Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
ni art or attempt by individuals or private interest groups to influence the decisions of government or organization to something in their interest.Mkuu, kwani "lobbying" ni nini? Labda mimi ndio sijui maana yake.
Asante kwa ufafanuzi mkuu. Sasa mkuu, ina maana ukifanya ushawishi pasipo kutoa rushwa hiyo sio "lobbying"?ni art or attempt by individuals or private interest groups to influence the decisions of government or organization to something in their interest.
on the top level hapa rushwa huwa inahusika sana.
it is possible. but at this game hauko mwenyewe. una wenye nguvu zaidi yako?Asante kwa ufafanuzi mkuu. Sasa mkuu, ina maana ukifanya ushawishi pasipo kutoa rushwa hiyo sio "lobbying"?
Upo sahihi mkuu, lakini katika suala la TBC kuonesha mechi za Fenerbahçe sidhani kama Tanzania inashindana na nchi nyingine.it is possible. but at this game hauko mwenyewe. una wenye nguvu zaidi yako?
how do you do it?
Suala la walimu pamoja na bomba la mafuta Tanzania ilikuwa inapambana na Kenya sema sisi ni wajanja kuwazidi wao.Upo sahihi mkuu, lakini katika suala la TBC kuonesha mechi za Fenerbahçe sidhani kama Tanzania inashindana na nchi nyingine.
Ushindani mkubwa ambao nimeuona kwa siku za hivi karibuni ambao ulihitaji "lobbying" ya hali ya juu ni ule wa bomba la mafuta la Uganda pamoja na walimu wa Kiswahili kwenda kufundisha Afrka ya Kusini.
Kenya haiwezi kupambana na Tanzania kisha wakashinda hata siku moja.Suala la walimu pamoja na bomba la mafuta Tanzania ilikuwa inapambana na Kenya sema sisi ni wajanja kuwazidi wao.
Kenya walitufunga katika mechi ya AFCON kwa bahati saaaanaKenya haiwezi kupambana na Tanzania kisha wakashinda hata siku moja.
Wakenya wasingeweza kupata dili ya lile bomba kwa maana walishindwa kumtoa Amin ila sisi Tanzania tuliweza.Suala la walimu pamoja na bomba la mafuta Tanzania ilikuwa inapambana na Kenya sema sisi ni wajanja kuwazidi wao.
Al Shabaab anawatoa jasho KDF sembuse Amin DadaWakenya wasingeweza kupata dili ya lile bomba kwa maana walishindwa kumtoa Amin ila sisi Tanzania tuliweza.
Upe nje ya mada. Uzi ni wa TFF, TBC na Samatta wewe unaleta issues za vita ya kagera.Al Shabaab anawatoa jasho KDF sembuse Amin Dada
92% ya Wakenya ni wapuuzi wa kiwango cha kimataifa.Suala la walimu pamoja na bomba la mafuta Tanzania ilikuwa inapambana na Kenya sema sisi ni wajanja kuwazidi wao.
Kenya imemuomba Rais Samia aende kwao kuwasalimia kama ndugu wa mama mmoja.Kenya haiwezi kupambana na Tanzania kisha wakashinda hata siku moja.
Tutawapiga Wakenya wote waliopo Tanzania wasicheze na sisi.92% ya Wakenya ni wapuuzi wa kiwango cha kimataifa.
Samatta ni Mnyambo wa Kagera ujue? Unafahamu hilo?Upe nje ya mada. Uzi ni wa TFF, TBC na Samatta wewe unaleta issues za vita ya kagera.
Walikuwa hawana silaha za kutosha za kupigana nayeWakenya wasingeweza kupata dili ya lile bomba kwa maana walishindwa kumtoa Amin ila sisi Tanzania tuliweza.
Wajerumani wamezidi. Hao jamaa waliwajengesha babu zetu reli kutoka Dar mpaka Kigoma bila malipo hata ndururuWaturuki wana roho mbaya kama Wajerumani tu
Umefafanua kitaalam sana mkuuni art or attempt by individuals or private interest groups to influence the decisions of government or organization to something in their interest.
on the top level hapa rushwa huwa inahusika sana.
Hivi Wanyambo na Wahaya wanasikilizana lugha?Samatta ni Mnyambo wa Kagera ujue? Unafahamu hilo?