio muhimu saaaana kama kichinaNi lugha ya kawaida ila muhimu katika dunia ya sasa
Kiingereza kama Kiswahili tu mkuuTatizo bongo ukijua kiingereza watu wanakuona kama vile Mungu
Kichina na Kispanish bora nini dada K?Sio muhimu saaaana kama kichina